D drgeorge Member Jun 22, 2009 99 23 Nov 22, 2010 #1 Hawa TAHLISO wanaojiita umoja wa vyuo vikuu japo hawana msaada wowote kwa wanafunzi wa vyuo na wala hatupo nao, wameishia wapi? walikuwa wanajaribu angalau kujionesha kuwa ni wema wakati tunawajua. Mbona Kimya, Noeli Katongo upoooooo?
Hawa TAHLISO wanaojiita umoja wa vyuo vikuu japo hawana msaada wowote kwa wanafunzi wa vyuo na wala hatupo nao, wameishia wapi? walikuwa wanajaribu angalau kujionesha kuwa ni wema wakati tunawajua. Mbona Kimya, Noeli Katongo upoooooo?