LGE2024 Sumbawanga: Mwenyekiti awaongoza Makarani kuandikisha Wapiga Kura Nyumba kwa Nyumba

Uchaguzi wa Serikali za Mitaa 2024

Waufukweni

JF-Expert Member
May 16, 2024
1,956
5,328
Leo ni siku ya mwisho ya kuandikisha wapiga kura kwa ajili ya uchaguzi wa Serikali za Mitaa unaotarajiwa kufanyika Novemba 27.

Hali hii inatia wasiwasi baada ya karani na mwenyekiti wa Anglikana B, Kata ya Katandala, Manispaa ya Sumbawanga, kujitokeza kuandikisha wananchi nyumba kwa nyumba, jambo ambalo siyo utaratibu ulioelekezwa na TAMISEMI

Mwenyekiti huyo alifanya hivyo jana Oktoba 19, ambayo ilikuwa ndiyo siku ya kukabidhi ofisi na kupisha taratibu zingine za uchakuzi kuendelea.
 
Hawataki kwenda wanajidai wako bize.

Ila huu uandishwaji wa kiwaki sana, kuna mtaa nimeenda nikakuta mwenyekiti sijui ndo karani anadaka watu juu juu anawaandikisha, hata waliosema tayari wameandikishwa huko anawahimiza wajiandikishe kwake na wataje na majirani zao na namba zao wawaandikishe pia.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…