Nipo hapa Morogoro ninamsubiri mgeni wangu. Ameniambia wamefika ila gari imepitia garage kwa ajili ya check up na mafuta. Gari hii inatoka Mbeya. Hivi kwanini usumbufu huu kwa abiria? Sumatra why aboud???
Kama kuna sheria basi ziwe sawa kwa kampuni zote na ikiwa hivyo ina maana wenye magari wote watapeleka abiria kwenye garage zao.
Kama kuna sheria basi ziwe sawa kwa kampuni zote na ikiwa hivyo ina maana wenye magari wote watapeleka abiria kwenye garage zao.