Tafuta Google pixels boss utakuja kunishukuru baadaenataka simu bora kwa charge , speed, net work had 5 G, picha nuzri sana kwa sh laki 5 au 6. Nomba ushauri
Yaani mtu atoe laki ananunue haya matakataka ya tecno, infinix sijui nini, huu utakuwa ni ujuha.Chukua Infinix Note 12 hutajutia... check specs zake hapa chini..
![]()
Infinix Note 12 (2023) Price in Tanzania
Discover everything you need to know about the Infinix Note 12 (2023) in Tanzania, including full specs and pricing details. Learn more about Infinix Note 12priceintanzania.com
Kama ipi mkuu?Tafuta Google pixels boss utakuja kunishukuru baadae
Google Pixel 4 XLKama ipi mkuu?
Mkuu Samsung Galaxy A33 5G inakidhi haya mahitaji. Ina 5G, battery nzuri, camera. Issue yake ni kwamba mtaani bei ni laki 7 (ambazo naziona online) pengine ukizunguka vizuri unaweza pata laki 6 ama 6 na nusu.Nataka simu bora kwa charge, speed, net work had 5 G, picha nuzri sana kwa sh laki 5 au 6. Nomba ushauri