COARTEM
JF-Expert Member
- Nov 26, 2013
- 3,603
- 3,658
Binafsi nimuombe Rais Samia S. Hassan aongeze kasi ya kuijenga Dodoma ili shughuli zote za kiserikali including zake mwenyewe zifanyikie Dodoma.
Dar es Salaam tuiache ipanuke kibiashara zaidi.
Mikutano yote ya kitaifa na kimataifa ya kiserikali ifanyikie Dodoma.
Marais wakija Tanzania waende DODOMA wasikae Dar es Salaam
Dar es Salaam tuiache ipanuke kibiashara zaidi.
Mikutano yote ya kitaifa na kimataifa ya kiserikali ifanyikie Dodoma.
Marais wakija Tanzania waende DODOMA wasikae Dar es Salaam