Kuelekea 2025 LGE2024 Sugu aendelea kusafisha Mabaki ya CCM Mbeya Mjini, Leo ni zamu ya Kata ya Isyesye

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla, wakati na baada)
Uchaguzi wa Serikali za Mitaa 2024

Erythrocyte

JF-Expert Member
Nov 6, 2012
124,212
235,654
Hii ndio Taarifa ya leo kutoka Mbeya, ni Dhahiri kwamba Mbeya hakuna CCM, lakini kuna yale Mabaki au Masalia ya Magugu Maji, ndio yanamalizikia kusafishwa

Hii ni Kata ya Isyesye, ambako Masomo ya Uchaguzi wa serikali za mitaa yanaendelea kutolewa, huku Wananchi wakielewa kwa kiwango cha Kutisha!

Soma Pia: Mwenyekiti wa Kanda ya Nyasa aendelea kukomboa Majimbo yaliyoporwa 2020, Sasa ni zamu ya Mafinga


Screenshot_2024-10-07-23-07-17-1.png
Screenshot_2024-10-07-23-07-00-1.png
Screenshot_2024-10-07-23-07-09-1.png
 
Hii ndio Taarifa ya leo kutoka Mbeya, ni Dhahiri kwamba Mbeya hakuna CCM, lakini kuna yale Mabaki au Masalia ya Magugu Maji, ndio yanamalizikia kusafishwa

Hii ni Kata ya Isyesye, ambako Masomo ya Uchaguzi wa serikali za mitaa yanaendelea kutolewa, huku Wananchi wakielewa kwa kiwango cha Kutisha!

Soma Pia: Mwenyekiti wa Kanda ya Nyasa aendelea kukomboa Majimbo yaliyoporwa 2020, Sasa ni zamu ya Mafinga


View attachment 3118253View attachment 3118254View attachment 3118255
Mnatia huruma sana wewe na huyo Baby Yako Sugu ,sura yake tuu inaonesha amekata tamaa hawezi maliza pambano 🤣🤣

Mwenzie anasimika maendeleo yeye anauza empty words 😂😂😂👇👇👇

View: https://www.instagram.com/p/DAsxEMdNSzH/?igsh=MjViZjF1OGc1cjNh

Miaka 10 alisahau nini huko huyo Babu Yako?👇👇

View: https://www.instagram.com/p/DAyx01hNf1x/?igsh=MWZhbzdneTV5Njd2YQ==
 
Mnatia huruma sana wewe na huyo Baby Yako Sugu ,sura yake tuu inaonesha amekata tamaa hawezi maliza pambano 🤣🤣

Mwenzie anasimika maendeleo yeye anauza empty words 😂😂😂👇👇👇

View: https://www.instagram.com/p/DAsxEMdNSzH/?igsh=MjViZjF1OGc1cjNh

Miaka 10 alisahau nini huko huyo Babu Yako?👇👇

View: https://www.instagram.com/p/DAyx01hNf1x/?igsh=MWZhbzdneTV5Njd2YQ==

Hiyo Hela ni ya Samia ametoa mfukoni kwake? Spika eti ana PhD tena ya sheria! Kilaza mkubwa na chawa sana!
 
Hii ndio Taarifa ya leo kutoka Mbeya, ni Dhahiri kwamba Mbeya hakuna CCM, lakini kuna yale Mabaki au Masalia ya Magugu Maji, ndio yanamalizikia kusafishwa

Hii ni Kata ya Isyesye, ambako Masomo ya Uchaguzi wa serikali za mitaa yanaendelea kutolewa, huku Wananchi wakielewa kwa kiwango cha Kutisha!

Soma Pia: Mwenyekiti wa Kanda ya Nyasa aendelea kukomboa Majimbo yaliyoporwa 2020, Sasa ni zamu ya Mafinga

View attachment 3118253View attachment 3118254View attachment 3118255
 
Hii ndio Taarifa ya leo kutoka Mbeya, ni Dhahiri kwamba Mbeya hakuna CCM, lakini kuna yale Mabaki au Masalia ya Magugu Maji, ndio yanamalizikia kusafishwa

Hii ni Kata ya Isyesye, ambako Masomo ya Uchaguzi wa serikali za mitaa yanaendelea kutolewa, huku Wananchi wakielewa kwa kiwango cha Kutisha!

Soma Pia: Mwenyekiti wa Kanda ya Nyasa aendelea kukomboa Majimbo yaliyoporwa 2020, Sasa ni zamu ya Mafinga

View attachment 3118253View attachment 3118254View attachment 3118255
jipeni matumaini wapinzani wakudumu wasindikizaji katika siasa tulia mitano tena
 
Back
Top Bottom