Pre GE2025 Simiyu: Mbunge wa jimbo la Itilima Njalu Silanga achangiwa Milioni moja na laki tano kwa ajili ya fomu ya kugombea ubunge, fomu ishalipiwa

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla, wakati na baada)

The Watchman

JF-Expert Member
Nov 7, 2023
722
1,183
Hivi mbunge anakosa hela ya kuchukulia fomu mpaka achangiwe? Na wanalipwa posho si chini ya laki sita kila siku huko bungeni, ni yale yale wanaomchangia Rais kila siku.. Mshana Jr weka neno hapa
====

Mbunge wa jimbo la Itilima Njalu Silanga amechangiwa pesa takribani 1,586,000 kwa ajili ya kuchukua fomu ya kugombea ubunge katika jimbo hilo.

Haya ni mambo za kupitishwa bil kupingwa.. eti fomu ya mbunge ishalipiwa, itakayobaki itaingizwa kwa madiwani maana kwenye ubunge wameshamaliza

Tukio hilo limejiri katika mkutano Mkuu Maalum Chama Cha Mapinduzi Jimbo la Itilima, mkoani Simiyu Februari 15, 2025 ambapo Mjumbe wa Kamati Kuu ya Halmashauri Kuu ya Taifa ya Chama cha Mapinduzi (CCM) na Waziri Mkuu wa Tanzania Kassim Majaliwa akiwa ni mgeni rasmi kwenye Mkutano Mkuu huo.

Pia soma: Pre GE2025 Special Thread: Mijadala na Matukio ya Uchaguzi Mikoa yote Tanzania Bara na Zanzibar kuelekea Uchaguzi Mkuu 2025



 
Hii ni comedy . Kuna kitabu kinaitwa Harakati za mtu Mweusi. Mwenye nacho akiweke hapa
 
kuna jamaa nasikia anaitwa Makongolo ndio anamuumiza kichwa njalu ndio maana anahangaika kusomba watu wilaya zingine kuja itilima kwa kushirikiana na kihongosi ili kupata picha za kumdanganya rais
 
kule Kilimanjaro huwezi kuta huu ujinga, huu unafanyika kwenye zone za porverty, huko ukitaka kupata definition ya what is Poverty nenda huko
 
Hivi mbunge anakosa hela ya kuchukulia fomu mpaka achangiwe? Na wanalipwa posho si chini ya laki sita kila siku huko bungeni, ni yale yale wanaomchangia Rais kila siku.. Mshana Jr weka neno hapa
====

Mbunge wa jimbo la Itilima Njalu Silanga amechangiwa pesa takribani 1,586,000 kwa ajili ya kuchukua fomu ya kugombea ubunge katika jimbo hilo.

Haya ni mambo za kupitishwa bil kupingwa.. eti fomu ya mbunge ishalipiwa, itakayobaki itaingizwa kwa madiwani maana kwenye ubunge wameshamaliza

Tukio hilo limejiri katika mkutano Mkuu Maalum Chama Cha Mapinduzi Jimbo la Itilima, mkoani Simiyu Februari 15, 2025 ambapo Mjumbe wa Kamati Kuu ya Halmashauri Kuu ya Taifa ya Chama cha Mapinduzi (CCM) na Waziri Mkuu wa Tanzania Kassim Majaliwa akiwa ni mgeni rasmi kwenye Mkutano Mkuu huo.

Pia soma: Pre GE2025 Special Thread: Mijadala na Matukio ya Uchaguzi Mikoa yote Tanzania Bara na Zanzibar kuelekea Uchaguzi Mkuu 2025

View attachment 3237012

View attachment 3236972
Hii nchi ina wajinga wengi sana. Impact yake ndio maana hatuendelei ki uchumi na ndio maana pia CCM itaendelea kuitawala milele.
 
Back
Top Bottom