Sikieni nyinyi manabii na mitume wauongo, nendeni mkatoe wagonjwa ma-wodini waingie road, tutawaamini

MIXOLOGIST

JF-Expert Member
Mar 1, 2016
14,226
35,753
Kwa hasira kuu, bila salamu

Hawa manabii na mitume wauongo wanasumbua sana raia wetu wasio na akili za kutosha, wanawadanganya kwa vitu visivyo na kichwa wala miguu

Ieleweke kwamba:

1. Wagonjwa wako mahospitalini hao wa mitaani siyo wagonjwa ni watu wazima.

2. Pia hela zina njia zake, una weka hela ili upate hela, cheza bahati na sibu, au kamari au any other consideration, including consideration ya vitu haramu

Hivyo basi, waende Muhimbili au Ocean Road Hospitals, wakawaombee wagonjwa, wote watoke ma-wodini waingie road, hapo tutawaamini

Hela haziwezi kutokea kwa kubeba mchanga au kupaka mafuta au kumwagiwa maji au kuombewa, au kupigiwa ramli, hivyo vyote ni ushirikina

HAYA MAMBO YA KIPUMBAVU NI DALILI KWAMBA NCHI YETU BADO IKO DUNIA YA TATU NA WATU WAKE BADO WAKO KWENYE SAFARI YA KUWA BINADAMU
 
Hospital na wodini kuna Wagonjwa hakuna waigizaji. Yaani hawa Manabii ni Matapeli kama kweli wao wana uwezo wa kuponya. Wangesaidia sana Serikali kupunguza bajeti ya wizara ya afya.
Na hicho ndicho tunacho kitaka kutoka kwao, kwanini tuagize dawa na vifaa tiba, wakati wapo manabii na mitume wenye uwezo wa kuponya?
 
Kwa hasira kuu, bila salamu

Hawa manabii na mitume wauongo wanasumbua sana raia wetu wasio na akili za kutosho, wanawadanganya kwa vitu visivyo na kichwa wa la miguu

Ieleweke kwamba:

1. Wagonjwa wako mahospitalini hao wa mitaani siyo wagonjwa ni watu wazima.

2. Pia hela zina njia zake, una weka hela ili upate hela, cheza bahati na sibu, au kamari au any other consideration, including consideration ya vitu haramu

Hivyo basi, waende Muhimbili au Ocean Road Hospitals, wakawaombee wagonjwa, wote watoke ma-wodini waingie road, hapo tutawaamini

Hela haziwezi kutokea kwa kubeba mchanga au kupaka mafuta au kumwagiwa maji au kuombewa, au kupigiwa ramli, hivyo vyote ni ushirikina

HAYA MAMBO YA KIPUMBAVU NI DALILI KWAMBA NCHI YETU BADO IKO DUNIA YA TATU NA WATU WAKE BADO WAKO KWENYE SAFARI YA KUWA BINADAMU
Tuanze na Z bull dozier🤗
 
Na hicho ndicho tunacho kitaka kutoka kwao, kwanini tuagize dawa na vifaa tiba, wakati wapo manabii na mitume wenye uwezo wa kuponya?
Wizara ya mambo ya ndani ina fungu lake kutoka kwa hawa Manabii halafu Taifa linazidi kudidimia kiakili na kifikra, Makanisani watu wamejaa wakisubiri miujiza na uponyaji hapo hapo hali zao za kiuchumi, kiakili na kiafya zinazidi kuwa mbaya
 
Sio manabii wa uongo tu.

Catholic, kkkt, anglican, waislamu zote hizo ni dini za utapeli maana wanaemuabudu ni fictional character

Mungu mwenyewe anaeabudiwa hayupo na hajawai kuwepo.

Hivyo usiwaseme manabiii peke yao. Huku waroma na walutheri nao wanakusanya sadaka za waumini wao
 
Kuponywa ni Imani, bila kuwa na Imani huwezi kuponnywa. Yesu alisema Imani yako imekupinya.

Wenye kuamini watapona hospitali wanaenda huko na wanapona. Wenye kuamini wataponywa na hao unaowaita wabongo wanaenda huko na wanashuhudia wanaponywa. Sasa unabisha nini?

Kingine Imani haijaribiwi, amini bila kuwa na mashaka. Sasa unataka hao manabii waende hospitali kwa wagonjwa wasiowaamini ili wakaijaribu Imani yao? Haiwezekani. Mwenye shida atamfata mganga and no the vice versa.
 
Wizara ya mambo ya ndani ina fungu lake kutoka kwa hawa Manabii halafu Taifa linazidi kudidimia kiakili na kifikra, Makanisani watu wamejaa wakisubiri miujiza na uponyaji hapo hapo hali zao za kiuchumi, kiakili na kiafya zinazidi kuwa mbaya
Hii ni faida kwa wala kwa kamba,fikiria wote wangekuwa na mwamko kukimbilia mahospitali ilihali mifuko imetoboka,nini kingetokea,hivyo kwao ni faraja kuu na wapo tayari kuwezesha makanjanja ili wapumue vizuri baada ya kula zaidi ya kipimo🫠
 
Kuponywa ni Imani, bila kuwa na Imani huwezi kuponnywa. Yesu alisema Imani yako imekupinya.

Wenye kuamini watapona hospitali wanaenda huko na wanapona. Wenye kuamini wataponywa na hao unaowaita wabongo wanaenda huko na wanashuhudia wanaponywa. Sasa unabisha nini?

Kingine Imani haijaribiwi, amini bila kuwa na mashaka. Sasa unataka hao manabii waende hospitali kwa wagonjwa wasiowaamini ili wakaijaribu Imani yao? Haiwezekani. Mwenye shida atamfata mganga and no the vice versa.
Akili zimejengwa kufarijiwa,hivyo ikitokea imepatiwa hata faraja fake,itafuata hivyo hivyo,na ikitokea imeeelekezwa sahihi,itakuwa sahihi na itafanya sahihi.Mfano ni chawa,wakilishwa uchafu watasema poa baada ya kuzoeshwa,hata pale wanapolishwa pilipili watanuna kwa muda,baadae watasema wamezoea kula pilipili🫠
 
Kwa hasira kuu, bila salamu

Hawa manabii na mitume wauongo wanasumbua sana raia wetu wasio na akili za kutosho, wanawadanganya kwa vitu visivyo na kichwa wa la miguu

Ieleweke kwamba:

1. Wagonjwa wako mahospitalini hao wa mitaani siyo wagonjwa ni watu wazima.

2. Pia hela zina njia zake, una weka hela ili upate hela, cheza bahati na sibu, au kamari au any other consideration, including consideration ya vitu haramu

Hivyo basi, waende Muhimbili au Ocean Road Hospitals, wakawaombee wagonjwa, wote watoke ma-wodini waingie road, hapo tutawaamini

Hela haziwezi kutokea kwa kubeba mchanga au kupaka mafuta au kumwagiwa maji au kuombewa, au kupigiwa ramli, hivyo vyote ni ushirikina

HAYA MAMBO YA KIPUMBAVU NI DALILI KWAMBA NCHI YETU BADO IKO DUNIA YA TATU NA WATU WAKE BADO WAKO KWENYE SAFARI YA KUWA BINADAMU
Wajinga ndio waliwao mpaka waje wabumbuluke Mwamposa kawa Trillionaire na waliomchangia bado kula na vaa yao ni ya tabu mno. Swezi sema wananaangamia kwa kukosa maarifa hapana ni nguvu za giza zimewafumbaza
 
Kuponywa ni Imani, bila kuwa na Imani huwezi kuponnywa. Yesu alisema Imani yako imekupinya.

Wenye kuamini watapona hospitali wanaenda huko na wanapona. Wenye kuamini wataponywa na hao unaowaita wabongo wanaenda huko na wanashuhudia wanaponywa. Sasa unabisha nini?

Kingine Imani haijaribiwi, amini bila kuwa na mashaka. Sasa unataka hao manabii waende hospitali kwa wagonjwa wasiowaamini ili wakaijaribu Imani yao? Haiwezekani. Mwenye shida atamfata mganga and no the vice versa.
Wewe unaamini kua unaweza kupata pesa na mali kwa kuombewa tu bila kufanya kazi ilimradi tu uwe na imani?!
 
Kwa hasira kuu, bila salamu

Hawa manabii na mitume wauongo wanasumbua sana raia wetu wasio na akili za kutosho, wanawadanganya kwa vitu visivyo na kichwa wa la miguu

Ieleweke kwamba:

1. Wagonjwa wako mahospitalini hao wa mitaani siyo wagonjwa ni watu wazima.

2. Pia hela zina njia zake, una weka hela ili upate hela, cheza bahati na sibu, au kamari au any other consideration, including consideration ya vitu haramu

Hivyo basi, waende Muhimbili au Ocean Road Hospitals, wakawaombee wagonjwa, wote watoke ma-wodini waingie road, hapo tutawaamini

Hela haziwezi kutokea kwa kubeba mchanga au kupaka mafuta au kumwagiwa maji au kuombewa, au kupigiwa ramli, hivyo vyote ni ushirikina

HAYA MAMBO YA KIPUMBAVU NI DALILI KWAMBA NCHI YETU BADO IKO DUNIA YA TATU NA WATU WAKE BADO WAKO KWENYE SAFARI YA KUWA BINADAMU
Kosa kubwa ni kuaminisha unaweza ponya maradhi ya kimwili kwa njia ya maombi
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom