Sheria ya bima ya afya kwa wote yaanza kutumika, kipengele cha 'lazima kwa wote' chasitishwa matumizi

Replica

JF-Expert Member
Aug 28, 2017
1,672
8,861
Waziri wa afya, Ummy Mwalimu ametoa tangazo la kuanza kutumika sheria ya bima ya afya kwa wote Tarehe 16 Agosti, 2024.

Awali bima hii ilikuwa iwe lazima kwa wote na kuleta mjadala mkubwa lakini tangazo la matumizi halijajumuisha kipengele husika.

Bima afya kwa wote.png
 
Ni kweli hii sheria imeanza kutumika? Je inakatwa kwa kiasi gani? Je itatumika kwa familia nzima ya mume,mke na watoto au ni kwa mtu mmoja mmoja?
 
Waziri wa afya, Ummy Mwalimu ametoa tangazo la kuanza kutumika sheria ya bima ya afya kwa wote Tarehe 16 Agosti, 2024.

Awali bima hii ilikuwa iwe lazima kwa wote na kuleta mjadala mkubwa lakini tangazo la matumizi halijajumuisha kipengele husika.

Naomba kujua aina ya vitita vya bima ya afya kwa wote au vyote vitakuwa sawa?
 
Back
Top Bottom