OKW BOBAN SUNZU
Platinum Member
- Aug 24, 2011
- 54,502
- 123,173
Simba imekuwa club ya kujipendekeza sana kwa serikali kama vile ni mali ya serikali. Walikuwa wavaa Visit Tanzania bure kabisa bila malipo, tofauti na wenzao Yanga. Wenzao wakapewa ndege mwaka juzi, wakati nyinyi mkihangaika kupeleka mashabiki.
Hovyo kabisa. Laana iwakute mkachapwe kichapo cha mbwa koko huko South Afrika