Labani og
JF-Expert Member
- Sep 15, 2020
- 19,024
- 28,987
Bakuli lishaanza kutembezwa. Mlivyokuwa mnatoa viti mnasema Ubaya UbwelaHaya toeni pesa. Na Zile za Uwanja zipo wapi kwanza?
Makolo waomba kuchangia faini ya 100 million Ili kulipa faini Baada ya kuvunja viti
NB: yawezekana hata sio makolo waliovunja viti .... maybe ni kamati maalumu
Ubaya uboya...
Makolo waomba kuchangia faini ya 100 million Ili kulipa faini Baada ya kuvunja viti
NB: yawezekana hata sio makolo waliovunja viti .... maybe ni kamati maalumu
Ubaya uboya...