mamayoyo1
JF-Expert Member
- Jul 25, 2018
- 1,011
- 1,019
![](/proxy.php?image=https%3A%2F%2F1.bp.blogspot.com%2F-ferD4u3Wxe8%2FXQyoNaZRL7I%2FAAAAAAAChOk%2FLiw82x3uLGISnBP0M7DqLxHwFe7aYw0oQCLcBGAs%2Fs1600%2F1.jpg&hash=767e7fd478b0484e25614bc326d3b75c)
Wizara ya Ardhi, Nyumba na Maendeleo ya Makazi inawatangazia wananchi wote waliopewa viwanja katika eneo la Pemba Mnazi kukamilisha malipo ya viwanja kabla ya Julai 31 2019.
Kwa wananchi ambao watashindwa kukamilisha malipo kwa muda uliotolewa viwanja vyao vitagawiwa kwa waombaji wengine bila taarifa yoyote.
Tangazo hili pia litawahusu wale waliolipia sehemu ya gharama za umilikishaji lakini hawajakamilisha malipo.