Tetesi: Side mnyamwezi awashauri vigogo wa timu nyuma mwiko kuhamia ligi ya south Africa baada ya kugundua NBC ligi ni dhaifu!

kipara kipya

JF-Expert Member
May 2, 2016
18,604
23,066
Kocha mkuu side mnyamwezi ameushauri uongozi wa klabu ya gongowazi kuhamia south huko atapambana na timu ngumu kama mamelodi ,kaizer chief,Gallaxy na nyinginezo.....hivyo akipangwa tena makundi anapita moja kwa moja maana ligi ya NBC ni dhaifu yanga haiwezi kucheza robo kama itabaki ligi ya bongo yenye timu dhaifu kama jkt,namungo,singida black stars na nyingjnezo zinazo pewa udhamini na GSM taarifa hizi chanzo chake ni mjumbe aliyeshiriki kikao baada ya mechi ya mwisho dhidi ya mc alger kikao kilifanya maamuzi mengi hata kuondoa baadhi ya member wa kamati ya maxhindano na wachezaji wameonekana kushuka viwango baada ya kuvunja miiko ya uchezaji kwa kujaamiana hovyo wakiwa manumbani kwao kwa kuwa wachezaji wengi hawapo katika misingj ya u-proffessional kilimaliza chanzo hicho!
 

Attachments

  • 20250124_133947.jpg
    20250124_133947.jpg
    315.2 KB · Views: 1
Unawalaumu wachezaji wa Yanga eti wanajamiana, kwaiyo unaona wivu hawakujamiana na wewe.
Wanaume tumebaki wachache
 
Tofautisha CAFCL na Yale mashindano yenu ya akina mama
Champion ligi wenzenu wamefika robo mara tatu nyie mkaona simba anafaidi mkanunua mechi NBC mpaka mkaenda huko champion ligi haya piteni kundi lenye timu dhaifu mmeshindwa kwa taarifa yako kundi lile kama simba ndio lake angeshinda mechi zote!
 
Champion ligi wenzenu wamefika robo mara tatu nyie mkaona simba anafaidi mkanunua mechi NBC mpaka mkaenda huko champion ligi haya piteni kundi lenye timu dhaifu mmeshindwa kwa taarifa yako kundi lile kama simba ndio lake angeshinda mechi zote!
Simba ya Sasa haiwezi kucheza CAFCL itashiriki mashindano yenu ya akina mama
 
Hapa ndo unadhihirisha huna akili ni za kuokoteza...mbumbu mzungu wa reli...zuzu...wivu una kisukununu...una gubu...n.k...
Yani mwakikundi una stress mpk kwenye vinyweleo....
Nitawapopoa makolo hata mke 900
 
Back
Top Bottom