figganigga
JF-Expert Member
- Oct 17, 2010
- 25,717
- 55,819
HEBI IWEKE HAPA TUAMINIMaafisa wa bunge waingizwa matatani, studio ya bunge nayo kikaangoni. NI Suala la kuonyesha 'clip' ya aliyekuwa waziri wa mambo ya ndani chales kitwanga na kusambaza kwenye mitandao ya kijamii.
Binafsi siamin sana kama video ya kitwanga kuonesha kuwa amelewa ilionwa mh rais lazma kuna mashushushu mule ndio wamemtonya na ndio ilikuwa inatafutwa sababu tu ikapatikana maana bunge halioneshwi live ni recorded muda huo presidar lazma awe amepumzika