Manyanza
JF-Expert Member
- Nov 4, 2010
- 12,531
- 24,283
"Nilikuwa naamka saa 12 asubuhi naenda kwenye mihangaiko yeye namuacha amelala, nilikuwa naacha elfu 40 mezani haongezi hata elfu 5 tunakula hiyo elfu 40 siku inaisha anasubiri kesho tena niamke saa 12 nimlishe. Hajitumi, mimi mwanaume ambaye hahangaiki hana maana kwangu"-
My take : Yawezekana Shishi alikuwa ana mtumikisha sana huyu Kijana na Yeye anapoondoka asubuhi huyu Kijana anakuwa hana nguvu kabisa baada ya kutumika sana usiku.
My take : Yawezekana Shishi alikuwa ana mtumikisha sana huyu Kijana na Yeye anapoondoka asubuhi huyu Kijana anakuwa hana nguvu kabisa baada ya kutumika sana usiku.