KERO Shule ya Msingi Mugundu (Singida) tuna shida ya Uongozi mpaka Kamati ya Shule imejiuzulu kwa sababu Wazazi hawamtaki Kaimu Mwl. Mkuu

Hii ni kero ambayo mwananchi ameiwasilisha JF akitaka wahusika kuchukua hatua
A

Anonymous

Guest
Wana jamvi,

Naandika kutoka shule ya msingi Mugundu ilioko mkoa wa Singida,wilaya ya Iramba,tarafa ya kinampanda,kata ya Kyengege.

Tuna shida ya uongozi wa shule alihamishwa mwl mkuu Sebastian mwenye degree aliekuwa analeta maendeleo shuleni, tukaletewa kaimu mwl mkuu mwenye certificate wakati hapo shuleni kukiwa na walimu wenye diploma hawakupewa kukaimu.

Baada ya wananchi kupaza sauti kwa diwani,diwani alijibu yeye ndio kamhamisha eti Hana maendeleo,hivi ninavyo andika kamati ya shule ilisha jiuzulu tangu MWAKA Jana mwezi wa tatu na kaimu mwl mkuu hajaitisha kikao Cha wazazi kuchagua kamati mpya zaidi ya hapo mwezi uliopita kateua kamati yake.

Swali, hivi diwani Ambae ndie mwenyekiti wa halmashauri ana mamlaka ya kuhamisha watumishi.

Je, nikisema uhamisho huu una sura ya kisiasa nitakosea kwa sababu MWAKA 2023 mwl Seba aliitisha harambee ya uchangiaji madawati ambayo ilifanikiwa mgeni rasmi hakuna diwani kwa hiyo alikasirishwa na kitendo hicho

Hivi kiutumishi inawezekana certificate kumuongoza diploma? Kukaimu huwa hakuna muda ili upandishwe cheo kuwa mkuu kamili?

Je, nitakosea kusema huku ni kupandishana cheo kijanja kwa kuendelea kukaimishana tu

Tunaomba mamlaka zitusaidie kwani tumenda hata kwa mkuu wa wilaya ili atusaidie alisema atakuja Ila tangu MWAKA Jana hajaja mpaka Leo, shule imedorola wazazi hawataki kuchangia chakula kwa sababu hawamtaki kaimu mwl mkuu Shila tunaomba msaada wa haraka
 
Wana jamvi,

Naandika kutoka shule ya msingi Mugundu ilioko mkoa wa Singida,wilaya ya Iramba,tarafa ya kinampanda,kata ya Kyengege.

Tuna shida ya uongozi wa shule alihamishwa mwl mkuu Sebastian mwenye degree aliekuwa analeta maendeleo shuleni, tukaletewa kaimu mwl mkuu mwenye certificate wakati hapo shuleni kukiwa na walimu wenye diploma hawakupewa kukaimu.

Baada ya wananchi kupaza sauti kwa diwani,diwani alijibu yeye ndio kamhamisha eti Hana maendeleo,hivi ninavyo andika kamati ya shule ilisha jiuzulu tangu MWAKA Jana mwezi wa tatu na kaimu mwl mkuu hajaitisha kikao Cha wazazi kuchagua kamati mpya zaidi ya hapo mwezi uliopita kateua kamati yake.

Swali, hivi diwani Ambae ndie mwenyekiti wa halmashauri ana mamlaka ya kuhamisha watumishi.

Je, nikisema uhamisho huu una sura ya kisiasa nitakosea kwa sababu MWAKA 2023 mwl Seba aliitisha harambee ya uchangiaji madawati ambayo ilifanikiwa mgeni rasmi hakuna diwani kwa hiyo alikasirishwa na kitendo hicho

Hivi kiutumishi inawezekana certificate kumuongoza diploma? Kukaimu huwa hakuna muda ili upandishwe cheo kuwa mkuu kamili?

Je, nitakosea kusema huku ni kupandishana cheo kijanja kwa kuendelea kukaimishana tu

Tunaomba mamlaka zitusaidie kwani tumenda hata kwa mkuu wa wilaya ili atusaidie alisema atakuja Ila tangu MWAKA Jana hajaja mpaka Leo, shule imedorola wazazi hawataki kuchangia chakula kwa sababu hawamtaki kaimu mwl mkuu Shila tunaomba msaada wa haraka
Mwenykiti wa halmashauri kamtumia mkurugenzi wa halmashauri kumhamisha mkuu wa shule.Mkurugenzi (DED) ndo mkuu wa watumishi waajiriwa na vibarua walioko kwenye halmashauri yake.
 
Wana jamvi,

Naandika kutoka shule ya msingi Mugundu ilioko mkoa wa Singida,wilaya ya Iramba,tarafa ya kinampanda,kata ya Kyengege.

Tuna shida ya uongozi wa shule alihamishwa mwl mkuu Sebastian mwenye degree aliekuwa analeta maendeleo shuleni, tukaletewa kaimu mwl mkuu mwenye certificate wakati hapo shuleni kukiwa na walimu wenye diploma hawakupewa kukaimu.

Baada ya wananchi kupaza sauti kwa diwani,diwani alijibu yeye ndio kamhamisha eti Hana maendeleo,hivi ninavyo andika kamati ya shule ilisha jiuzulu tangu MWAKA Jana mwezi wa tatu na kaimu mwl mkuu hajaitisha kikao Cha wazazi kuchagua kamati mpya zaidi ya hapo mwezi uliopita kateua kamati yake.

Swali, hivi diwani Ambae ndie mwenyekiti wa halmashauri ana mamlaka ya kuhamisha watumishi.

Je, nikisema uhamisho huu una sura ya kisiasa nitakosea kwa sababu MWAKA 2023 mwl Seba aliitisha harambee ya uchangiaji madawati ambayo ilifanikiwa mgeni rasmi hakuna diwani kwa hiyo alikasirishwa na kitendo hicho

Hivi kiutumishi inawezekana certificate kumuongoza diploma? Kukaimu huwa hakuna muda ili upandishwe cheo kuwa mkuu kamili?

Je, nitakosea kusema huku ni kupandishana cheo kijanja kwa kuendelea kukaimishana tu

Tunaomba mamlaka zitusaidie kwani tumenda hata kwa mkuu wa wilaya ili atusaidie alisema atakuja Ila tangu MWAKA Jana hajaja mpaka Leo, shule imedorola wazazi hawataki kuchangia chakula kwa sababu hawamtaki kaimu mwl mkuu Shila tunaomba msaada wa haraka
Diwani anaitwa nani na huyo Mwalimu aliyohamisha jina lake pamoja na Aliye kaimishwa anaitwa nani?
 
Diwani anaitwa nani na huyo Mwalimu aliyohamisha jina lake pamoja na Aliye kaimishwa anaitwa nani?
Diwani anaitwa Inosent Ambae ndio mwenyekiti wa halmashauri,mwalimu alie hamishwa anaitwa Juvinar Sebastian kapelekwa Ng'anguli na mwalimu alie letwa anaitwa Shila
Hivi majuzi ndio kaitisha kikao Cha wazazi kaitambulisha kamati aliyo ichagua yeye na sio wazazi na kutoka takwimu ya chakula Kati ya wanafunzi 317 ni 15 tu ndio wamechangia chakula,wazazi walipo ulizwa Nini shida hawachangi jibu ni likawa kaimu mwl mkuu Hana ushirikiano,Sasa kwa Hali hii wanafunzi Wanao kula shuleni wako 15 na 302 hawali wanashinda kutwa Kama wa darasa la saba na nne wanatoka saa kumi hivi wanaelewa vizuri kweli
 
Wana jamvi,

Naandika kutoka shule ya msingi Mugundu ilioko mkoa wa Singida,wilaya ya Iramba,tarafa ya kinampanda,kata ya Kyengege.

Tuna shida ya uongozi wa shule alihamishwa mwl mkuu Sebastian mwenye degree aliekuwa analeta maendeleo shuleni, tukaletewa kaimu mwl mkuu mwenye certificate wakati hapo shuleni kukiwa na walimu wenye diploma hawakupewa kukaimu.

Baada ya wananchi kupaza sauti kwa diwani,diwani alijibu yeye ndio kamhamisha eti Hana maendeleo,hivi ninavyo andika kamati ya shule ilisha jiuzulu tangu MWAKA Jana mwezi wa tatu na kaimu mwl mkuu hajaitisha kikao Cha wazazi kuchagua kamati mpya zaidi ya hapo mwezi uliopita kateua kamati yake.

Swali, hivi diwani Ambae ndie mwenyekiti wa halmashauri ana mamlaka ya kuhamisha watumishi.

Je, nikisema uhamisho huu una sura ya kisiasa nitakosea kwa sababu MWAKA 2023 mwl Seba aliitisha harambee ya uchangiaji madawati ambayo ilifanikiwa mgeni rasmi hakuna diwani kwa hiyo alikasirishwa na kitendo hicho

Hivi kiutumishi inawezekana certificate kumuongoza diploma? Kukaimu huwa hakuna muda ili upandishwe cheo kuwa mkuu kamili?

Je, nitakosea kusema huku ni kupandishana cheo kijanja kwa kuendelea kukaimishana tu

Tunaomba mamlaka zitusaidie kwani tumenda hata kwa mkuu wa wilaya ili atusaidie alisema atakuja Ila tangu MWAKA Jana hajaja mpaka Leo, shule imedorola wazazi hawataki kuchangia chakula kwa sababu hawamtaki kaimu mwl mkuu Shila tunaomba msaada wa haraka
Kwa hiyo hawataki kuchangia chakula cha watoto wao! Wazazi hewa hawa.
Afu muandishi anachuki na Kaimu
 
Diwani anaitwa Inosent Ambae ndio mwenyekiti wa halmashauri,mwalimu alie hamishwa anaitwa Juvinar Sebastian kapelekwa Ng'anguli na mwalimu alie letwa anaitwa Shila
Hivi majuzi ndio kaitisha kikao Cha wazazi kaitambulisha kamati aliyo ichagua yeye na sio wazazi na kutoka takwimu ya chakula Kati ya wanafunzi 317 ni 15 tu ndio wamechangia chakula,wazazi walipo ulizwa Nini shida hawachangi jibu ni likawa kaimu mwl mkuu Hana ushirikiano,Sasa kwa Hali hii wanafunzi Wanao kula shuleni wako 15 na 302 hawali wanashinda kutwa Kama wa darasa la saba na nne wanatoka saa kumi hivi wanaelewa vizuri kweli
We mwalimu fundisha acha majungu.Wazazi hawachangii chakula cha watoto wao alafu unasema Mwalimu kaimu hana ushirikiano.
 
Back
Top Bottom