Simba wana kapu la magoli,Yanga wana kapu la pointi

pakacha77

Member
Aug 12, 2022
91
98
Nimeona baadhi ya mashabiki wa timu hizi mbili yaani Simba na Yanga, Simba wana kapu lililoandikwa kapu la magoli pindi unapoangalia mechi zao utaliona na Yanga wana kapu lililoandikwa kapu la pointi. Sasa Nani zuzu waliokuwa na kapu la magoli au kapu la pointi jibu unalo
 
Back
Top Bottom