mdukuzi
JF-Expert Member
- Jan 4, 2014
- 21,667
- 53,811
Pamoja na mambo mengine kinachoikwamisha Azam ni kukosa mashabiki.
Stella wakiwa ugenini ni wakali kuliko kwao
Kule kwao hawana mashabiki kabisa kama Azam
Simba itakuwa kama iko kwa Mkapa tu.
Mchawi wetu atakuwa VAR,tusiruhusu goli hata la offside,wala kugongana na hao wazulu koko kAribu na goli,tusiruhusu kona wala mipira ya kurusha karibu na goli,na tufunge magoli ya mbali yasiyo na utata
Stella wakiwa ugenini ni wakali kuliko kwao
Kule kwao hawana mashabiki kabisa kama Azam
Simba itakuwa kama iko kwa Mkapa tu.
Mchawi wetu atakuwa VAR,tusiruhusu goli hata la offside,wala kugongana na hao wazulu koko kAribu na goli,tusiruhusu kona wala mipira ya kurusha karibu na goli,na tufunge magoli ya mbali yasiyo na utata