Siku yangu ya kwanza kufika Pangani Tanga, haya ndio yalionikuta

Mohamedex121

JF-Expert Member
Jan 27, 2022
1,733
3,294
Baada ya kujichangachanga kama laki 2 na nusu, nikapanga niende pangani tanga kumsaka mtaalamu (mganga wa kienyeji) kwaajili ya tiba ya maradhi yaliokuwa yakinisumbua pamoja na kuweka mambo yangu sawa.

Safari niliianza nikitokea Dar kwa basi la kampuni ya hood, nauli ikiwa 22000, na majira ya saa 8 mchana nikawa nimeshafika tanga mjini karibu na ngamiani stand (hii ndio mara yangu ya kwanza kufika tanga nikiwa sina ndugu wala mwenyeji wangu)

Nikashangazwa na watu watanga kunipokea kama ndugu yao hasa mabodaboda, makonda na madereva wa mabasi yanayoenda pangani, mama ntilie, Abiria wenzangu Nk. Nikakumbuka ule msemo wa kuwa watu wa tanga ni wakarimu sana. Nimelifurahia sana hilo nilipokuwa apo tanga.

Nauli kutoka tanga mjini mpaka pangani ni 4000 na mida ya saa 11 jioni nikawa nipo pangani stendi, muda ulikuwa umeenda nikaona bora nitafute lodge nilale kwanza kisha asubuhi ya kesho nianze kumsaka huyo mtaalamu

NITAENDELEA KWENYE KOMENTI BAADAE KWASASA NINAKAZI NAIFANYA APA HIVO TUVUMILIANE.
 
Baada ya kujichangachanga kama laki 2 na nusu, nikapanga niende pangani tanga kumsaka mtaalamu (mganga wa kienyeji) kwaajili ya tiba ya maradhi yaliokuwa yakinisumbua pamoja na kuweka mambo yangu sawa.

Safari niliianza nikitokea Dar kwa basi la kampuni ya hood, nauli ikiwa 22000, na majira ya saa 8 mchana nikawa nimeshafika tanga mjini karibu na ngamiani stand (hii ndio mara yangu ya kwanza kufika tanga nikiwa sina ndugu wala mwenyeji wangu)

Nikashangazwa na watu watanga kunipokea kama ndugu yao hasa mabodaboda, makonda na madereva wa mabasi yanayoenda pangani, mama ntilie, Abiria wenzangu Nk. Nikakumbuka ule msemo wa kuwa watu wa tanga ni wakarimu sana. Nimelifurahia sana hilo nilipokuwa apo tanga.

Nauli kutoka tanga mjini mpaka pangani ni 4000 na mida ya saa 11 jioni nikawa nipo pangani stendi, muda ulikuwa umeenda nikaona bora nitafute lodge nilale kwanza kisha asubuhi ya kesho nianze kumsaka huyo mtaalamu

NITAENDELEA KWENYE KOMENTI BAADAE KWASASA NINAKAZI NAIFANYA APA HIVO TUVUMILIANE.
ewe mganga/dalali wake weka hiyo namba acha kuchosha watu.
 
Baada ya kujichangachanga kama laki 2 na nusu, nikapanga niende pangani tanga kumsaka mtaalamu (mganga wa kienyeji) kwaajili ya tiba ya maradhi yaliokuwa yakinisumbua pamoja na kuweka mambo yangu sawa.

Safari niliianza nikitokea Dar kwa basi la kampuni ya hood, nauli ikiwa 22000, na majira ya saa 8 mchana nikawa nimeshafika tanga mjini karibu na ngamiani stand (hii ndio mara yangu ya kwanza kufika tanga nikiwa sina ndugu wala mwenyeji wangu)

Nikashangazwa na watu watanga kunipokea kama ndugu yao hasa mabodaboda, makonda na madereva wa mabasi yanayoenda pangani, mama ntilie, Abiria wenzangu Nk. Nikakumbuka ule msemo wa kuwa watu wa tanga ni wakarimu sana. Nimelifurahia sana hilo nilipokuwa apo tanga.

Nauli kutoka tanga mjini mpaka pangani ni 4000 na mida ya saa 11 jioni nikawa nipo pangani stendi, muda ulikuwa umeenda nikaona bora nitafute lodge nilale kwanza kisha asubuhi ya kesho nianze kumsaka huyo mtaalamu

NITAENDELEA KWENYE KOMENTI BAADAE KWASASA NINAKAZI NAIFANYA APA HIVO TUVUMILIANE.
Sasa kama ulikuwa na shughuli za kufanya si ungemaliza kwanza au ulikuwa unawahi nafasi.
 
Baada ya kujichangachanga kama laki 2 na nusu, nikapanga niende pangani tanga kumsaka mtaalamu (mganga wa kienyeji) kwaajili ya tiba ya maradhi yaliokuwa yakinisumbua pamoja na kuweka mambo yangu sawa.

Safari niliianza nikitokea Dar kwa basi la kampuni ya hood, nauli ikiwa 22000, na majira ya saa 8 mchana nikawa nimeshafika tanga mjini karibu na ngamiani stand (hii ndio mara yangu ya kwanza kufika tanga nikiwa sina ndugu wala mwenyeji wangu)

Nikashangazwa na watu watanga kunipokea kama ndugu yao hasa mabodaboda, makonda na madereva wa mabasi yanayoenda pangani, mama ntilie, Abiria wenzangu Nk. Nikakumbuka ule msemo wa kuwa watu wa tanga ni wakarimu sana. Nimelifurahia sana hilo nilipokuwa apo tanga.

Nauli kutoka tanga mjini mpaka pangani ni 4000 na mida ya saa 11 jioni nikawa nipo pangani stendi, muda ulikuwa umeenda nikaona bora nitafute lodge nilale kwanza kisha asubuhi ya kesho nianze kumsaka huyo mtaalamu

NITAENDELEA KWENYE KOMENTI BAADAE KWASASA NINAKAZI NAIFANYA APA HIVO TUVUMILIANE.
Nasubiri uweke picha.
 
IMG-20250419-WA0478.jpg
 
Baada ya kujichangachanga kama laki 2 na nusu, nikapanga niende pangani tanga kumsaka mtaalamu (mganga wa kienyeji) kwaajili ya tiba ya maradhi yaliokuwa yakinisumbua pamoja na kuweka mambo yangu sawa.

Safari niliianza nikitokea Dar kwa basi la kampuni ya hood, nauli ikiwa 22000, na majira ya saa 8 mchana nikawa nimeshafika tanga mjini karibu na ngamiani stand (hii ndio mara yangu ya kwanza kufika tanga nikiwa sina ndugu wala mwenyeji wangu)

Nikashangazwa na watu watanga kunipokea kama ndugu yao hasa mabodaboda, makonda na madereva wa mabasi yanayoenda pangani, mama ntilie, Abiria wenzangu Nk. Nikakumbuka ule msemo wa kuwa watu wa tanga ni wakarimu sana. Nimelifurahia sana hilo nilipokuwa apo tanga.

Nauli kutoka tanga mjini mpaka pangani ni 4000 na mida ya saa 11 jioni nikawa nipo pangani stendi, muda ulikuwa umeenda nikaona bora nitafute lodge nilale kwanza kisha asubuhi ya kesho nianze kumsaka huyo mtaalamu

NITAENDELEA KWENYE KOMENTI BAADAE KWASASA NINAKAZI NAIFANYA APA HIVO TUVUMILIANE.
INAENDELEA.......
Nilipofika lodge nikamcheki mtaalam ,nikamwambia kwa sasa nipo Pangani lodge fulani siwezi nikataja jina, nikamuomba anitumie jini maimuna makata kiuno aje lodge kunipa kampani hadi kesho nikienda kwake, na kweli mganga akafanya hivyo.

MWISHO
 
INAENDELEA.......
Nilipofika lodge nikamcheki mtaalam ,nikamwambia kwa sasa nipo Pangani lodge fulani siwezi nikataja jina, nikamuomba anitumie jini maimuna makata kiuno aje lodge kunipa kampani hadi kesho nikienda kwake, na kweli mganga akafanya hivyo.

MWISHO
Ushatuona sisi ni makalio kama wewe sio?
 
Back
Top Bottom