Sikukuu ilikuwa April 21, Mh Rais akatoa agizo kuwa mishahara ilipwe kuanzia April 14 2023 na ikawezekana vipi Pasaka mwaka huu, wamelipwa?

Mwaka 2023 uko Zanzibar Mh Rais alitoa agizo mishahara ilipwe kuanzia April 14 Ili sikuu ya Eid watu wawe na pesa na kuweza furahia sikuu kwani sikuu ilikuwa April 21, 2023 na ikawezekana wakalipwa

Je mwaka huu pasaka inadondokea tarehe 20 je wamelipwa
Ni reforms no election tena vile pasakq watakazia. Hili jambo 😆😆😆
 
Mwaka 2023 uko Zanzibar Mh Rais alitoa agizo mishahara ilipwe kuanzia April 14 Ili sikuu ya Eid watu wawe na pesa na kuweza furahia sikuu kwani sikuu ilikuwa April 21, 2023 na ikawezekana wakalipwa

Je mwaka huu pasaka inadondokea tarehe 20 je wamelipwa
Kwani kuna mfanyakazi unamdai ?
 
Mwaka 2023 uko Zanzibar Mh Rais alitoa agizo mishahara ilipwe kuanzia April 14 Ili sikuu ya Eid watu wawe na pesa na kuweza furahia sikuu kwani sikuu ilikuwa April 21, 2023 na ikawezekana wakalipwa

Je mwaka huu pasaka inadondokea tarehe 20 je wamelipwa
Mlishaambiwa siyo waswafi
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom