Eric Cartman
JF-Expert Member
- May 21, 2009
- 11,966
- 11,218
Kwanini wewe unachangia jukwaa la siasa?
Siasa kwako ina maana gani, hasaa; na upo tayari kusimamia msimamo wako muda wowote na kwa gharama yoyote.
Siasa kwako ni utu?
Siasa kwako ni sheria na mipaka ya kutaka kuongozwa (katiba).
Siasa kwako ni sera zenye kuinua jamii?
Siasa kwako ni njia za kumuwezesha kila mtu; huku ukiwa na njia za kufanikisha ilo zoezi.
Kwa kifupi siasa ni somo pana.
Kujiunga na chama gani cha siasa ni utashi wa mtu. Muhimu ni kuelewa chama husika kinasimamia nini.
Usigombane na kupambana kwa sababu ya kuntetea mtu au taasisi isiyo na muelekeo ilimradi tu ujionyshe unasimamia upande hizo siasa.
Either wewe kijana ni CCM, CDM, ACT wazalendo, CUF; jiunge kwenye chama cha siasa kwa sababu ya itikadi ya nini hiko chama kinataka kufanya na wewe ni muumini wa njia zake.
Siasa ni taasisi na itikadi unayojisimamia yenyewe, siasa sio mtu.
Unajiuliza kwanini mtu yupo tayari kujilipua sio kwa sababu ya misimamo yake bali mtu mwingine hizo ndio sababu za kuwa mwanasiasa kweli.
Unasoma JF asilimia kubwa ya wachangiaji ni ushambenga hizo ndio siasa kweli.
Tuache kuwa watumwa wa wengine kama tunataka kuwa wanasiasa.
Unatakiwa kufanya siasa kwa sababu ya namna ambayo una amini jamii inatakiwa kuongozwa (huo ndio msimamo wako sio mtu).
Siasa kwako ina maana gani, hasaa; na upo tayari kusimamia msimamo wako muda wowote na kwa gharama yoyote.
Siasa kwako ni utu?
Siasa kwako ni sheria na mipaka ya kutaka kuongozwa (katiba).
Siasa kwako ni sera zenye kuinua jamii?
Siasa kwako ni njia za kumuwezesha kila mtu; huku ukiwa na njia za kufanikisha ilo zoezi.
Kwa kifupi siasa ni somo pana.
Kujiunga na chama gani cha siasa ni utashi wa mtu. Muhimu ni kuelewa chama husika kinasimamia nini.
Usigombane na kupambana kwa sababu ya kuntetea mtu au taasisi isiyo na muelekeo ilimradi tu ujionyshe unasimamia upande hizo siasa.
Either wewe kijana ni CCM, CDM, ACT wazalendo, CUF; jiunge kwenye chama cha siasa kwa sababu ya itikadi ya nini hiko chama kinataka kufanya na wewe ni muumini wa njia zake.
Siasa ni taasisi na itikadi unayojisimamia yenyewe, siasa sio mtu.
Unajiuliza kwanini mtu yupo tayari kujilipua sio kwa sababu ya misimamo yake bali mtu mwingine hizo ndio sababu za kuwa mwanasiasa kweli.
Unasoma JF asilimia kubwa ya wachangiaji ni ushambenga hizo ndio siasa kweli.
Tuache kuwa watumwa wa wengine kama tunataka kuwa wanasiasa.
Unatakiwa kufanya siasa kwa sababu ya namna ambayo una amini jamii inatakiwa kuongozwa (huo ndio msimamo wako sio mtu).