Majok majok
JF-Expert Member
- Aug 3, 2023
- 783
- 2,057
Hii sio afya kwa mafanikio ya wenzetu mbumbumbu, muda mwingine inabidi kuwapa ushauri tu ambao mnaweza kuchukua ama kuuacha ikiwapendeza kwa maana akuna Yanga Bora bila Simba imara na akuna Simba Bora bila yanga imara!
Aiwezekani makocha ndio wawe mbuzi wa kafara Kila mara pindi mambo yanapokwenda mama Kila msimu, mpaka Sasa ndani ya misimu 3 Simba amefukuza makocha 7 na anatafutwa kocha wa 8 kuja kupokea kijiti Cha BENCHIKHA aliyeamua kusepa baada ya Kuona mapichapicha ambayo ayaeleweki kwenye klabu!
Swali ni kivipi awa makocha wote ndio wanakuwa mbuzi wa kafara?
Ina maana Kila kocha anakuwa ameshindwa kuifundisha Simba? Kila kocha Hana mbinu? Tatizo la msingi pale Simba ni makocha? Hapana nakataa jambo hili kwa nguvu zote, umemleta BENCHIKHA akufikishe nusu fainali ya klabu bingwa vipi vitendea kazi alivyoomba awafikishe pale mnapopataka mlimpa?
Angewafikisha nusu fainali akiwa na wakina jobe? Fred? Onana?
Angewapa ubingwa wa ligi kuu akiwa na aina ya wachezaji wasiokuwa na Kasi Wala akili kubwa ya mpira?
Vipi kuhusu fungu la usajili linatoka kusajili wachezaji ambao makocha hao walihitaji ili kufikia malengo ya makocha husika kimbinu na kiufundi?
Matatizo ayo yote yanaangukia kwa viongozi, ambao ndio wanatakiwa watimize mahitaji ya kocha kwa ufasaha ili ata akiondolewa aondolewe kihalali lakini kwa viongozi wa Simba wote awako smart kusema na ukweli!
Kuanzia kwa Mo ambae ni mwekezaji ni kirusi namba moja pale Simba, Mo amekuwa na Tabia ya kihindi tunayoijua wengi, Tabia Ile waliokuwa wanaitumia wakoloni ya divide and rule! Mo amekuwa mchonganishi kwa viongozi na wanachama wao, kwa vyanzo vyangu vya ndani Mo amekuwa atoi pesa ya kutosha kuendesha klabu na mzigo mkubwa amekuwa akiubeba Try again kupambana kutafuta pesa uku na uko ili klabu isonge mbele!
Lakini kanjibhai amekuwa anakurupuka uko mafichoni na kutweet kuwa anatoa pesa, jambo ambalo limekuwa linampa wakati mgumu try again mbele ya wanachama na mashabiki maana wanahoji Kama pesa inatoka inakuwaje usajili unakuwa ni WA magumashi hivi?
Wanaletwa wachezaji wa Bei ndogo na viwango vya chini kiubora?
Kwa maana iyo uyu bwana Mo anakuwa anatafuta kujikosha kwa wanachama aonekane yeye anafanya kazi yake ya kutoa pesa ipasavyo lakini viongozi ndio wanazitafuna!!! Na try again amekuwa Misri wa kumfichia bossi wake uhuni wake ili asitoe Siri za taasisi matokeo yake anajishushia heshima yake!
Nawaambia wanachama wa Simba tatizo la kwanza la Simba ni Mo! Kabla amjadili na makocha Kila msimu muangalieni kwanza uyo mwekezaji wenu ni kirusi!
Tatizo la pili ni viongozi wenyewe na wanachama wenu, Kuna mpasuko mkubwa uliozaliwa kwenye uchaguzi uliopita, Kuna wanachama awakufurahishwa na uongozi ulioingizwa madarakani kupitia mlango wa nyuma, na kumuweka mangungu pale, mgawanyiko huu auwezi kuwaacha salama ata kidogo.
Tatizo la Tatu ni katiba yenu mliyoipitisha Ina mapungufu mengi sana ambayo yataendelea kuwatafuna sana, inakuwaje mwekezaji mwenye hisa 49% anakuwa na nguvu kuliko wanachama wenye hisa 51%?
Apo ndipo utapoona mangungu analaumiwa bure maana yeye kazi yake ni kufungua na kufunga vikao Hana mamlaka yoyote Wala nguvu, mwenye nguvu ni Try again ambae Yuko upande wa mwekezaji!
Na ilikuwaje katiba yenu ikaruhusu mwekezaji mmoja tu kwenye klabu?
Jambo hili litawatesa sana kwa maana uyu kanjibhai ndio maana anafanya anachojisikia kufanya akiamua kuzira anazira anajua mtamfata kumlamba miguu na kumpigia magoti mgejifunza katiba ya yanga ilivyo imenyooka Kama rula ingewasaidia kuiga kizuri Cha mwenzako sio kosa!
Kwa maana iyo Simba matatizo sio ya makocha wanaofukuzwa Kila uchwao Bali matatizo ya msingi ni ayo wakirekebisha uko watakaa sawa maana Kuna wanachama Wana vinyongo awawezi kukubali Simba ipate mafanikio watafanya Kila njia waiferisha kutokana na mpasuko uliopo na katu timu aiwezi kufanikiwa kwa stahili iyo!
Umoja na mshikamano ndio Siri ya mafanikio kwenye hivi vilabu vya Simba na yanga tofauti na hapo ni ngumu!
Aiwezekani makocha ndio wawe mbuzi wa kafara Kila mara pindi mambo yanapokwenda mama Kila msimu, mpaka Sasa ndani ya misimu 3 Simba amefukuza makocha 7 na anatafutwa kocha wa 8 kuja kupokea kijiti Cha BENCHIKHA aliyeamua kusepa baada ya Kuona mapichapicha ambayo ayaeleweki kwenye klabu!
Swali ni kivipi awa makocha wote ndio wanakuwa mbuzi wa kafara?
Ina maana Kila kocha anakuwa ameshindwa kuifundisha Simba? Kila kocha Hana mbinu? Tatizo la msingi pale Simba ni makocha? Hapana nakataa jambo hili kwa nguvu zote, umemleta BENCHIKHA akufikishe nusu fainali ya klabu bingwa vipi vitendea kazi alivyoomba awafikishe pale mnapopataka mlimpa?
Angewafikisha nusu fainali akiwa na wakina jobe? Fred? Onana?
Angewapa ubingwa wa ligi kuu akiwa na aina ya wachezaji wasiokuwa na Kasi Wala akili kubwa ya mpira?
Vipi kuhusu fungu la usajili linatoka kusajili wachezaji ambao makocha hao walihitaji ili kufikia malengo ya makocha husika kimbinu na kiufundi?
Matatizo ayo yote yanaangukia kwa viongozi, ambao ndio wanatakiwa watimize mahitaji ya kocha kwa ufasaha ili ata akiondolewa aondolewe kihalali lakini kwa viongozi wa Simba wote awako smart kusema na ukweli!
Kuanzia kwa Mo ambae ni mwekezaji ni kirusi namba moja pale Simba, Mo amekuwa na Tabia ya kihindi tunayoijua wengi, Tabia Ile waliokuwa wanaitumia wakoloni ya divide and rule! Mo amekuwa mchonganishi kwa viongozi na wanachama wao, kwa vyanzo vyangu vya ndani Mo amekuwa atoi pesa ya kutosha kuendesha klabu na mzigo mkubwa amekuwa akiubeba Try again kupambana kutafuta pesa uku na uko ili klabu isonge mbele!
Lakini kanjibhai amekuwa anakurupuka uko mafichoni na kutweet kuwa anatoa pesa, jambo ambalo limekuwa linampa wakati mgumu try again mbele ya wanachama na mashabiki maana wanahoji Kama pesa inatoka inakuwaje usajili unakuwa ni WA magumashi hivi?
Wanaletwa wachezaji wa Bei ndogo na viwango vya chini kiubora?
Kwa maana iyo uyu bwana Mo anakuwa anatafuta kujikosha kwa wanachama aonekane yeye anafanya kazi yake ya kutoa pesa ipasavyo lakini viongozi ndio wanazitafuna!!! Na try again amekuwa Misri wa kumfichia bossi wake uhuni wake ili asitoe Siri za taasisi matokeo yake anajishushia heshima yake!
Nawaambia wanachama wa Simba tatizo la kwanza la Simba ni Mo! Kabla amjadili na makocha Kila msimu muangalieni kwanza uyo mwekezaji wenu ni kirusi!
Tatizo la pili ni viongozi wenyewe na wanachama wenu, Kuna mpasuko mkubwa uliozaliwa kwenye uchaguzi uliopita, Kuna wanachama awakufurahishwa na uongozi ulioingizwa madarakani kupitia mlango wa nyuma, na kumuweka mangungu pale, mgawanyiko huu auwezi kuwaacha salama ata kidogo.
Tatizo la Tatu ni katiba yenu mliyoipitisha Ina mapungufu mengi sana ambayo yataendelea kuwatafuna sana, inakuwaje mwekezaji mwenye hisa 49% anakuwa na nguvu kuliko wanachama wenye hisa 51%?
Apo ndipo utapoona mangungu analaumiwa bure maana yeye kazi yake ni kufungua na kufunga vikao Hana mamlaka yoyote Wala nguvu, mwenye nguvu ni Try again ambae Yuko upande wa mwekezaji!
Na ilikuwaje katiba yenu ikaruhusu mwekezaji mmoja tu kwenye klabu?
Jambo hili litawatesa sana kwa maana uyu kanjibhai ndio maana anafanya anachojisikia kufanya akiamua kuzira anazira anajua mtamfata kumlamba miguu na kumpigia magoti mgejifunza katiba ya yanga ilivyo imenyooka Kama rula ingewasaidia kuiga kizuri Cha mwenzako sio kosa!
Kwa maana iyo Simba matatizo sio ya makocha wanaofukuzwa Kila uchwao Bali matatizo ya msingi ni ayo wakirekebisha uko watakaa sawa maana Kuna wanachama Wana vinyongo awawezi kukubali Simba ipate mafanikio watafanya Kila njia waiferisha kutokana na mpasuko uliopo na katu timu aiwezi kufanikiwa kwa stahili iyo!
Umoja na mshikamano ndio Siri ya mafanikio kwenye hivi vilabu vya Simba na yanga tofauti na hapo ni ngumu!