Takwimu zinavyomkataa Ibra Traore kama mkombozi wa Burkinabe na Waafrika

Yoda

JF-Expert Member
Jul 22, 2018
49,739
72,700
Huyu kijana wa Burkina Faso anayesifiwa sana na Waafrika wanaolishwa fake news ni kama sanamu tu Burknafso.

Burkinafaso ni nchi ya 182 katika ya 185 katika orodha ya nchi masikini duniani.

GDP ya Burkinafaso wakati kijana Ibra anachakua madaraka mwaka 2022 ilikuwa $b19 sasa hivi baada ya miaka mitatu ni $b21, peanuts.

Kiwango cha umaskini kilikuwa 43% sasa hivi bado ni 43%.

Burknafso inadaiwa zaidi ya $bilioni 10 na wakopeshaji wa nje zikiwemo IMF na China na inasuasua kulipa.
 
Huyu kijana wa Burkina Faso anayesifiwa sana na Waafrika wanaolishwa fake news ni kama sanamu tu Burknafso.

Burkinafaso ni nchi ya 182 katika ya 185 katika orodha ya nchi masikini duniani.

GDP ya Burkinafaso wakati kijana Ibra anachakua madaraka mwaka 2022 ilikuwa $b19 sasa hivi baada ya miaka mitatu ni $b21, peanuts.

Kiwango cha umaskini kilikuwa 43% sasa hivi bado ni 43%.

Burknafso inadaiwa zaidi ya $bilioni 10 na wakopeshaji wa nje zikiwemo IMF na China na inasuasua kulipa.
Wewe ni boya kwelikweli> sasa ulitaka traore aipaishe Burkina faso kuwa na uchumi wa dunia ya kwanza ndani ya miaka mitatu? Kwanini kabla ya Traore ilikuwa na huo umaskini?

wenye akili tope kama hiyo yako hawana faida duniani. Kwamba unasahaui baada ya yale mapinduzi kama Burkina faso ipo katika vikwazo vya kimataifa na Kikanda ambao ni vibaraka?
 
Huyu kijana wa Burkina Faso anayesifiwa sana na Waafrika wanaolishwa fake news ni kama sanamu tu Burknafso.

Burkinafaso ni nchi ya 182 katika ya 185 katika orodha ya nchi masikini duniani.

GDP ya Burkinafaso wakati kijana Ibra anachakua madaraka mwaka 2022 ilikuwa $b19 sasa hivi baada ya miaka mitatu ni $b21, peanuts.

Kiwango cha umaskini kilikuwa 43% sasa hivi bado ni 43%.

Burknafso inadaiwa zaidi ya $bilioni 10 na wakopeshaji wa nje zikiwemo IMF na China na inasuasua kulipa.
Umevamia mambo yaliyokuzidi Akili
 
Huyu kijana wa Burkina Faso anayesifiwa sana na Waafrika wanaolishwa fake news ni kama sanamu tu Burknafso.

Burkinafaso ni nchi ya 182 katika ya 185 katika orodha ya nchi masikini duniani.

GDP ya Burkinafaso wakati kijana Ibra anachakua madaraka mwaka 2022 ilikuwa $b19 sasa hivi baada ya miaka mitatu ni $b21, peanuts.

Kiwango cha umaskini kilikuwa 43% sasa hivi bado ni 43%.

Burknafso inadaiwa zaidi ya $bilioni 10 na wakopeshaji wa nje zikiwemo IMF na China na inasuasua kulipa.
🚮🚮🚮
 
Screenshot_20240606_151403_com.facebook.katana_edit_291723649040380.jpg
 
Huyu kijana wa Burkina Faso anayesifiwa sana na Waafrika wanaolishwa fake news ni kama sanamu tu Burknafso.

Burkinafaso ni nchi ya 182 katika ya 185 katika orodha ya nchi masikini duniani.

GDP ya Burkinafaso wakati kijana Ibra anachakua madaraka mwaka 2022 ilikuwa $b19 sasa hivi baada ya miaka mitatu ni $b21, peanuts.

Kiwango cha umaskini kilikuwa 43% sasa hivi bado ni 43%.

Burknafso inadaiwa zaidi ya $bilioni 10 na wakopeshaji wa nje zikiwemo IMF na China na inasuasua kulipa.
Utakuwa MwanaCCM wewe
 
Huyu kijana wa Burkina Faso anayesifiwa sana na Waafrika wanaolishwa fake news ni kama sanamu tu Burknafso.

Burkinafaso ni nchi ya 182 katika ya 185 katika orodha ya nchi masikini duniani.

GDP ya Burkinafaso wakati kijana Ibra anachakua madaraka mwaka 2022 ilikuwa $b19 sasa hivi baada ya miaka mitatu ni $b21, peanuts.

Kiwango cha umaskini kilikuwa 43% sasa hivi bado ni 43%.

Burknafso inadaiwa zaidi ya $bilioni 10 na wakopeshaji wa nje zikiwemo IMF na China na inasuasua kulipa.
Vibaraka wa wamagharibi mnapata taabu sana nyakati hizi
 
Wewe ni boya kwelikweli> sasa ulitaka traore aipaishe Burkina faso kuwa na uchumi wa dunia ya kwanza ndani ya miaka mitatu? Kwanini kabla ya Traore ilikuwa na huo umaskini?

wenye akili tope kama hiyo yako hawana faida duniani. Kwamba unasahaui baada ya yale mapinduzi kama Burkina faso ipo katika vikwazo vya kimataifa na Kikanda ambao ni vibaraka?
Hujui chochote, Burkina Faso haina vikwazo vyovyote. Sio vya kimataifa wala kikanda. Makampuni ya West kama Endeavour Mining yako mengi tu yanachimba madini Burkinafaso
 
Huyu kijana wa Burkina Faso anayesifiwa sana na Waafrika wanaolishwa fake news ni kama sanamu tu Burknafso.

Burkinafaso ni nchi ya 182 katika ya 185 katika orodha ya nchi masikini duniani.

GDP ya Burkinafaso wakati kijana Ibra anachakua madaraka mwaka 2022 ilikuwa $b19 sasa hivi baada ya miaka mitatu ni $b21, peanuts.

Kiwango cha umaskini kilikuwa 43% sasa hivi bado ni 43%.

Burknafso inadaiwa zaidi ya $bilioni 10 na wakopeshaji wa nje zikiwemo IMF na China na inasuasua kulipa.
Apewe muda, kwani mfumo uliyotengenezwa na mabeberu wa kuinyonya Afrika umefika mbali na kuota mizizi si rahisi kuondoa mara moja, na kuendesha nchi kwa jinsi anavyofanya Traore usitegemee matokeo yatakuwa kama chumvi kwenye chakula, hata hivyo mpaka sasa hajafeli kitakwimu, na jitihada yake yote ya kutaka kujinasua kutoka katika unyonyaji wa wazungu ni mchakato mgumu unaouhitaji uthubutu, ujasiri na subira, na hii haiwezi kufanywa na mtu mmoja bali iwe ndiyo dira na sera ya nchi katika kuleta mabadiliko ndani ya nchi kwa maana hiyo hata leo Traore akiondoka madarakani basi mrithi wake awe na msimamo huohuo kama wa aliyeondoka.
Na katika mambo anayoyafanya Traoré ni:
  • Anapinga ukoloni mamboleo na kuikataa France kuendelea kuchota raslimali za Afrika.
  • Ameimarisha ulinzi wa ndani kwa kupambana na makundi ya kigaidi bila msaada wa nchi za Magharibi.
  • Anahamasisha uzalendo na kujitegemea (kuondoa mitazamo ya utegemezi).
  • Ameshajinasua kutoka kwa vibaraka wa kisiasa waliokuwa watiifu kwa mabeberu.

Wabukinabe wastahamili katika hichi kipindi kigumu lakini wakipita salama watafurahi na hali ya ustawi wa taifa lao.
 
Wewe ni boya kwelikweli> sasa ulitaka traore aipaishe Burkina faso kuwa na uchumi wa dunia ya kwanza ndani ya miaka mitatu? Kwanini kabla ya Traore ilikuwa na huo umaskini?

wenye akili tope kama hiyo yako hawana faida duniani. Kwamba unasahaui baada ya yale mapinduzi kama Burkina faso ipo katika vikwazo vya kimataifa na Kikanda ambao ni vibaraka?
Hii ndiyo akili ya nyumbu wala usishangae
 
Back
Top Bottom