Pre GE2025 Siku ya Wanawake Duniani: Wanawake acheni kubwetekea kubebwa. Viti Maalumu ni kubebwa

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla, wakati na baada)

Pascal Mayalla

Platinum Member
Sep 22, 2008
54,142
122,588
Wanabodi,

Leo ni Siku ya Wanawake Duniani, hivyo hizi ni salaam zangu za Siku ya Wanawake Duniani kwa wanawake wote wa Tanzania. Kwa Tanzania, Maadhimisho rasmi ya kitaifa yanafanyikia Uwanja wa Sheikh Amri Abedi, jijini Arusha, mgeni Rasmi akiwa ni Rais Samia.

Hili ni bandiko la swali, kwa maoni yangu nafasi za upendeleo kwa wanawake vikiwemo viti maalum, vinawadumaza wanawake na kuwafanya wabweteke, hivyo kwanza nawashauri Wanawake wote wa Tanzania, Acheni Kubwetekea Kubebwa bebwa ikiwemo Viti Maalumu, kwa jinsi Rais Samia alivyojibeba, sasa wanawake wengi wanaamka na kujibeba, bado kuna haja ya kuendelea kuwepo viti maalum au tuvifute na wanawake mjibebe?, aukwa vile kubebwa ni uroda, wanawake mnapenda uroda, hivyo mnalazimika kubebwa, tuvifute viti maalum mjibebe, au tuviache muendelee kula uroda kwa kubebwa?.

Nikimuangalia na kumsikiliza Rais Samia, tangu ameshika urais wa Tanzania, kiukweli ameutendea haki kustahili kupewa maua yake!, ameleta mwamko na msisimko mkubwa wa ajabu wa ukombozi wa mwamke, wanawake wengi wa Tanzania, sasa sio tuu wanajituma, na wana jibeba, bali sasa wanawake wanajiamini, wanajitambua, wanatembea vifua mbele, tena kuna baadhi wa mababa ndani ya nyumba zetu, tunakoma ila hatusemi tuu, samani tulikuwa kwa vile ni sisi tunanunua chakula, na tumekilipia bei ya jumla, tulikuwa tukitaka kula, tunajilia tuu tunavyotaka, sasa hivi sio hivyo tena, ukitaka kula sio unajichukulia na kujilia, sasa ni lazima uombe chakula, upakuliwe ndipo ule!.

Kupata taarifa na matukio yanayojiri kuelekea uchaguzi mkuu kwa kila mkoa ingia hapa: Special Thread: Mijadala na Matukio ya Uchaguzi Mikoa yote Tanzania Bara na Zanzibar kuelekea Uchaguzi Mkuu 2025

Hivyo hiyo mitano tena ikikamilika, hapo October, 2025, kutakuwa hakuna sababu kabisa ya wanawake wa Tanzania kuendelea kubebwa kwa viti maalum, wengi wanabweteka!, Rais Samia hakubebwa, ifike mahali wanawake wote muache kubwetekea kubebwa bebwa, sasa mjibebe kama Rais Samia!.

Kwa miongo kadhaa, wanawake wamekuwa wakinyanyaswa, kubaguliwa, kudhalilishwa na kudharauriwa kwasababu tuu ya jinsia yao, lakini urais wa Rais Samia kama Rais Mwanamke wa kwanza, umeleta ukombozi mkubwa kwa wanawake wa Tanzania.

Ili kuwatendea haki wanawake kupata haki sawa na wanaume, ukabuniwa utaratibu maalum wa upendeleo kwa wanawake, unaoitwa kwa jina la kizungu, affirmative action, hivyo mkutano wa kimataifa wa wanawake duniani, uliofanyinyika jijini Beijing nchini China, ukatangaza ili kuleta usawa wa kijinsia duniani, nafasi za wanawake kwenye uongozi lazima zifikie 50/50 kwa wanawake na wanaume.

Ili kufikia lengo hilo, Tanzania, tukaanzisha nafasi za upendeleo la wanawake katika maeneo mengi, vikiwemo nafasi za viti maalum Bungeni na kwenye udiwani.

Miongoni mwa nafasi ambazo hazikuwahi kufikiriwa kushikwa na mwanamke ni nafasi ya urais wa Jamhuri ya Muungano kupitia CCM. Japo CCM ilimteua Rais Samia kuwa makamo wa rais, hakuna mtu yeyote aliyewahi kufikiria kuwa kuna siku rais wa JMT anaweza kufariki akiwa madarakani, hivyo ilipotokea Rais JPM kufariki akiwa madarakani, na kwa mujibu wa katiba makamo wa rais, ndie anapaswa kuapishwa kuwa rais, tukio lilipotokea, kwa vile makamo wa rais ni mwanamke, kulitokea kizungumkuti ambacho hakikutangazwa, na watu kujiuliza sasa itakuwaje?.

Tarehe 13 Machi, saa 12 jioni, Mtanzania fulani wa idara nyeti, aliposti video ya jambo fulani kwenye mtandao wa YouTube akitokea Uingereza, (Video hiyo tembelea Je, leo inaweza kuwa ndio ile siku? Ukweli halisi ni upi? Nini hasa kilitokea na kwanini tulijulishwa baada ya siku 5?)

Kesho yake Serikali ya Mapinduzi Zanzibar, alifuta shughuli zote za kawaida ikiwemo kufuta shughuli zote za umma za rais wa Zanzibar bila kutoa maelezo yoyote!.

Kesho yake huku Tanzania bara, shughuli zinaendelea kama kawaida as if nothing happened!. Baada ya kupostiwa ile video, minong’ono ya mahali JPM alipo ikaanza, Waziri Mkuu ili kuzima hiyo minongono, akatangaza JPM yuko fiti bukheri wa afya, yuko ofisini anachapa kazi!, au mlitaka aende Kariakoo?.

Kesho yake, Makamo wa Rais akaanza ziara ya Tanga, hiyo inamaanisha ametumwa na JPM. Ni wakati akiwa ziarani Tanga, Tarehe 17 Machi, 2021, ndipo Rais Samia akatangaza msiba wa Taifa kuwa JPM amefariki baada ya kuugua!, na kuonyesha, hata hiyo tarehe 12 Machi, Waziri Mkuu hakuambiwa hali ya afya ya JPM, alifichwa!. Waziri Mkuu Kassim Majaliwa: Rais Magufuli ni mzima na anachapa kazi. Wanataka atoke, atoke aende wapi? Kariakoo au Magomeni? Makamo wa Rais alipopangiwa ziara ya Tanga, kuonyesha alipangiwa na JPM, naye pia alifichwa!, ina maana kuna mtu alimpangia kazi Makamu, kujifanya kapangiwa na JPM, ili kumzuga!.

Hiki kizungumkuti kilitokea kwasababu Makamo alikuwa ni mwanamke, watu wakiulizana ilikuwaje!. Za chini ya kapeti zinasema, taarifa ilipomfikia Mkuu wa Majeshi, CDF, Mabeyo, ndipo akawaamuru wahusika katiba ifuatwe, ndipo Makamo Rais Samia, akapelekewa taarifa na kutangazia huko huko Tanga. Uthibitisho wa kizungumkuti hiki, ni baada tuu ya Rais Samia kuapishwa kuwa Rais wa JMT, kazi ya kwanza ni pangua pangua ya Ikulu!.

Hii inamaanisha, kama lisingetokea lile tukio la Mach 17, Tanzania isingepata rais Mwanamke!. Naomba niwaibie jambo jingine kuhusu urais wa mwanamke, lisingetokea lile tukio la Machi 17, yaani JPM angeendelea mpaka 2025, amimi nakuambia, CCM isingemsimamisha mgombea mwanamke kwenye urais!.

Hivyo nikisema Tanzania tumepata rais Mwanamke kwa kudra tuu za Mwenyeenzi Mungu, lakini baada ya Rais Samia kuwa rais wa JMT, akashauri uchaguzi wa 2025, twende na mwanamke, na Watanzania tumchague rais mwanamke na kukamilisha usawa wa kijinsia, na miminilitoa wito humu Watanzania, tuunge mkono 2025 ni zamu ya Mwanamke, ila sio lazima awe yeye bali yule aliyepangiwa na 'YEYE', kama ni yeye aliyepangiwa, then ni yeye!

Kwa vile uchaguzi wa 2025, Watanzania tunakwenda kumchagua rais mwanamke,
naomba tutangaze mwaka huu 2025 uwe ni mwaka wa ukombozi wa mwanamke. Wanawake wenye sifa kutoka vyama vyote, wajitokeze kwa wingi kugombea kumuunga mkono Rais Samia, na vyama viteue wagombea wanawake kwa wingi kwenye majimbo yote ya ubunge, udiwani, uwakilishi na shehia, kisha Watanzania tuwapigie kampeni ya nguvu, tuwachague hata kupitiliza hiyo 50/50.

Na baada ya kufanikiwa kuchagua rais mwanamke, wabunge, wawakilishi na madiwani wa kutosha kupitiliza hata hiyo 50/50, najua kazi ya kwanza ya Bunge jipya ni kufanya mabadiliko madogo ya katiba kwa hati ya dharura, kuiingiza Dira ya Maendeleo 2550, kama haitaingizwa Bunge la Aprili, hivyo tuitumie fursa hiyo kuvifuta rasmi viti maalum, kwasababu usawa wa kijinsia utakuwa umekamilika kwa Rais Samia kuwawezesha wanawake kujibeba, hakuna tena sababu ya kuendelea kubebwa bebwa na mbeleko ya viti maalum, maana kuendelea kuwepo kwa viti hivi, kunapelekea wanawake kuendelea kubweteka.

Maadam Rais Samia ni mwanamke na ameweza kuwa rais wa Tanzania kwa kujibeba, Urais wa Samia 2025, uwe ni ukombozi wa mwanamke, hakuna tena tena kubebwa, wanawake mjibebe!. Je, Wabunge Viti Maalum ni wa kubebwa? Mnaonaje iwe ni awamu moja tuu kisha waendeni jimboni, kupisha wengine, au waendelee kubebwa tu?

Heri ya Siku ya Wanawake.

Paskali.
 
Wanabodi,

Leo ni Siku ya Wanawake Duniani, hivyo hizi ni salaam zangu za Siku ya Wanawake Duniani kwa wanawake wote wa Tanzania. Kwa Tanzania, Maadhimisho rasmi ya kitaifa yanafanyikia Uwanja wa Sheikh Amri Abedi, jijini Arusha, mgeni Rasmi akiwa ni Rais Samia.

Hili ni bandiko la swali, kwa maoni yangu nafasi za upendeleo kwa wanawake vikiwemo viti maalum, vinawadumaza wanawake na kuwafanya wabweteke, hivyo kwanza nawashauri Wanawake wote wa Tanzania, Acheni Kubwetekea Kubebwa bebwa ikiwemo Viti Maalumu, kwa jinsi Rais Samia alivyojibeba, sasa wanawake wengi wanaamka na kujibeba, bado kuna haja ya kuendelea kuwepo viti maalum au tuvifute na wanawake mjibebe?, aukwa vile kubebwa ni uroda, wanawake mnapenda uroda, hivyo mnalazimika kubebwa, tuvifute viti maalum mjibebe, au tuviache muendelee kula uroda kwa kubebwa?.

Nikimuangalia na kumsikiliza Rais Samia, tangu ameshika urais wa Tanzania, kiukweli ameutendea haki kustahili kupewa maua yake!, ameleta mwamko na msisimko mkubwa wa ajabu wa ukombozi wa mwamke, wanawake wengi wa Tanzania, sasa sio tuu wanajituma, na wana jibeba, bali sasa wanawake wanajiamini, wanajitambua, wanatembea vifua mbele, tena kuna baadhi wa mababa ndani ya nyumba zetu, tunakoma ila hatusemi tuu, samani tulikuwa kwa vile ni sisi tunanunua chakula, na tumekilipia bei ya jumla, tulikuwa tukitaka kula, tunajilia tuu tunavyotaka, sasa hivi sio hivyo tena, ukitaka kula sio unajichukulia na kujilia, sasa ni lazima uombe chakula, upakuliwe ndipo ule!.

Hivyo hiyo mitano tena ikikamilika, hapo October, 2025, kutakuwa hakuna sababu kabisa ya wanawake wa Tanzania kuendelea kubebwa kwa viti maalum, wengi wanabweteka!, Rais Samia hakubebwa, ifike mahali wanawake wote muache kubwetekea kubebwa bebwa, sasa mjibebe kama Rais Samia!.

Kwa miongo kadhaa, wanawake wamekuwa wakinyanyaswa, kubaguliwa, kudhalilishwa na kudharauriwa kwasababu tuu ya jinsia yao, lakini urais wa Rais Samia kama Rais Mwanamke wa kwanza, umeleta ukombozi mkubwa kwa wanawake wa Tanzania.

Ili kuwatendea haki wanawake kupata haki sawa na wanaume, ukabuniwa utaratibu maalum wa upendeleo kwa wanawake, unaoitwa kwa jina la kizungu, affirmative action, hivyo mkutano wa kimataifa wa wanawake duniani, uliofanyinyika jijini Beijing nchini China, ukatangaza ili kuleta usawa wa kijinsia duniani, nafasi za wanawake kwenye uongozi lazima zifikie 50/50 kwa wanawake na wanaume.

Ili kufikia lengo hilo, Tanzania, tukaanzisha nafasi za upendeleo la wanawake katika maeneo mengi, vikiwemo nafasi za viti maalum Bungeni na kwenye udiwani.

Miongoni mwa nafasi ambazo hazikuwahi kufikiriwa kushikwa na mwanamke ni nafasi ya urais wa Jamhuri ya Muungano kupitia CCM. Japo CCM ilimteua Rais Samia kuwa makamo wa rais, hakuna mtu yeyote aliyewahi kufikiria kuwa kuna siku rais wa JMT anaweza kufariki akiwa madarakani, hivyo ilipotokea Rais JPM kufariki akiwa madarakani, na kwa mujibu wa katiba makamo wa rais, ndie anapaswa kuapishwa kuwa rais, tukio lilipotokea, kwa vile makamo wa rais ni mwanamke, kulitokea kizungumkuti ambacho hakikutangazwa, na watu kujiuliza sasa itakuwaje?.

Tarehe 12 Machi, saa 6 usiku, Mtanzania fulani wa idara nyeti, aliposti video ya jambo fulani kwenye mtandao wa YouTube akitokea Uingereza. Kesho yake Serikali ya Mapinduzi Zanzibar, alifuta shughuli zote za kawaida ikiwemo kufuta shughuli zote za umma za rais wa Zanzibar bila kutoa maelezo yoyote!.

Kesho yake huku Tanzania bara, shughuli zinaendelea kama kawaida as if nothing happened!. Baada ya kupostiwa ile video, minong’ono ya mahali JPM alipo ikaanza, Waziri Mkuu ili kuzima hiyo minongono, akatangaza JPM yuko fiti bukheri wa afya, yuko ofisini anachapa kazi!, au mlitaka aende Kariakoo?.

Kesho yake, Makamo wa Rais akaanza ziara ya Tanga, hiyo inamaanisha ametumwa na JPM. Ni wakati akiwa ziarani Tanga, Tarehe 17 Machi, 2021, ndipo Rais Samia akatangaza msiba wa Taifa kuwa JPM amefariki baada ya kuugua!, na kuonyesha, hata hiyo tarehe 12 Machi, Waziri Mkuu hakuambiwa hali ya afya ya JPM, alifichwa!. Makamo wa Rais alipopangiwa ziara ya Tanga, kuonyesha alipangiwa na JPM, naye pia alifichwa!, ina maana kuna mtu alimpangia kazi Makamu, kujifanya kapangiwa na JPM, ili kumzuga!.

Hiki kizungumkuti kilitokea kwasababu Makamo alikuwa ni mwanamke, watu wakiulizana ilikuwaje!. Za chini ya kapeti zinasema, taarifa ilipomfikia Mkuu wa Majeshi, CDF, Mabeyo, ndipo akawaamuru wahusika katiba ifuatwe, ndipo Makamo Rais Samia, akapelekewa taarifa na kutangazia huko huko Tanga. Uthibitisho wa kizungumkuti hiki, ni baada tuu ya Rais Samia kuapishwa kuwa Rais wa JMT, kazi ya kwanza ni pangua pangua ya Ikulu!.

Hii inamaanisha, kama lisingetokea lile tukio la Mach 17, Tanzania isingepata rais Mwanamke!. Naomba niwaibie jambo jingine kuhusu urais wa mwanamke, lisingetokea lile tukio la Machi 17, yaani JPM angeendelea mpaka 2025, amimi nakuambia, CCM isingemsimamisha mgombea mwanamke kwenye urais!.

Hivyo nikisema Tanzania tumepata rais Mwanamke kwa kudra tuu za Mwenyeenzi Mungu, lakini baada ya Rais Samia kuwa rais wa JMT, akashauri uchaguzi wa 2025, twende na mwanamke, na Watanzania tumchague rais mwanamke na kukamilisha usawa wa kijinsia.

Kwa vile uchaguzi wa 2025, Watanzania tunakwenda kumchagua rais mwanamke, naomba tutangaze mwaka huu 2025 uwe ni mwaka wa ukombozi wa mwanamke. Wanawake wenye sifa kutoka vyama vyote, wajitokeze kwa wingi kugombea kumuunga mkono Rais Samia, na vyama viteue wagombea wanawake kwa wingi kwenye majimbo yote ya ubunge, udiwani, uwakilishi na shehia, kisha Watanzania tuwapigie kampeni ya nguvu, tuwachague hata kupitiliza hiyo 50/50.

Na baada ya kufanikiwa kuchagua rais mwanamke, wabunge, wawakilishi na madiwani wa kutosha kupitiliza hata hiyo 50/50, najua kazi ya kwanza ya Bunge jipya ni kufanya mabadiliko madogo ya katiba kwa hati ya dharura, kuiingiza Dira ya Maendeleo 2550, kama haitaingizwa Bunge la Aprili, hivyo tuitumie fursa hiyo kuvifuta rasmi viti maalum, kwasababu usawa wa kijinsia utakuwa umekamilika kwa Rais Samia kuwawezesha wanawake kujibeba, hakuna tena sababu ya kuendelea kubebwa bebwa na mbeleko ya viti maalum, maana kuendelea kuwepo kwa viti hivi, kunapelekea wanawake kuendelea kubweteka.

Maadam Rais Samia ni mwanamke na ameweza kuwa rais wa Tanzania kwa kujibeba, Urais wa Samia 2025, uwe ni ukombozi wa mwanamke, hakuna tena tena kubebwa, wanawake mjibebe!.

Heri ya Siku ya Wanawake.

Paskali.
Viti maalumu ndio njia pekee waliyobakiza , kupambana majukwaani ni wachache sana wanaweza hiyo.
Viti maakumu vikifutwa itawalazim wapambane
 
Wanabodi,

Leo ni Siku ya Wanawake Duniani, hivyo hizi ni salaam zangu za Siku ya Wanawake Duniani kwa wanawake wote wa Tanzania. Kwa Tanzania, Maadhimisho rasmi ya kitaifa yanafanyikia Uwanja wa Sheikh Amri Abedi, jijini Arusha, mgeni Rasmi akiwa ni Rais Samia.

Hili ni bandiko la swali, kwa maoni yangu nafasi za upendeleo kwa wanawake vikiwemo viti maalum, vinawadumaza wanawake na kuwafanya wabweteke, hivyo kwanza nawashauri Wanawake wote wa Tanzania, Acheni Kubwetekea Kubebwa bebwa ikiwemo Viti Maalumu, kwa jinsi Rais Samia alivyojibeba, sasa wanawake wengi wanaamka na kujibeba, bado kuna haja ya kuendelea kuwepo viti maalum au tuvifute na wanawake mjibebe?, aukwa vile kubebwa ni uroda, wanawake mnapenda uroda, hivyo mnalazimika kubebwa, tuvifute viti maalum mjibebe, au tuviache muendelee kula uroda kwa kubebwa?.

Nikimuangalia na kumsikiliza Rais Samia, tangu ameshika urais wa Tanzania, kiukweli ameutendea haki kustahili kupewa maua yake!, ameleta mwamko na msisimko mkubwa wa ajabu wa ukombozi wa mwamke, wanawake wengi wa Tanzania, sasa sio tuu wanajituma, na wana jibeba, bali sasa wanawake wanajiamini, wanajitambua, wanatembea vifua mbele, tena kuna baadhi wa mababa ndani ya nyumba zetu, tunakoma ila hatusemi tuu, samani tulikuwa kwa vile ni sisi tunanunua chakula, na tumekilipia bei ya jumla, tulikuwa tukitaka kula, tunajilia tuu tunavyotaka, sasa hivi sio hivyo tena, ukitaka kula sio unajichukulia na kujilia, sasa ni lazima uombe chakula, upakuliwe ndipo ule!.

Hivyo hiyo mitano tena ikikamilika, hapo October, 2025, kutakuwa hakuna sababu kabisa ya wanawake wa Tanzania kuendelea kubebwa kwa viti maalum, wengi wanabweteka!, Rais Samia hakubebwa, ifike mahali wanawake wote muache kubwetekea kubebwa bebwa, sasa mjibebe kama Rais Samia!.

Kwa miongo kadhaa, wanawake wamekuwa wakinyanyaswa, kubaguliwa, kudhalilishwa na kudharauriwa kwasababu tuu ya jinsia yao, lakini urais wa Rais Samia kama Rais Mwanamke wa kwanza, umeleta ukombozi mkubwa kwa wanawake wa Tanzania.

Ili kuwatendea haki wanawake kupata haki sawa na wanaume, ukabuniwa utaratibu maalum wa upendeleo kwa wanawake, unaoitwa kwa jina la kizungu, affirmative action, hivyo mkutano wa kimataifa wa wanawake duniani, uliofanyinyika jijini Beijing nchini China, ukatangaza ili kuleta usawa wa kijinsia duniani, nafasi za wanawake kwenye uongozi lazima zifikie 50/50 kwa wanawake na wanaume.

Ili kufikia lengo hilo, Tanzania, tukaanzisha nafasi za upendeleo la wanawake katika maeneo mengi, vikiwemo nafasi za viti maalum Bungeni na kwenye udiwani.

Miongoni mwa nafasi ambazo hazikuwahi kufikiriwa kushikwa na mwanamke ni nafasi ya urais wa Jamhuri ya Muungano kupitia CCM. Japo CCM ilimteua Rais Samia kuwa makamo wa rais, hakuna mtu yeyote aliyewahi kufikiria kuwa kuna siku rais wa JMT anaweza kufariki akiwa madarakani, hivyo ilipotokea Rais JPM kufariki akiwa madarakani, na kwa mujibu wa katiba makamo wa rais, ndie anapaswa kuapishwa kuwa rais, tukio lilipotokea, kwa vile makamo wa rais ni mwanamke, kulitokea kizungumkuti ambacho hakikutangazwa, na watu kujiuliza sasa itakuwaje?.

Tarehe 12 Machi, saa 6 usiku, Mtanzania fulani wa idara nyeti, aliposti video ya jambo fulani kwenye mtandao wa YouTube akitokea Uingereza. Kesho yake Serikali ya Mapinduzi Zanzibar, alifuta shughuli zote za kawaida ikiwemo kufuta shughuli zote za umma za rais wa Zanzibar bila kutoa maelezo yoyote!.

Kesho yake huku Tanzania bara, shughuli zinaendelea kama kawaida as if nothing happened!. Baada ya kupostiwa ile video, minong’ono ya mahali JPM alipo ikaanza, Waziri Mkuu ili kuzima hiyo minongono, akatangaza JPM yuko fiti bukheri wa afya, yuko ofisini anachapa kazi!, au mlitaka aende Kariakoo?.

Kesho yake, Makamo wa Rais akaanza ziara ya Tanga, hiyo inamaanisha ametumwa na JPM. Ni wakati akiwa ziarani Tanga, Tarehe 17 Machi, 2021, ndipo Rais Samia akatangaza msiba wa Taifa kuwa JPM amefariki baada ya kuugua!, na kuonyesha, hata hiyo tarehe 12 Machi, Waziri Mkuu hakuambiwa hali ya afya ya JPM, alifichwa!. Makamo wa Rais alipopangiwa ziara ya Tanga, kuonyesha alipangiwa na JPM, naye pia alifichwa!, ina maana kuna mtu alimpangia kazi Makamu, kujifanya kapangiwa na JPM, ili kumzuga!.

Hiki kizungumkuti kilitokea kwasababu Makamo alikuwa ni mwanamke, watu wakiulizana ilikuwaje!. Za chini ya kapeti zinasema, taarifa ilipomfikia Mkuu wa Majeshi, CDF, Mabeyo, ndipo akawaamuru wahusika katiba ifuatwe, ndipo Makamo Rais Samia, akapelekewa taarifa na kutangazia huko huko Tanga. Uthibitisho wa kizungumkuti hiki, ni baada tuu ya Rais Samia kuapishwa kuwa Rais wa JMT, kazi ya kwanza ni pangua pangua ya Ikulu!.

Hii inamaanisha, kama lisingetokea lile tukio la Mach 17, Tanzania isingepata rais Mwanamke!. Naomba niwaibie jambo jingine kuhusu urais wa mwanamke, lisingetokea lile tukio la Machi 17, yaani JPM angeendelea mpaka 2025, amimi nakuambia, CCM isingemsimamisha mgombea mwanamke kwenye urais!.

Hivyo nikisema Tanzania tumepata rais Mwanamke kwa kudra tuu za Mwenyeenzi Mungu, lakini baada ya Rais Samia kuwa rais wa JMT, akashauri uchaguzi wa 2025, twende na mwanamke, na Watanzania tumchague rais mwanamke na kukamilisha usawa wa kijinsia.

Kwa vile uchaguzi wa 2025, Watanzania tunakwenda kumchagua rais mwanamke, naomba tutangaze mwaka huu 2025 uwe ni mwaka wa ukombozi wa mwanamke. Wanawake wenye sifa kutoka vyama vyote, wajitokeze kwa wingi kugombea kumuunga mkono Rais Samia, na vyama viteue wagombea wanawake kwa wingi kwenye majimbo yote ya ubunge, udiwani, uwakilishi na shehia, kisha Watanzania tuwapigie kampeni ya nguvu, tuwachague hata kupitiliza hiyo 50/50.

Na baada ya kufanikiwa kuchagua rais mwanamke, wabunge, wawakilishi na madiwani wa kutosha kupitiliza hata hiyo 50/50, najua kazi ya kwanza ya Bunge jipya ni kufanya mabadiliko madogo ya katiba kwa hati ya dharura, kuiingiza Dira ya Maendeleo 2550, kama haitaingizwa Bunge la Aprili, hivyo tuitumie fursa hiyo kuvifuta rasmi viti maalum, kwasababu usawa wa kijinsia utakuwa umekamilika kwa Rais Samia kuwawezesha wanawake kujibeba, hakuna tena sababu ya kuendelea kubebwa bebwa na mbeleko ya viti maalum, maana kuendelea kuwepo kwa viti hivi, kunapelekea wanawake kuendelea kubweteka.

Maadam Rais Samia ni mwanamke na ameweza kuwa rais wa Tanzania kwa kujibeba, Urais wa Samia 2025, uwe ni ukombozi wa mwanamke, hakuna tena tena kubebwa, wanawake mjibebe!.

Heri ya Siku ya Wanawake.

Paskali.
Hi siku nai dedicate kwa Raisi wangu mpendwa Samia Hassan suluhu, ameweza kutawala nchi ya watu 65m ilio jaa mfume dume kwa utulivu hongera mama kwa kudhubutu
 
Mme-engineer 50/50 alafu favor bado ipo kwa wanawake. Vifutwe wakajitafutie kama vifaranga wa kuku wanavyojitafutia otherwise 50/50 ifutwe.
 
Wanabodi,

Leo ni Siku ya Wanawake Duniani, hivyo hizi ni salaam zangu za Siku ya Wanawake Duniani kwa wanawake wote wa Tanzania. Kwa Tanzania, Maadhimisho rasmi ya kitaifa yanafanyikia Uwanja wa Sheikh Amri Abedi, jijini Arusha, mgeni Rasmi akiwa ni Rais Samia.

Hili ni bandiko la swali, kwa maoni yangu nafasi za upendeleo kwa wanawake vikiwemo viti maalum, vinawadumaza wanawake na kuwafanya wabweteke, hivyo kwanza nawashauri Wanawake wote wa Tanzania, Acheni Kubwetekea Kubebwa bebwa ikiwemo Viti Maalumu, kwa jinsi Rais Samia alivyojibeba, sasa wanawake wengi wanaamka na kujibeba, bado kuna haja ya kuendelea kuwepo viti maalum au tuvifute na wanawake mjibebe?, aukwa vile kubebwa ni uroda, wanawake mnapenda uroda, hivyo mnalazimika kubebwa, tuvifute viti maalum mjibebe, au tuviache muendelee kula uroda kwa kubebwa?.

Nikimuangalia na kumsikiliza Rais Samia, tangu ameshika urais wa Tanzania, kiukweli ameutendea haki kustahili kupewa maua yake!, ameleta mwamko na msisimko mkubwa wa ajabu wa ukombozi wa mwamke, wanawake wengi wa Tanzania, sasa sio tuu wanajituma, na wana jibeba, bali sasa wanawake wanajiamini, wanajitambua, wanatembea vifua mbele, tena kuna baadhi wa mababa ndani ya nyumba zetu, tunakoma ila hatusemi tuu, samani tulikuwa kwa vile ni sisi tunanunua chakula, na tumekilipia bei ya jumla, tulikuwa tukitaka kula, tunajilia tuu tunavyotaka, sasa hivi sio hivyo tena, ukitaka kula sio unajichukulia na kujilia, sasa ni lazima uombe chakula, upakuliwe ndipo ule!.

Hivyo hiyo mitano tena ikikamilika, hapo October, 2025, kutakuwa hakuna sababu kabisa ya wanawake wa Tanzania kuendelea kubebwa kwa viti maalum, wengi wanabweteka!, Rais Samia hakubebwa, ifike mahali wanawake wote muache kubwetekea kubebwa bebwa, sasa mjibebe kama Rais Samia!.

Kwa miongo kadhaa, wanawake wamekuwa wakinyanyaswa, kubaguliwa, kudhalilishwa na kudharauriwa kwasababu tuu ya jinsia yao, lakini urais wa Rais Samia kama Rais Mwanamke wa kwanza, umeleta ukombozi mkubwa kwa wanawake wa Tanzania.

Ili kuwatendea haki wanawake kupata haki sawa na wanaume, ukabuniwa utaratibu maalum wa upendeleo kwa wanawake, unaoitwa kwa jina la kizungu, affirmative action, hivyo mkutano wa kimataifa wa wanawake duniani, uliofanyinyika jijini Beijing nchini China, ukatangaza ili kuleta usawa wa kijinsia duniani, nafasi za wanawake kwenye uongozi lazima zifikie 50/50 kwa wanawake na wanaume.

Ili kufikia lengo hilo, Tanzania, tukaanzisha nafasi za upendeleo la wanawake katika maeneo mengi, vikiwemo nafasi za viti maalum Bungeni na kwenye udiwani.

Miongoni mwa nafasi ambazo hazikuwahi kufikiriwa kushikwa na mwanamke ni nafasi ya urais wa Jamhuri ya Muungano kupitia CCM. Japo CCM ilimteua Rais Samia kuwa makamo wa rais, hakuna mtu yeyote aliyewahi kufikiria kuwa kuna siku rais wa JMT anaweza kufariki akiwa madarakani, hivyo ilipotokea Rais JPM kufariki akiwa madarakani, na kwa mujibu wa katiba makamo wa rais, ndie anapaswa kuapishwa kuwa rais, tukio lilipotokea, kwa vile makamo wa rais ni mwanamke, kulitokea kizungumkuti ambacho hakikutangazwa, na watu kujiuliza sasa itakuwaje?.

Tarehe 13 Machi, saa 12 jioni, Mtanzania fulani wa idara nyeti, aliposti video ya jambo fulani kwenye mtandao wa YouTube akitokea Uingereza, (Video hiyo tembelea Je, leo inaweza kuwa ndio ile siku? Ukweli halisi ni upi? Nini hasa kilitokea na kwanini tulijulishwa baada ya siku 5?)

Kesho yake Serikali ya Mapinduzi Zanzibar, alifuta shughuli zote za kawaida ikiwemo kufuta shughuli zote za umma za rais wa Zanzibar bila kutoa maelezo yoyote!.

Kesho yake huku Tanzania bara, shughuli zinaendelea kama kawaida as if nothing happened!. Baada ya kupostiwa ile video, minong’ono ya mahali JPM alipo ikaanza, Waziri Mkuu ili kuzima hiyo minongono, akatangaza JPM yuko fiti bukheri wa afya, yuko ofisini anachapa kazi!, au mlitaka aende Kariakoo?.

Kesho yake, Makamo wa Rais akaanza ziara ya Tanga, hiyo inamaanisha ametumwa na JPM. Ni wakati akiwa ziarani Tanga, Tarehe 17 Machi, 2021, ndipo Rais Samia akatangaza msiba wa Taifa kuwa JPM amefariki baada ya kuugua!, na kuonyesha, hata hiyo tarehe 12 Machi, Waziri Mkuu hakuambiwa hali ya afya ya JPM, alifichwa!. Waziri Mkuu Kassim Majaliwa: Rais Magufuli ni mzima na anachapa kazi. Wanataka atoke, atoke aende wapi? Kariakoo au Magomeni? Makamo wa Rais alipopangiwa ziara ya Tanga, kuonyesha alipangiwa na JPM, naye pia alifichwa!, ina maana kuna mtu alimpangia kazi Makamu, kujifanya kapangiwa na JPM, ili kumzuga!.

Hiki kizungumkuti kilitokea kwasababu Makamo alikuwa ni mwanamke, watu wakiulizana ilikuwaje!. Za chini ya kapeti zinasema, taarifa ilipomfikia Mkuu wa Majeshi, CDF, Mabeyo, ndipo akawaamuru wahusika katiba ifuatwe, ndipo Makamo Rais Samia, akapelekewa taarifa na kutangazia huko huko Tanga. Uthibitisho wa kizungumkuti hiki, ni baada tuu ya Rais Samia kuapishwa kuwa Rais wa JMT, kazi ya kwanza ni pangua pangua ya Ikulu!.

Hii inamaanisha, kama lisingetokea lile tukio la Mach 17, Tanzania isingepata rais Mwanamke!. Naomba niwaibie jambo jingine kuhusu urais wa mwanamke, lisingetokea lile tukio la Machi 17, yaani JPM angeendelea mpaka 2025, amimi nakuambia, CCM isingemsimamisha mgombea mwanamke kwenye urais!.

Hivyo nikisema Tanzania tumepata rais Mwanamke kwa kudra tuu za Mwenyeenzi Mungu, lakini baada ya Rais Samia kuwa rais wa JMT, akashauri uchaguzi wa 2025, twende na mwanamke, na Watanzania tumchague rais mwanamke na kukamilisha usawa wa kijinsia, na miminilitoa wito humu Watanzania, tuunge mkono 2025 ni zamu ya Mwanamke, ila sio lazima awe yeye bali yule aliyepangiwa na 'YEYE', kama ni yeye aliyepangiwa, then ni yeye!

Kwa vile uchaguzi wa 2025, Watanzania tunakwenda kumchagua rais mwanamke,
naomba tutangaze mwaka huu 2025 uwe ni mwaka wa ukombozi wa mwanamke. Wanawake wenye sifa kutoka vyama vyote, wajitokeze kwa wingi kugombea kumuunga mkono Rais Samia, na vyama viteue wagombea wanawake kwa wingi kwenye majimbo yote ya ubunge, udiwani, uwakilishi na shehia, kisha Watanzania tuwapigie kampeni ya nguvu, tuwachague hata kupitiliza hiyo 50/50.

Na baada ya kufanikiwa kuchagua rais mwanamke, wabunge, wawakilishi na madiwani wa kutosha kupitiliza hata hiyo 50/50, najua kazi ya kwanza ya Bunge jipya ni kufanya mabadiliko madogo ya katiba kwa hati ya dharura, kuiingiza Dira ya Maendeleo 2550, kama haitaingizwa Bunge la Aprili, hivyo tuitumie fursa hiyo kuvifuta rasmi viti maalum, kwasababu usawa wa kijinsia utakuwa umekamilika kwa Rais Samia kuwawezesha wanawake kujibeba, hakuna tena sababu ya kuendelea kubebwa bebwa na mbeleko ya viti maalum, maana kuendelea kuwepo kwa viti hivi, kunapelekea wanawake kuendelea kubweteka.

Maadam Rais Samia ni mwanamke na ameweza kuwa rais wa Tanzania kwa kujibeba, Urais wa Samia 2025, uwe ni ukombozi wa mwanamke, hakuna tena tena kubebwa, wanawake mjibebe!.

Heri ya Siku ya Wanawake.

Paskali.
lugha ya kihuni....
 
Wanabodi,

Leo ni Siku ya Wanawake Duniani, hivyo hizi ni salaam zangu za Siku ya Wanawake Duniani kwa wanawake wote wa Tanzania. Kwa Tanzania, Maadhimisho rasmi ya kitaifa yanafanyikia Uwanja wa Sheikh Amri Abedi, jijini Arusha, mgeni Rasmi akiwa ni Rais Samia.

Hili ni bandiko la swali, kwa maoni yangu nafasi za upendeleo kwa wanawake vikiwemo viti maalum, vinawadumaza wanawake na kuwafanya wabweteke, hivyo kwanza nawashauri Wanawake wote wa Tanzania, Acheni Kubwetekea Kubebwa bebwa ikiwemo Viti Maalumu, kwa jinsi Rais Samia alivyojibeba, sasa wanawake wengi wanaamka na kujibeba, bado kuna haja ya kuendelea kuwepo viti maalum au tuvifute na wanawake mjibebe?, aukwa vile kubebwa ni uroda, wanawake mnapenda uroda, hivyo mnalazimika kubebwa, tuvifute viti maalum mjibebe, au tuviache muendelee kula uroda kwa kubebwa?.

Nikimuangalia na kumsikiliza Rais Samia, tangu ameshika urais wa Tanzania, kiukweli ameutendea haki kustahili kupewa maua yake!, ameleta mwamko na msisimko mkubwa wa ajabu wa ukombozi wa mwamke, wanawake wengi wa Tanzania, sasa sio tuu wanajituma, na wana jibeba, bali sasa wanawake wanajiamini, wanajitambua, wanatembea vifua mbele, tena kuna baadhi wa mababa ndani ya nyumba zetu, tunakoma ila hatusemi tuu, samani tulikuwa kwa vile ni sisi tunanunua chakula, na tumekilipia bei ya jumla, tulikuwa tukitaka kula, tunajilia tuu tunavyotaka, sasa hivi sio hivyo tena, ukitaka kula sio unajichukulia na kujilia, sasa ni lazima uombe chakula, upakuliwe ndipo ule!.

Hivyo hiyo mitano tena ikikamilika, hapo October, 2025, kutakuwa hakuna sababu kabisa ya wanawake wa Tanzania kuendelea kubebwa kwa viti maalum, wengi wanabweteka!, Rais Samia hakubebwa, ifike mahali wanawake wote muache kubwetekea kubebwa bebwa, sasa mjibebe kama Rais Samia!.

Kwa miongo kadhaa, wanawake wamekuwa wakinyanyaswa, kubaguliwa, kudhalilishwa na kudharauriwa kwasababu tuu ya jinsia yao, lakini urais wa Rais Samia kama Rais Mwanamke wa kwanza, umeleta ukombozi mkubwa kwa wanawake wa Tanzania.

Ili kuwatendea haki wanawake kupata haki sawa na wanaume, ukabuniwa utaratibu maalum wa upendeleo kwa wanawake, unaoitwa kwa jina la kizungu, affirmative action, hivyo mkutano wa kimataifa wa wanawake duniani, uliofanyinyika jijini Beijing nchini China, ukatangaza ili kuleta usawa wa kijinsia duniani, nafasi za wanawake kwenye uongozi lazima zifikie 50/50 kwa wanawake na wanaume.

Ili kufikia lengo hilo, Tanzania, tukaanzisha nafasi za upendeleo la wanawake katika maeneo mengi, vikiwemo nafasi za viti maalum Bungeni na kwenye udiwani.

Miongoni mwa nafasi ambazo hazikuwahi kufikiriwa kushikwa na mwanamke ni nafasi ya urais wa Jamhuri ya Muungano kupitia CCM. Japo CCM ilimteua Rais Samia kuwa makamo wa rais, hakuna mtu yeyote aliyewahi kufikiria kuwa kuna siku rais wa JMT anaweza kufariki akiwa madarakani, hivyo ilipotokea Rais JPM kufariki akiwa madarakani, na kwa mujibu wa katiba makamo wa rais, ndie anapaswa kuapishwa kuwa rais, tukio lilipotokea, kwa vile makamo wa rais ni mwanamke, kulitokea kizungumkuti ambacho hakikutangazwa, na watu kujiuliza sasa itakuwaje?.

Tarehe 13 Machi, saa 12 jioni, Mtanzania fulani wa idara nyeti, aliposti video ya jambo fulani kwenye mtandao wa YouTube akitokea Uingereza, (Video hiyo tembelea Je, leo inaweza kuwa ndio ile siku? Ukweli halisi ni upi? Nini hasa kilitokea na kwanini tulijulishwa baada ya siku 5?)

Kesho yake Serikali ya Mapinduzi Zanzibar, alifuta shughuli zote za kawaida ikiwemo kufuta shughuli zote za umma za rais wa Zanzibar bila kutoa maelezo yoyote!.

Kesho yake huku Tanzania bara, shughuli zinaendelea kama kawaida as if nothing happened!. Baada ya kupostiwa ile video, minong’ono ya mahali JPM alipo ikaanza, Waziri Mkuu ili kuzima hiyo minongono, akatangaza JPM yuko fiti bukheri wa afya, yuko ofisini anachapa kazi!, au mlitaka aende Kariakoo?.

Kesho yake, Makamo wa Rais akaanza ziara ya Tanga, hiyo inamaanisha ametumwa na JPM. Ni wakati akiwa ziarani Tanga, Tarehe 17 Machi, 2021, ndipo Rais Samia akatangaza msiba wa Taifa kuwa JPM amefariki baada ya kuugua!, na kuonyesha, hata hiyo tarehe 12 Machi, Waziri Mkuu hakuambiwa hali ya afya ya JPM, alifichwa!. Waziri Mkuu Kassim Majaliwa: Rais Magufuli ni mzima na anachapa kazi. Wanataka atoke, atoke aende wapi? Kariakoo au Magomeni? Makamo wa Rais alipopangiwa ziara ya Tanga, kuonyesha alipangiwa na JPM, naye pia alifichwa!, ina maana kuna mtu alimpangia kazi Makamu, kujifanya kapangiwa na JPM, ili kumzuga!.

Hiki kizungumkuti kilitokea kwasababu Makamo alikuwa ni mwanamke, watu wakiulizana ilikuwaje!. Za chini ya kapeti zinasema, taarifa ilipomfikia Mkuu wa Majeshi, CDF, Mabeyo, ndipo akawaamuru wahusika katiba ifuatwe, ndipo Makamo Rais Samia, akapelekewa taarifa na kutangazia huko huko Tanga. Uthibitisho wa kizungumkuti hiki, ni baada tuu ya Rais Samia kuapishwa kuwa Rais wa JMT, kazi ya kwanza ni pangua pangua ya Ikulu!.

Hii inamaanisha, kama lisingetokea lile tukio la Mach 17, Tanzania isingepata rais Mwanamke!. Naomba niwaibie jambo jingine kuhusu urais wa mwanamke, lisingetokea lile tukio la Machi 17, yaani JPM angeendelea mpaka 2025, amimi nakuambia, CCM isingemsimamisha mgombea mwanamke kwenye urais!.

Hivyo nikisema Tanzania tumepata rais Mwanamke kwa kudra tuu za Mwenyeenzi Mungu, lakini baada ya Rais Samia kuwa rais wa JMT, akashauri uchaguzi wa 2025, twende na mwanamke, na Watanzania tumchague rais mwanamke na kukamilisha usawa wa kijinsia, na miminilitoa wito humu Watanzania, tuunge mkono 2025 ni zamu ya Mwanamke, ila sio lazima awe yeye bali yule aliyepangiwa na 'YEYE', kama ni yeye aliyepangiwa, then ni yeye!

Kwa vile uchaguzi wa 2025, Watanzania tunakwenda kumchagua rais mwanamke,
naomba tutangaze mwaka huu 2025 uwe ni mwaka wa ukombozi wa mwanamke. Wanawake wenye sifa kutoka vyama vyote, wajitokeze kwa wingi kugombea kumuunga mkono Rais Samia, na vyama viteue wagombea wanawake kwa wingi kwenye majimbo yote ya ubunge, udiwani, uwakilishi na shehia, kisha Watanzania tuwapigie kampeni ya nguvu, tuwachague hata kupitiliza hiyo 50/50.

Na baada ya kufanikiwa kuchagua rais mwanamke, wabunge, wawakilishi na madiwani wa kutosha kupitiliza hata hiyo 50/50, najua kazi ya kwanza ya Bunge jipya ni kufanya mabadiliko madogo ya katiba kwa hati ya dharura, kuiingiza Dira ya Maendeleo 2550, kama haitaingizwa Bunge la Aprili, hivyo tuitumie fursa hiyo kuvifuta rasmi viti maalum, kwasababu usawa wa kijinsia utakuwa umekamilika kwa Rais Samia kuwawezesha wanawake kujibeba, hakuna tena sababu ya kuendelea kubebwa bebwa na mbeleko ya viti maalum, maana kuendelea kuwepo kwa viti hivi, kunapelekea wanawake kuendelea kubweteka.

Maadam Rais Samia ni mwanamke na ameweza kuwa rais wa Tanzania kwa kujibeba, Urais wa Samia 2025, uwe ni ukombozi wa mwanamke, hakuna tena tena kubebwa, wanawake mjibebe!.

Heri ya Siku ya Wanawake.

Paskali.
Well said Brother Pascal Mayalla
 
Leo ni siku ya wanawake duniani, hizi ni salaam zangu za siku hii, Siku ya Wanawake Duniani: Wanawake Acheni Kubwetekea Kubebwa. Viti Maalumu ni Kubebwa, Je Tuvifute. Wanawake Mjibebe?, Au Mnapenda Uroda wa Kubebwa?.

Nawatakia wanawake wote wa TiZii
Heri ya siku ya Wanawake Duniani.

Tena, by the way, naombeni mnipe pole, tumempoteza mmoja wa wanawake muhimu sana kwenye maisha yangu, tumempoteza mama mzaa Chema wangu, ameitwa kwa Muumba wake, akiwa Babati, tunampumzisha kwenye makao yake ya milele siku ya Jumatatu katika kijiji cha Gendi kwenye malalo ya ukoo wao.


View: https://youtu.be/oezcYCl60OI?si=MI6vvCGOptf82N8b
RIP Mama MKwe wangu.

Paskali
 
Naunga mkono hoja, ikizingatiwa tuko kwenye zama za haki sawa na wenyewe wanajiita malkia wa nguvu aka wanawake wa shoka.

Sio kwenye viti maalum tu, kila mahala sasa tuondoe suala la kuwabeba akinamama, sasa nao waiingie kwenye ushindani na Wanaume ili tuipime hiyo haki sawa wanayoiimba kila siku.
 
Tena, by the way, naombeni mnipe pole, tumempoteza mmoja wa wanawake muhimu sana kwenye maisha yangu, tumempoteza mama mzaa Chema wangu, ameitwa kwa Muumba wake, akiwa Babati, tunampumzisha kwenye makao yake ya milele siku ya Jumatatu katika kijiji cha Gendi kwenye malalo ya ukoo wao.


RIP Mama MKwe wangu.

Paskali
Pole sana kwa kuondokewa na mama mkwe wako. Mungu awatie nguvu katika kipindi hiki cha majonzi makubwa.
 
Tunayo Wizara hapa inaitwa Wizara ya Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wanawake na Makundi Maalumu. Mpaka hapa utaona kuwa hata Serikali imekwishatambua kuwa Wanawake si kundi maalumu. Kwa hiyo kama ni umuhimu wa kuwepo Wabunge/Wawakilishi wa Viti maalumu, basi hawa wangepaswa kuwa walemavu, wanafunzi na pengine hata wamachinga!
 
Wanabodi,

Leo ni Siku ya Wanawake Duniani, hivyo hizi ni salaam zangu za Siku ya Wanawake Duniani kwa wanawake wote wa Tanzania. Kwa Tanzania, Maadhimisho rasmi ya kitaifa yanafanyikia Uwanja wa Sheikh Amri Abedi, jijini Arusha, mgeni Rasmi akiwa ni Rais Samia.

Hili ni bandiko la swali, kwa maoni yangu nafasi za upendeleo kwa wanawake vikiwemo viti maalum, vinawadumaza wanawake na kuwafanya wabweteke, hivyo kwanza nawashauri Wanawake wote wa Tanzania, Acheni Kubwetekea Kubebwa bebwa ikiwemo Viti Maalumu, kwa jinsi Rais Samia alivyojibeba, sasa wanawake wengi wanaamka na kujibeba, bado kuna haja ya kuendelea kuwepo viti maalum au tuvifute na wanawake mjibebe?, aukwa vile kubebwa ni uroda, wanawake mnapenda uroda, hivyo mnalazimika kubebwa, tuvifute viti maalum mjibebe, au tuviache muendelee kula uroda kwa kubebwa?.


Ndugu Mayala, una Hoja ila umeigemeza ki Uchawa chawa!
Raisi Samia hajajibeba bali kabebwa na Mfumo! Kwanini? unaweza kuuelezea umma ni mahali gani Rais Samia alianza kinyanganyiro chs kugombea kuanzia kura za Maoni ndani ya chama chake na kufaulu kuvuka hicho Kiunzi?

Wewe mwenyewe umekiri kuwa bila ule Msiba wa JPM hukuna mtu aliekuwa na ndoto au wazo la mwanamke kuongoza hii Nchi, hili hata yeye mwenyewe analijua! Ndio maana umeona Sarakasi iliochezwa tar 19/02 ile nayo ilikuwa ni Kubebwa!

Kama Ccm wangetangaza goli liko wazi hakika asinge toboa!
 
Wanabodi,

Leo ni Siku ya Wanawake Duniani, hivyo hizi ni salaam zangu za Siku ya Wanawake Duniani kwa wanawake wote wa Tanzania. Kwa Tanzania, Maadhimisho rasmi ya kitaifa yanafanyikia Uwanja wa Sheikh Amri Abedi, jijini Arusha, mgeni Rasmi akiwa ni Rais Samia.

Hili ni bandiko la swali, kwa maoni yangu nafasi za upendeleo kwa wanawake vikiwemo viti maalum, vinawadumaza wanawake na kuwafanya wabweteke, hivyo kwanza nawashauri Wanawake wote wa Tanzania, Acheni Kubwetekea Kubebwa bebwa ikiwemo Viti Maalumu, kwa jinsi Rais Samia alivyojibeba, sasa wanawake wengi wanaamka na kujibeba, bado kuna haja ya kuendelea kuwepo viti maalum au tuvifute na wanawake mjibebe?, aukwa vile kubebwa ni uroda, wanawake mnapenda uroda, hivyo mnalazimika kubebwa, tuvifute viti maalum mjibebe, au tuviache muendelee kula uroda kwa kubebwa?.

Nikimuangalia na kumsikiliza Rais Samia, tangu ameshika urais wa Tanzania, kiukweli ameutendea haki kustahili kupewa maua yake!, ameleta mwamko na msisimko mkubwa wa ajabu wa ukombozi wa mwamke, wanawake wengi wa Tanzania, sasa sio tuu wanajituma, na wana jibeba, bali sasa wanawake wanajiamini, wanajitambua, wanatembea vifua mbele, tena kuna baadhi wa mababa ndani ya nyumba zetu, tunakoma ila hatusemi tuu, samani tulikuwa kwa vile ni sisi tunanunua chakula, na tumekilipia bei ya jumla, tulikuwa tukitaka kula, tunajilia tuu tunavyotaka, sasa hivi sio hivyo tena, ukitaka kula sio unajichukulia na kujilia, sasa ni lazima uombe chakula, upakuliwe ndipo ule!.

Hivyo hiyo mitano tena ikikamilika, hapo October, 2025, kutakuwa hakuna sababu kabisa ya wanawake wa Tanzania kuendelea kubebwa kwa viti maalum, wengi wanabweteka!, Rais Samia hakubebwa, ifike mahali wanawake wote muache kubwetekea kubebwa bebwa, sasa mjibebe kama Rais Samia!.

Kwa miongo kadhaa, wanawake wamekuwa wakinyanyaswa, kubaguliwa, kudhalilishwa na kudharauriwa kwasababu tuu ya jinsia yao, lakini urais wa Rais Samia kama Rais Mwanamke wa kwanza, umeleta ukombozi mkubwa kwa wanawake wa Tanzania.

Ili kuwatendea haki wanawake kupata haki sawa na wanaume, ukabuniwa utaratibu maalum wa upendeleo kwa wanawake, unaoitwa kwa jina la kizungu, affirmative action, hivyo mkutano wa kimataifa wa wanawake duniani, uliofanyinyika jijini Beijing nchini China, ukatangaza ili kuleta usawa wa kijinsia duniani, nafasi za wanawake kwenye uongozi lazima zifikie 50/50 kwa wanawake na wanaume.

Ili kufikia lengo hilo, Tanzania, tukaanzisha nafasi za upendeleo la wanawake katika maeneo mengi, vikiwemo nafasi za viti maalum Bungeni na kwenye udiwani.

Miongoni mwa nafasi ambazo hazikuwahi kufikiriwa kushikwa na mwanamke ni nafasi ya urais wa Jamhuri ya Muungano kupitia CCM. Japo CCM ilimteua Rais Samia kuwa makamo wa rais, hakuna mtu yeyote aliyewahi kufikiria kuwa kuna siku rais wa JMT anaweza kufariki akiwa madarakani, hivyo ilipotokea Rais JPM kufariki akiwa madarakani, na kwa mujibu wa katiba makamo wa rais, ndie anapaswa kuapishwa kuwa rais, tukio lilipotokea, kwa vile makamo wa rais ni mwanamke, kulitokea kizungumkuti ambacho hakikutangazwa, na watu kujiuliza sasa itakuwaje?.

Tarehe 13 Machi, saa 12 jioni, Mtanzania fulani wa idara nyeti, aliposti video ya jambo fulani kwenye mtandao wa YouTube akitokea Uingereza, (Video hiyo tembelea Je, leo inaweza kuwa ndio ile siku? Ukweli halisi ni upi? Nini hasa kilitokea na kwanini tulijulishwa baada ya siku 5?)

Kesho yake Serikali ya Mapinduzi Zanzibar, alifuta shughuli zote za kawaida ikiwemo kufuta shughuli zote za umma za rais wa Zanzibar bila kutoa maelezo yoyote!.

Kesho yake huku Tanzania bara, shughuli zinaendelea kama kawaida as if nothing happened!. Baada ya kupostiwa ile video, minong’ono ya mahali JPM alipo ikaanza, Waziri Mkuu ili kuzima hiyo minongono, akatangaza JPM yuko fiti bukheri wa afya, yuko ofisini anachapa kazi!, au mlitaka aende Kariakoo?.

Kesho yake, Makamo wa Rais akaanza ziara ya Tanga, hiyo inamaanisha ametumwa na JPM. Ni wakati akiwa ziarani Tanga, Tarehe 17 Machi, 2021, ndipo Rais Samia akatangaza msiba wa Taifa kuwa JPM amefariki baada ya kuugua!, na kuonyesha, hata hiyo tarehe 12 Machi, Waziri Mkuu hakuambiwa hali ya afya ya JPM, alifichwa!. Waziri Mkuu Kassim Majaliwa: Rais Magufuli ni mzima na anachapa kazi. Wanataka atoke, atoke aende wapi? Kariakoo au Magomeni? Makamo wa Rais alipopangiwa ziara ya Tanga, kuonyesha alipangiwa na JPM, naye pia alifichwa!, ina maana kuna mtu alimpangia kazi Makamu, kujifanya kapangiwa na JPM, ili kumzuga!.

Hiki kizungumkuti kilitokea kwasababu Makamo alikuwa ni mwanamke, watu wakiulizana ilikuwaje!. Za chini ya kapeti zinasema, taarifa ilipomfikia Mkuu wa Majeshi, CDF, Mabeyo, ndipo akawaamuru wahusika katiba ifuatwe, ndipo Makamo Rais Samia, akapelekewa taarifa na kutangazia huko huko Tanga. Uthibitisho wa kizungumkuti hiki, ni baada tuu ya Rais Samia kuapishwa kuwa Rais wa JMT, kazi ya kwanza ni pangua pangua ya Ikulu!.

Hii inamaanisha, kama lisingetokea lile tukio la Mach 17, Tanzania isingepata rais Mwanamke!. Naomba niwaibie jambo jingine kuhusu urais wa mwanamke, lisingetokea lile tukio la Machi 17, yaani JPM angeendelea mpaka 2025, amimi nakuambia, CCM isingemsimamisha mgombea mwanamke kwenye urais!.

Hivyo nikisema Tanzania tumepata rais Mwanamke kwa kudra tuu za Mwenyeenzi Mungu, lakini baada ya Rais Samia kuwa rais wa JMT, akashauri uchaguzi wa 2025, twende na mwanamke, na Watanzania tumchague rais mwanamke na kukamilisha usawa wa kijinsia, na miminilitoa wito humu Watanzania, tuunge mkono 2025 ni zamu ya Mwanamke, ila sio lazima awe yeye bali yule aliyepangiwa na 'YEYE', kama ni yeye aliyepangiwa, then ni yeye!

Kwa vile uchaguzi wa 2025, Watanzania tunakwenda kumchagua rais mwanamke,
naomba tutangaze mwaka huu 2025 uwe ni mwaka wa ukombozi wa mwanamke. Wanawake wenye sifa kutoka vyama vyote, wajitokeze kwa wingi kugombea kumuunga mkono Rais Samia, na vyama viteue wagombea wanawake kwa wingi kwenye majimbo yote ya ubunge, udiwani, uwakilishi na shehia, kisha Watanzania tuwapigie kampeni ya nguvu, tuwachague hata kupitiliza hiyo 50/50.

Na baada ya kufanikiwa kuchagua rais mwanamke, wabunge, wawakilishi na madiwani wa kutosha kupitiliza hata hiyo 50/50, najua kazi ya kwanza ya Bunge jipya ni kufanya mabadiliko madogo ya katiba kwa hati ya dharura, kuiingiza Dira ya Maendeleo 2550, kama haitaingizwa Bunge la Aprili, hivyo tuitumie fursa hiyo kuvifuta rasmi viti maalum, kwasababu usawa wa kijinsia utakuwa umekamilika kwa Rais Samia kuwawezesha wanawake kujibeba, hakuna tena sababu ya kuendelea kubebwa bebwa na mbeleko ya viti maalum, maana kuendelea kuwepo kwa viti hivi, kunapelekea wanawake kuendelea kubweteka.

Maadam Rais Samia ni mwanamke na ameweza kuwa rais wa Tanzania kwa kujibeba, Urais wa Samia 2025, uwe ni ukombozi wa mwanamke, hakuna tena tena kubebwa, wanawake mjibebe!.

Heri ya Siku ya Wanawake.

Paskali.
Hivyo viti maalumu ndio udhaifu wa jumla wa ccm. Ccm kama chama ni wafaidika wa mfumo mzima wa kubebwa hasa na tume ya uchaguzi na vyombo vya dola. Ww kama mwanaccm huu ushauri haukupaswa kutoka kwako.
 
Back
Top Bottom