Nimecheka sanaa hahahahahahahahahahah....Hakuna mtu selfish kama Abiria. Wako makundi mawili
1. Abiria aliyekaa huwa hampendi alosimama, anaona anahaki zaidi kwasababu tu kabahatika kupata seat.
2. Waliosimama na Waliokaa hawapendi aongezeke abiria mwingine. Wanahisi baada ya wao kupanda tu hatakiwi mwingine aingie.
Huu ni utafiti 100% uko sahihi. Chunguza utagundua.
Reference, bandiko hilo hapo juu. Na wewe mwenyewe usiyependa abiria wenzako.
Hunyu, angalau mara moja kwa mwaka binadamu anapaswa kutumia akili yake ili isioze.Hakuna mtu selfish kama Abiria. Wako makundi mawili
1. Abiria aliyekaa huwa hampendi alosimama, anaona anahaki zaidi kwasababu tu kabahatika kupata seat.
2. Waliosimama na Waliokaa hawapendi aongezeke abiria mwingine. Wanahisi baada ya wao kupanda tu hatakiwi mwingine aingie.
Huu ni utafiti 100% uko sahihi. Chunguza utagundua.
Reference, bandiko hilo hapo juu. Na wewe mwenyewe usiyependa abiria wenzako.
sasa ndio mnaendelea na safari na abiria tuti kisa mja mzito? kwanini hao matrafik wasiite ambulance imbebe huyo mja mzito? kutoka hapo darajani hadi kigoma ni zaidi ya km 200 atafika salama kweli?Wameandikiwa charge sheet, gari limeruhusiwa kuondoka maana kuna mwanamke alikuwa anahtaka kujifungua. Dereva kaambiwa apeleke abiria hlf basi liende kituoni.