TANZIA Steven Msaki bishoo wa Mbezi Beach afariki dunia

mdukuzi

JF-Expert Member
Jan 4, 2014
21,667
53,811
Mwana JF Steven Msaki ambaye ID yake siikumbuki ika najua ni member humu amefariki dunia

Kwa waliokulia masaki miaka ya 2000 kushuka chini,au Mbezi Beach miaka ya 2000 kuendlea wanamfahamu huyu mwamba

Alikulia familia ya kishua mboga saba tangu miaka ya 90s,mzee wake alikywa Don sana lakini mwamba alicgagua kuishi low profile

Kote alikisoma iwe Forodhani primary, St Anthon, Dakawa High School, Tumaini University na wizara ya Ardhi, walimchukulia powa kutokana na life style yake ya kujichanganya na kika aina ya watu

Wana Mbezi Beach hawatakusahau Bishoo Steve Msaki
MSalimie Babu Sikare😧
IMG-20250402-WA0016.jpg
 
Kwa waliokulua Ada Estate muaka ya 2000 kushuka chini,au Mbezi Beach miaka ya 200 kuendlea wanamfahamu huyu mwamba

Alikulia familia ya kishua mboga saba tangu miaka ya 90s,mzee wake alikywa Don sana lakini mwamba alicgagua kuishi low profile

Kote alikisoma iwe Forodhani primary,St Anthon,,Dakawa High School,Tumaini University na wizara ya Ardhi,walim yachukulia powa kutokana na life style yake ya kujichanganya na kika aina ya watu

Wana Mbezi Beach hawatakusahau Bishoo Steve Msaki
Uyo alikuwa tozi nyangema siyo bishoo inakuwaje unakosa picha yake
 
Kwa waliokulua Ada Estate muaka ya 2000 kushuka chini,au Mbezi Beach miaka ya 200 kuendlea wanamfahamu huyu mwamba

Alikulia familia ya kishua mboga saba tangu miaka ya 90s,mzee wake alikywa Don sana lakini mwamba alicgagua kuishi low profile

Kote alikisoma iwe Forodhani primary,St Anthon,,Dakawa High School,Tumaini University na wizara ya Ardhi,walimchukulia powa kutokana na life style yake ya kujichanganya na kika aina ya watu

Wana Mbezi Beach hawatakusahau Bishoo Steve Msaki
we mzee acha uongo,weka ushahidi
 
Back
Top Bottom