Pre GE2025 Simbachawene: Serikali kudhibiti Rushwa Uchaguzi 2025. Wagombea, Vyama na Wapambe kuchunguzwa vyanzo vya mapato yao

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla, wakati na baada)

Waufukweni

JF-Expert Member
May 16, 2024
2,492
7,033
Waziri wa Nchi, Ofisi ya Rais, Menejiment ya Utumishi wa Umma na Utawala Bora, George Simbachawene amesema Serikali imejipanga kikamilifu kupambana na kudhibiti rushwa katika kipindi hiki cha Uchaguzi ikiwa ni pamoja na kufanya uchunguzi kuhusu vyanzo vya Mapato ya Wagombea, Wapambe wao na Vyama vya Siasa ili kudhibiti matumizi ya fedha haramu, kuchunguza na kuwachukulia hatua za Kiseria Wagombea na Wapambe watakaojihusisha na vitendo vya rushwa wakati wa Uchaguzi wa mwaka 2025.

Kupata matukio na taarifa zote kwa kila mkoa kuelekea Uchaguzi Mkuu 2025 ingia hapa: Special Thread: Mijadala na Matukio ya Uchaguzi Mikoa yote Tanzania Bara na Zanzibar kuelekea Uchaguzi Mkuu 2025

 
Safi sana watu kama Lisu na Lema hawana vyanzo vya mapato vya kueleweka vya kuendesha maisha yao marufuku kugombea
 
Nyoooo! Aanze na mzanzibari mwanamke aliyegawa rushwa ya pikipiki nchi nzima.
 
Waziri wa Nchi, Ofisi ya Rais, Menejiment ya Utumishi wa Umma na Utawala Bora, George Simbachawene amesema Serikali imejipanga kikamilifu kupambana na kudhibiti rushwa katika kipindi hiki cha Uchaguzi ikiwa ni pamoja na kufanya uchunguzi kuhusu vyanzo vya Mapato ya Wagombea, Wapambe wao na Vyama vya Siasa ili kudhibiti matumizi ya fedha haramu, kuchunguza na kuwachukulia hatua za Kiseria Wagombea na Wapambe watakaojihusisha na vitendo vya rushwa wakati wa Uchaguzi wa mwaka 2025.

Waziri wa Nchi, Ofisi ya Rais, Menejiment ya Utumishi wa Umma na Utawala Bora, George Simbachawene amesema Serikali imejipanga kikamilifu kupambana na kudhibiti rushwa katika kipindi hiki cha Uchaguzi ikiwa ni pamoja na kufanya uchunguzi kuhusu vyanzo vya Mapato ya Wagombea, Wapambe wao na Vyama vya Siasa ili kudhibiti matumizi ya fedha haramu, kuchunguza na kuwachukulia hatua za Kiseria Wagombea na Wapambe watakaojihusisha na vitendo vya rushwa wakati wa Uchaguzi wa mwaka 2025.
Anzeni na Tulia Ackson Mbunge wa Mbeya Mjini na Spika wa Bunge la JMT, ni wapi alipata hela azogawa kwenye misiba na pia anazotumia kuendeshea Tulia Trust pale Uyole.

Kinyume cha hapo muna wa TARGET small fishes tu wenye saving zao ndogo kuwazuia kupambana na hao BIG fish.
 
Back
Top Bottom