Sri Lanka yaipuuza Marekani madai ya rushwa ya Adani, yasaini mkataba na Adani Group wa $553M kuendesha bandari ya Colombo

TaiPei

JF-Expert Member
Aug 4, 2022
569
608
===
Wakati kashfa dhidi yake zikiendelea Billionaire Gautam Adan amesema atatumia pesa yake ya mapato ya ndani kuijenga bandari ya Colombo Sri Lanka ikiwa ni baada ya kuachana na maombi ya Mkopo wa $553M alizoomba toka US International Development Finance Corporation (DFC) ya Marekani.

Wakati haya yakiendelea Rais Williams Ruto wa Kenya kwa shinikizo la Marekani yeye alishafutilia mbali mkataba wake wa kusambaza Umeme na Adani Group huku akisalia na Mkataba wa bima ya Afya wa STH unaotekelezwa na Adani Group.

Mamlaka za Sri Lanka zimepuuza madai ya rushwa dhidi ya Adani Gautam toka kwa Marekani na imeendelea na Utekelezaji wa Mradi wa Bandari wa zaidi ya $553 milioni wa
Colombo West International Terminal (CWIT) ambayo ni sehemu ya Bandari ya kina kirefu Cha Bandari ya Colombo nchini Sri Lanka,

Mamlaka za Tanzània ziligoma pia kuvunja mkataba wa Kuendesha Gate Namba 2 kwa kuzingatia ubora wa huduma zinazotolewa na Kampuni ya Adani Groups pamoja na sheria na miongozo ya Tanzania hata hivyo hazijasema kama zitaendelea au laa na mchakato wa kusaini mkataba wa kusamabaza Umeme wa zaidi ya TZS 3.3 utakaokuwa chini ya PPPC.

Pia soma https://www.business-standard.com/a...nding-for-colombo-project-124121001397_1.html

IMG-20241211-WA0237.jpg
 
Huyu Adani anapigwa vita tu na Marekani ila jamaa anapambana msije mkasema na Mimi nimepewe chochote ku-comment hapa😄😄
Wabongo ni bebdera fuata Upepo sana wanamwamini sana Marekani kuliko hata Viongozi wao
 
===
Wakati kashfa dhidi yake zikiendelea Billionaire Gautam Adan amesema atatumia pesa yake ya mapato ya ndani kuijenga bandari ya Colombo Sri Lanka ikiwa ni baada ya kuachana na maombi ya Mkopo wa $553M alizoomba toka US International Development Finance Corporation (DFC) ya Marekani.

Wakati haya yakiendelea Rais Williams Ruto wa Kenya kwa shinikizo la Marekani yeye alishafutilia mbali mkataba wake wa kusambaza Umeme na Adani Group huku akisalia na Mkataba wa bima ya Afya wa STH unaotekelezwa na Adani Group.

Mamlaka za Sri Lanka zimepuuza madai ya rushwa dhidi ya Adani Gautam toka kwa Marekani na imeendelea na Utekelezaji wa Mradi wa Bandari wa zaidi ya $553 milioni wa
Colombo West International Terminal (CWIT) ambayo ni sehemu ya Bandari ya kina kirefu Cha Bandari ya Colombo nchini Sri Lanka,

Mamlaka za Tanzània ziligoma pia kuvunja mkataba wa Kuendesha Gate Namba 2 kwa kuzingatia ubora wa huduma zinazotolewa na Kampuni ya Adani Groups pamoja na sheria na miongozo ya Tanzania hata hivyo hazijasema kama zitaendelea au laa na mchakato wa kusaini mkataba wa kusamabaza Umeme wa zaidi ya TZS 3.3 utakaokuwa chini ya PPPC.

Pia soma https://www.business-standard.com/a...nding-for-colombo-project-124121001397_1.html

View attachment 3174553
Sri Lanka yanajitambua au ndio wamelambishwa?
 
===
Wakati kashfa dhidi yake zikiendelea Billionaire Gautam Adan amesema atatumia pesa yake ya mapato ya ndani kuijenga bandari ya Colombo Sri Lanka ikiwa ni baada ya kuachana na maombi ya Mkopo wa $553M alizoomba toka US International Development Finance Corporation (DFC) ya Marekani.

Wakati haya yakiendelea Rais Williams Ruto wa Kenya kwa shinikizo la Marekani yeye alishafutilia mbali mkataba wake wa kusambaza Umeme na Adani Group huku akisalia na Mkataba wa bima ya Afya wa STH unaotekelezwa na Adani Group.

Mamlaka za Sri Lanka zimepuuza madai ya rushwa dhidi ya Adani Gautam toka kwa Marekani na imeendelea na Utekelezaji wa Mradi wa Bandari wa zaidi ya $553 milioni wa
Colombo West International Terminal (CWIT) ambayo ni sehemu ya Bandari ya kina kirefu Cha Bandari ya Colombo nchini Sri Lanka,

Mamlaka za Tanzània ziligoma pia kuvunja mkataba wa Kuendesha Gate Namba 2 kwa kuzingatia ubora wa huduma zinazotolewa na Kampuni ya Adani Groups pamoja na sheria na miongozo ya Tanzania hata hivyo hazijasema kama zitaendelea au laa na mchakato wa kusaini mkataba wa kusamabaza Umeme wa zaidi ya TZS 3.3 utakaokuwa chini ya PPPC.

Pia soma https://www.business-standard.com/a...nding-for-colombo-project-124121001397_1.html

View attachment 3174553
La kujifunza ni kama wamefuata taratibu za uwekezaji kwa mujibu wa Sheria zao na hakuna malalamiko kwa Wasrilanka. Kuhusu mwekezaji inawezekana ni bifu binafsi na Marekani labda hana tatizo la kiuwekezaji.
 
Kitendo Cha Sri Lanka kuibishia Marekani kunaonesha wanajitambua
La kujifunza ni kama wamefuata taratibu za uwekezaji kwa mujibu wa Sheria zao na hakuna malalamiko kwa Wasrilanka. Kuhusu mwekezaji inawezekana ni bifu binafsi na Marekani labda hana tatizo la kiuwekezaji.
 
===
Wakati kashfa dhidi yake zikiendelea Billionaire Gautam Adan amesema atatumia pesa yake ya mapato ya ndani kuijenga bandari ya Colombo Sri Lanka ikiwa ni baada ya kuachana na maombi ya Mkopo wa $553M alizoomba toka US International Development Finance Corporation (DFC) ya Marekani.

Wakati haya yakiendelea Rais Williams Ruto wa Kenya kwa shinikizo la Marekani yeye alishafutilia mbali mkataba wake wa kusambaza Umeme na Adani Group huku akisalia na Mkataba wa bima ya Afya wa STH unaotekelezwa na Adani Group.

Mamlaka za Sri Lanka zimepuuza madai ya rushwa dhidi ya Adani Gautam toka kwa Marekani na imeendelea na Utekelezaji wa Mradi wa Bandari wa zaidi ya $553 milioni wa
Colombo West International Terminal (CWIT) ambayo ni sehemu ya Bandari ya kina kirefu Cha Bandari ya Colombo nchini Sri Lanka,

Mamlaka za Tanzània ziligoma pia kuvunja mkataba wa Kuendesha Gate Namba 2 kwa kuzingatia ubora wa huduma zinazotolewa na Kampuni ya Adani Groups pamoja na sheria na miongozo ya Tanzania hata hivyo hazijasema kama zitaendelea au laa na mchakato wa kusaini mkataba wa kusamabaza Umeme wa zaidi ya TZS 3.3 utakaokuwa chini ya PPPC.

Pia soma https://www.business-standard.com/a...nding-for-colombo-project-124121001397_1.html

View attachment 3174553
Nchi itajengwa na wenye nchi tu
 
===
Wakati kashfa dhidi yake zikiendelea Billionaire Gautam Adan amesema atatumia pesa yake ya mapato ya ndani kuijenga bandari ya Colombo Sri Lanka ikiwa ni baada ya kuachana na maombi ya Mkopo wa $553M alizoomba toka US International Development Finance Corporation (DFC) ya Marekani.

Wakati haya yakiendelea Rais Williams Ruto wa Kenya kwa shinikizo la Marekani yeye alishafutilia mbali mkataba wake wa kusambaza Umeme na Adani Group huku akisalia na Mkataba wa bima ya Afya wa STH unaotekelezwa na Adani Group.

Mamlaka za Sri Lanka zimepuuza madai ya rushwa dhidi ya Adani Gautam toka kwa Marekani na imeendelea na Utekelezaji wa Mradi wa Bandari wa zaidi ya $553 milioni wa
Colombo West International Terminal (CWIT) ambayo ni sehemu ya Bandari ya kina kirefu Cha Bandari ya Colombo nchini Sri Lanka,

Mamlaka za Tanzània ziligoma pia kuvunja mkataba wa Kuendesha Gate Namba 2 kwa kuzingatia ubora wa huduma zinazotolewa na Kampuni ya Adani Groups pamoja na sheria na miongozo ya Tanzania hata hivyo hazijasema kama zitaendelea au laa na mchakato wa kusaini mkataba wa kusamabaza Umeme wa zaidi ya TZS 3.3 utakaokuwa chini ya PPPC.

Pia soma https://www.business-standard.com/a...nding-for-colombo-project-124121001397_1.html

View attachment 3174553
Screenshot_20241212-030328.jpg
 
===
Wakati kashfa dhidi yake zikiendelea Billionaire Gautam Adan amesema atatumia pesa yake ya mapato ya ndani kuijenga bandari ya Colombo Sri Lanka ikiwa ni baada ya kuachana na maombi ya Mkopo wa $553M alizoomba toka US International Development Finance Corporation (DFC) ya Marekani.

Wakati haya yakiendelea Rais Williams Ruto wa Kenya kwa shinikizo la Marekani yeye alishafutilia mbali mkataba wake wa kusambaza Umeme na Adani Group huku akisalia na Mkataba wa bima ya Afya wa STH unaotekelezwa na Adani Group.

Mamlaka za Sri Lanka zimepuuza madai ya rushwa dhidi ya Adani Gautam toka kwa Marekani na imeendelea na Utekelezaji wa Mradi wa Bandari wa zaidi ya $553 milioni wa
Colombo West International Terminal (CWIT) ambayo ni sehemu ya Bandari ya kina kirefu Cha Bandari ya Colombo nchini Sri Lanka,

Mamlaka za Tanzània ziligoma pia kuvunja mkataba wa Kuendesha Gate Namba 2 kwa kuzingatia ubora wa huduma zinazotolewa na Kampuni ya Adani Groups pamoja na sheria na miongozo ya Tanzania hata hivyo hazijasema kama zitaendelea au laa na mchakato wa kusaini mkataba wa kusamabaza Umeme wa zaidi ya TZS 3.3 utakaokuwa chini ya PPPC.

Pia soma https://www.business-standard.com/a...nding-for-colombo-project-124121001397_1.html

View attachment 3174553
Sasa Sri lanka/Ceylon ni nani hapa duniani hadi wawe mfano wa kuigwa?
 
===
Wakati kashfa dhidi yake zikiendelea Billionaire Gautam Adan amesema atatumia pesa yake ya mapato ya ndani kuijenga bandari ya Colombo Sri Lanka ikiwa ni baada ya kuachana na maombi ya Mkopo wa $553M alizoomba toka US International Development Finance Corporation (DFC) ya Marekani.

Wakati haya yakiendelea Rais Williams Ruto wa Kenya kwa shinikizo la Marekani yeye alishafutilia mbali mkataba wake wa kusambaza Umeme na Adani Group huku akisalia na Mkataba wa bima ya Afya wa STH unaotekelezwa na Adani Group.

Mamlaka za Sri Lanka zimepuuza madai ya rushwa dhidi ya Adani Gautam toka kwa Marekani na imeendelea na Utekelezaji wa Mradi wa Bandari wa zaidi ya $553 milioni wa
Colombo West International Terminal (CWIT) ambayo ni sehemu ya Bandari ya kina kirefu Cha Bandari ya Colombo nchini Sri Lanka,

Mamlaka za Tanzània ziligoma pia kuvunja mkataba wa Kuendesha Gate Namba 2 kwa kuzingatia ubora wa huduma zinazotolewa na Kampuni ya Adani Groups pamoja na sheria na miongozo ya Tanzania hata hivyo hazijasema kama zitaendelea au laa na mchakato wa kusaini mkataba wa kusamabaza Umeme wa zaidi ya TZS 3.3 utakaokuwa chini ya PPPC.

Pia soma https://www.business-standard.com/a...nding-for-colombo-project-124121001397_1.html

View attachment 3174553
Vita ya kibiashara ni kubwa sana
 
Marekani hataki kusikia Asia inatoa mabilionea ni jambo rahisi sana kuelewa hili
 
Back
Top Bottom