Kitimoto
JF-Expert Member
- Aug 25, 2012
- 6,831
- 7,680
Kila kitu vimewekwa sawa, waamuzi, makocha wa timu pinzani na baadhi ya wachezaji wa timu pinzani wameshawekwa sawa kazi yetu leo ni ushindi mnono huyo Utopolo atajuta.
Kadi Nyekundu itatolewa kwa mchezaji/wachezaji wa timu pinzani iwapo wataonyesha hasira ama kufanya rafu inayohitaji kadi ya njano. Tutapewa penalti na goli/magoli tutakayofungwa yatakataliwa na refa.
UBAYA UBWELA
Kadi Nyekundu itatolewa kwa mchezaji/wachezaji wa timu pinzani iwapo wataonyesha hasira ama kufanya rafu inayohitaji kadi ya njano. Tutapewa penalti na goli/magoli tutakayofungwa yatakataliwa na refa.
UBAYA UBWELA