Kakumamoto
JF-Expert Member
- May 6, 2015
- 1,214
- 1,675
Wakuu habari?
Saa tatu usiku huu nataka kuangalia BBC dira ya dunia lakini star TV haipo kwenye orodha ya channel kwenye king'amuzi cha Azam.
Nyumbani namna gani!?
Nini shida?
Saa tatu usiku huu nataka kuangalia BBC dira ya dunia lakini star TV haipo kwenye orodha ya channel kwenye king'amuzi cha Azam.
Nyumbani namna gani!?
Nini shida?