Nataka simu bora kwa charge, speed, net work had 5 G, picha nuzri sana kwa sh laki 5 au 6. Nomba ushauri
Mkuu Samsung Galaxy A33 5G inakidhi haya mahitaji. Ina 5G, battery nzuri, camera. Issue yake ni kwamba mtaani bei ni laki 7 (ambazo naziona online) pengine ukizunguka vizuri unaweza pata laki 6 ama 6 na nusu.
Sababu 5G imeishaingia TZ ni vyema kununua simu yenye 5G na band za kutosha A33 ina band nyingi sana kwa midrange
1, 3, 5, 7, 8, 20, 28, 38, 40, 41, 66, 78 SA/NSA/Sub6
Kwetu sisi tuna band hizi ambazo TCRA wameuza
2300 ama 40
2600 ama 38
3500 ama 78
700 ama (12 au 28)
Hapo sina uhakika kwenye hio 700 kama 700 yetu ni 12 ama 28 kama ni 28 ina maana ukiwa na A33 uhakika mtandao wowote ukitoa 5G kipindi cha karibuni simu yako inashika.
Hata kama hutanunua A33 hakikisha hio simu ina hizo bands.