TANESCO Ondoweni Kwanza Service Charge Ndiyo Muendelee Na Kipindi Chenu Cha Star Tv.

Maistro 1

JF-Expert Member
Sep 4, 2015
422
181
Sioni umuhimu wa hiki kipindi cha kutuelezea miundo mbinu ya TANESCO na jinsi ya kuzibiti wizi wa umeme. Na huku wao TANESCO wanatuibia sisi Watanzania kwa kutumia tungo tata 'Service Charge'
 
Nijuavyo service charge ilikuwa kwa ajili ya zile mita za kusoma ila mita za sasa za Luku Service charge ni wizi tu hakuna kingine
 
Sioni umuhimu wa hiki kipindi cha kutuelezea miundo mbinu ya TANESCO na jinsi ya kuzibiti wizi wa umeme. Na huku wao TANESCO wanatuibia sisi Watanzania kwa kutumia tungo tata 'Service Charge'
Haya in ya kweli kipindi chao hakina tija!
Nilijaribu kuingia kwenye website ya TANESCO kupata taarifa za namna ya kupata umeme huku pembezoni ya jiji Dar maana kuna watu wanaoita kuchangisha shs elfu 6 za form, elfu 30 za kuingia kwenye nyumba kukagua. Hapo bado gharama za kuingiza umeme. Nilitegemea kupata taarfa zitakazojibu maswali yangu lakini sikufanikiwa. Kwanza hakukuwa na maelezo niliyoyataka pia Website yao iko kwa kimombo tu. Afadhali wenzao DAWASCO website yao ni Kiswahili lakini nako sikupata taarifa nilizokuwa natafuta!
 
Service charge ni "Elephant in the living room" Tanesco inabidi watueleze kwa nini tunalipa service charges wakati umeme wenyewe unakatika kila siku na hela za service charge zinatumika kufanya nini.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…