econonist
JF-Expert Member
- Jul 11, 2015
- 20,189
- 29,663
Kuna kampeni ya Leo imezinduliwa mkoani Tanga na Naibu Waziri Mkuu Mh Dotto Biteko inayoitwa Mtoto wa Leo ni Samiah wa Kesho. Hii Kampeni nimeshindwa kuuelewa kusudi lake. Je ni kweli kwamba kila mtoto wa Leo atakuwa Samiah wa Kesho?.
Je, ni kweli kila mtoto anataka kuwa Kama Samiah? Je wawe Kama Samiah kimatendo au kicheo?. Yani wanakuwaje Kama Samiah.
1. Samiah ni Rais, je kila mtoto ana ndoto ya kuwa Rais?.
2. Samiah ni mwanasiasa, je kila mtoto ana Nia ya kuwa mwanasiasa au kuwa Mwenyekiti wa chama?.
3. Samiah ni mwanamke , je watoto wa kiume Wanavutiwa kuwa kama yeye?
4. Samiah amemteua mkwe wake kuwa Waziri kwenye serikali yake , je kila mtoto kesho awe Kama yeye a teue wakwe kwenye serikali.
5. Samiah elimu yake ya kuunga unga, je watoto wa Leo na wao wawe na elimu ya kuunga unga?
6. Samiah amekopa Deni la nje kuliko Marais wote waliopita, he watoto wa Leo wawe Kama Samiah?
Nadhani waliokuja na kampeni hii mashuleni walikuwa na lengo la uchawa ndani yake. Ingekuwa Bora pale ambapo wangesema " Mtoto wa Leo ni Rais wa Kesho" ingekuwa vizuri, lakini kuandika jina la mtu Kwenye kampeni kubwa Kama hiyo ni uchawa.
Je, ni kweli kila mtoto anataka kuwa Kama Samiah? Je wawe Kama Samiah kimatendo au kicheo?. Yani wanakuwaje Kama Samiah.
1. Samiah ni Rais, je kila mtoto ana ndoto ya kuwa Rais?.
2. Samiah ni mwanasiasa, je kila mtoto ana Nia ya kuwa mwanasiasa au kuwa Mwenyekiti wa chama?.
3. Samiah ni mwanamke , je watoto wa kiume Wanavutiwa kuwa kama yeye?
4. Samiah amemteua mkwe wake kuwa Waziri kwenye serikali yake , je kila mtoto kesho awe Kama yeye a teue wakwe kwenye serikali.
5. Samiah elimu yake ya kuunga unga, je watoto wa Leo na wao wawe na elimu ya kuunga unga?
6. Samiah amekopa Deni la nje kuliko Marais wote waliopita, he watoto wa Leo wawe Kama Samiah?
Nadhani waliokuja na kampeni hii mashuleni walikuwa na lengo la uchawa ndani yake. Ingekuwa Bora pale ambapo wangesema " Mtoto wa Leo ni Rais wa Kesho" ingekuwa vizuri, lakini kuandika jina la mtu Kwenye kampeni kubwa Kama hiyo ni uchawa.