The Evil Genius
JF-Expert Member
- Mar 21, 2014
- 6,002
- 19,468
Nitoe kwenye hao vijana mkuu, sio wote tunawahitajiTuko VIJANA kibao tunawahitaji hawa single mothers tuwafute machozi...am ready
kwa hiyo,huyo single mother anae struggle with poverty and a culture of shame umlete aishi Tanzania atakubali?? Poverty ya Japan ni more then above by 80% middle class ya TanzaniaHabari.
Kumekua na hii tabia ya watu kukashfu wanawake wenye watoto bila baba zao yaani single mothers humu na katika jamii yote inayotuzunguka na kuwanyanyapaa single mothers.
Hali ni mbaya zaidi kwenye nchi zilizoendelea mfano Japan ambapo single mothers huadhirika sana na kua single mother Japan ni kujitakia aibu isiyo na mfano.
Hii tabia ya kuwamistreat single mothers haipo tu huku kwetu Tanzania na Afrika kwa ujumla wake bali pia iko pia nchi zikizoendelea.
Unaweza kujisomea mwenyewe.
View attachment 516059
In Japan, single mothers struggle with poverty and with shame In Japan, single mothers struggle with poverty and a ‘culture of shame’
Sio jf tuu mitandao yote angalia tu mtoa mada au wale wa kwanza kucoment ndio wanatoa muongozo wa nini cha kukoment sujui kwa nini au ni uwezo wa kufikiriJF bana, wa juu akianza positively wengine wanafuata hivyo hivyo....
Shangaa lakini ndio hivyo, kwenye hiyo orodha aninyofoe
Wanachama wengi ni BENDERA fuata UPEPO...JF bana, wa juu akianza positively wengine wanafuata hivyo hivyo....
Ngoja ajeCc Mange
Nitoe kwenye hao vijana mkuu, sio wote tunawahitaji
Umeona mkuu. Umeshaanza kuwa kama ugonjwa sasa.JF bana, wa juu akianza positively wengine wanafuata hivyo hivyo....