johnthebaptist
JF-Expert Member
- May 27, 2014
- 97,869
- 171,689
Kwa Miaka yote ya Uenyekiti wa Mbowe CHADEMA amekuwa akifadhiliwa na Makada wa CCM katika mambo mbalimbali ya Kisiasa na hata Kikanisa
Hii ndio sababu alimshukuru Mwenyekiti wa CCM Mpendwa wetu mh Rais Samia Kwa kufanikisha Chadema kupata Jengo la Makao Makuu kupitia Maridhiano
Kama Kweli Lisu anataka kuleta mabadiliko ni lazima aanze upya huku akiwaomba Wana Chadema kuwa wavumilivu
Aanze kwanza na audit ya Mali za Chama kama zipo kisha aimarishe Daftari la Wanachama Ili kuwa na uratibu Mzuri wa Ada za wanachama
Magufuli alitembea Kwa miguu kutoka Ikulu hadi CRDB Holland House Ili kujiridhisha
Mbowe hajawahi kutoa Hela ya ugali wa familia yake Ili kuisaidia Chadema, TUSIDANGANYANE 🐼
Jumaa Mubarak 😀
Hii ndio sababu alimshukuru Mwenyekiti wa CCM Mpendwa wetu mh Rais Samia Kwa kufanikisha Chadema kupata Jengo la Makao Makuu kupitia Maridhiano
Kama Kweli Lisu anataka kuleta mabadiliko ni lazima aanze upya huku akiwaomba Wana Chadema kuwa wavumilivu
Aanze kwanza na audit ya Mali za Chama kama zipo kisha aimarishe Daftari la Wanachama Ili kuwa na uratibu Mzuri wa Ada za wanachama
Magufuli alitembea Kwa miguu kutoka Ikulu hadi CRDB Holland House Ili kujiridhisha
Mbowe hajawahi kutoa Hela ya ugali wa familia yake Ili kuisaidia Chadema, TUSIDANGANYANE 🐼
Jumaa Mubarak 😀