REJESHO HURU
JF-Expert Member
- Mar 6, 2014
- 4,714
- 10,034
Mwaka 2023 uko Zanzibar Mh Rais alitoa agizo mishahara ilipwe kuanzia April 14 Ili sikuu ya Eid watu wawe na pesa na kuweza furahia sikuu kwani sikuu ilikuwa April 21, 2023 na ikawezekana wakalipwa
Je mwaka huu pasaka inadondokea tarehe 20 je wamelipwa
Je mwaka huu pasaka inadondokea tarehe 20 je wamelipwa