Shikamoo Mh:Marahaba!

sifi leo

JF-Expert Member
Mar 30, 2012
5,182
8,946
Mimi rais Mithili ya Broo Magu, simpi shikamoo, nikiingia kwenye anga zake, kama ananitumbua potelea mbari.

Naomba Mwenye picha ya mkurugenzi wa Uwanja wa ndege wa Mwalimu Nyerere akimwamukia mkuu wa Kaya, baada ya kuingia kweye Kumi na tano za Broo Magu, aniwekee hapa nicheke jamaa mpaka anainama kidgo, haaaaaaaaaaa, Magu Mwaka huuu, utapigiwa mpaka magoti.
 
hahah hiyo nadhani uitafute youtube utaipata tu..mwenyewe ameniacha hoi sana huyu jamaa alitamani kweli kupiga na goti aisee.,
 
Walijichanganya mpaka raha .. Unaweza jikuta unajikojolea kuona kibarua kinachezea kwenye karibu na shimo kubwa
 

Similar Discussions

Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…