Ila tuweje kaka?Tusiwe serious sana kiongozi
tuwe tu wazalendo, tulipe na kodiIla tuweje kaka?
nafikiri itaamsha morari zaidi kwa kuwapa mifano alisi sioni tabu katika hilo bali ni wivu tuhHapana. Kila mtu ana destination yake. Sio kwamba GSM amefanikiwa basi kila mtoto wa Leo awe Kama GSM. Kila mtu ana future yake huwezi kumlimit kwa kuangalia maisha ya mtu Fulani.
Hawamjui Samia hao, wapeni pole tu.Kuna kampeni ya Leo imezinduliwa mkoani Tanga na Naibu Waziri Mkuu Mh Dotto Biteko inayoitwa Mtoto wa Leo ni Samiah wa Kesho. Hii Kampeni nimeshindwa kuuelewa kusudi lake. Je ni kweli kwamba kila mtoto wa Leo atakuwa Samiah wa Kesho?...
Watawa watoto wako watakuja mupigwa mashine ka n wakiume hakikisha mtt wako anapiga mashine videm hata vya mtaani maisha yamebadilika sn kinyume na hapo utaleta janga kwenye familia yakoAmekosea sana sisi wengine watoto wetu kesho tunataka wawe WATAWA
Wivu ndio unakusumbua sidhani kama kuna jingine.Kuna kampeni ya Leo imezinduliwa mkoani Tanga na Naibu Waziri Mkuu Mh Dotto Biteko inayoitwa Mtoto wa Leo ni Samiah wa Kesho. Hii Kampeni nimeshindwa kuuelewa kusudi lake. Je ni kweli kwamba kila mtoto wa Leo atakuwa Samiah wa Kesho?...
Shida nini mkuu?Kuna kampeni ya Leo imezinduliwa mkoani Tanga na Naibu Waziri Mkuu Mh Dotto Biteko inayoitwa Mtoto wa Leo ni Samiah wa Kesho. Hii Kampeni nimeshindwa kuuelewa kusudi lake. Je ni kweli kwamba kila mtoto wa Leo atakuwa Samiah wa Kesho?...
Nyumbu mmekwama aisee, dah!!!Kama ni hivyo basi bora wangu nimpe sumu leo usiku afie huko
Wanafikiri kuwa rais ndio jambo kubwa na bora zaidi duniani!Kuna kampeni ya Leo imezinduliwa mkoani Tanga na Naibu Waziri Mkuu Mh Dotto Biteko inayoitwa Mtoto wa Leo ni Samiah wa Kesho. Hii Kampeni nimeshindwa kuuelewa kusudi lake. Je ni kweli kwamba kila mtoto wa Leo atakuwa Samiah wa Kesho?.
Je, ni kweli kila mtoto anataka kuwa Kama Samiah? Je wawe Kama Samiah kimatendo au kicheo?. Yani wanakuwaje Kama Samiah.
1. Samiah ni Rais, je kila mtoto ana ndoto ya kuwa Rais?.
2. Samiah ni mwanasiasa, je kila mtoto ana Nia ya kuwa mwanasiasa au kuwa Mwenyekiti wa chama?.
3. Samiah ni mwanamke , je watoto wa kiume Wanavutiwa kuwa kama yeye?
4. Samiah amemteua mkwe wake kuwa Waziri kwenye serikali yake , je kila mtoto kesho awe Kama yeye a teue wakwe kwenye serikali.
5. Samiah elimu yake ya kuunga unga, je watoto wa Leo na wao wawe na elimu ya kuunga unga?
6. Samiah amekopa Deni la nje kuliko Marais wote waliopita, he watoto wa Leo wawe Kama Samiah?
Nadhani waliokuja na kampeni hii mashuleni walikuwa na lengo la uchawa ndani yake. Ingekuwa Bora pale ambapo wangesema " Mtoto wa Leo ni Rais wa Kesho" ingekuwa vizuri, lakini kuandika jina la mtu Kwenye kampeni kubwa Kama hiyo ni uchawa.