Azim Sokoine
JF-Expert Member
- Aug 20, 2014
- 1,443
- 2,643
Anayo hoja hujaiona hapo hoja?Ebu watanzania muwe mnatafakari mambo kwa kina.Kuna propaganda huwa zinaudwa kuweka mambo sawa huenda jeshi la polisi limeunda propaganda ili kuweka usawa fikilieni mara mbili sio kila siku mnawaza kuitetea ccm tu.Mkuu, hoja yako ipo wapi sasa? Kwani ni mara ngapi Polisi wanatangaza wameua majambazi na picha zao hazisambai? Kwanza si ubinadamu kusambaza mitandaoni picha za marehemu
Wewe ni mgeni na taarifa za geshi letu hapa bongo?habar wakuu,
Ni masaa kadhaa yaliyopita Jeshi la Polisi limetupatia taarifa kuwa wale majambazi waliowaua polisi 8,jeshi hilo limefanikiwa kuua majambaz 4. Lakini cha ajabu miili hiyo ya hao majambazi hakuna aliyefanikiwa kuiona.
Nini kimejificha nyuma ya pazia juu ya hili! sio kwamba jeshi la polisi wanataka kuecolize kwa kuwahadaa watanzania?
Uzalendo upi unaouzungumzia??? Isijekua ule wa kuparalyse reasoning centre??? Huo uzalendo unaouzungumzia ww hauji hv hv labda mpka upewe limbwata na watawala mpka ushndwe kabisa kufkiria kingne beyond ya kile unacholishwa kutoka kwaouzalendo ni tatizo sugu vichwani mwa vijana..kila kitu siasa.
Mkuu hivi aliyeua ni yule master wa kupiga kichwani tu?.yule jamaa ni mbaya ni bora Bashite akamteke yule kuliko kuvamia studioMkuu, hoja yako ipo wapi sasa? Kwani ni mara ngapi Polisi wanatangaza wameua majambazi na picha zao hazisambai? Kwanza si ubinadamu kusambaza mitandaoni picha za marehemu
Hizo mbona zimeonekana mkuu!!Au wewe jana haukuwa online kwenye sosho midia?Kwani za maiti za polisi 8 umeziona??
Kipindi wakiwa hai au wamekufa??Hizo mbona zimeonekana mkuu!!Au wewe jana haukuwa online kwenye sosho midia?
Wakiwa hai wakati wanakunywa kahawa pale nje ya jengo walilokuwa wanafanya doria.Kipindi wakiwa hai au wamekufa??
habar wakuu,
Ni masaa kadhaa yaliyopita Jeshi la Polisi limetupatia taarifa kuwa wale majambazi waliowaua polisi 8,jeshi hilo limefanikiwa kuua majambaz 4. Lakini cha ajabu miili hiyo ya hao majambazi hakuna aliyefanikiwa kuiona.
Nini kimejificha nyuma ya pazia juu ya hili! sio kwamba jeshi la polisi wanataka kuecolize kwa kuwahadaa watanzania?