Erythrocyte
JF-Expert Member
- Nov 6, 2012
- 127,964
- 244,568
pamoja na kwamba ninafahamu kwamba ccm imekufa lakini sikutegemea kifo chake kiwe kibaya namna hii ! Hakika Mungu ni wa ajabu sana !Hiki chama kimekufa tangu mwaka Jana walipolazimisha ushindi, wapo kwa sababu ya wana polisi
nakubaliana na wewe .CCM ilishajifia kitambo mkuu...basi tu kwa sasa anaibeba Mapadlock, ndo maana hata yeye kwenye kampeni hakuthubutu kuwambia wananch waichague ccm kwa kuwa anafaham vyema hakuna mwenye time na hilo limzoga (ccm).
Mtazungusha sana mikonoKwa siku kama ya leo miaka iliyopita ilikuwa ni pilikapilika kwa wananchi na wanaccm katika kuadhimisha siku ya kuzaliwa kwa chama hicho kikongwe kinachosemekana kuzaliwa 5 february 1977.
uchunguzi wangu umebaini kwamba wananchi wengi wamepuuza sherehe hizo , huku wengi wa vijana wakiwa hawajui hata tarehe ya kuzaliwa kwa chama hicho iliyokuwa siku ya kitaifa miaka kadhaa iliyopita .
My Take - Umaarufu wa ccm umepotea kabisa miongoni mwa wananchi , hii ni dalili ya chama kufa , Shukrani kwa Mwenyezi Mungu .
Anaye UA kwa upanga nae atakufa kwa upanga, binfasi nilitamani kifo chake kiwe zaidi ya hikipamoja na kwamba ninafahamu kwamba ccm imekufa lakini sikutegemea kifo chake kiwe kibaya namna hii ! Hakika Mungu ni wa ajabu sana !
unamzungumzia Mzee wa lugha chafu sadifa ?Subiria MIPASHO ya mwenyekiti na vijana wake wakiwemo wale wa TOT hapo kesho NAMFUA.
Mgeni rasmi.unamzungumzia Mzee wa lugha chafu sadifa ?
Dawa yenu nikuwakAtia kubeneazi tuu na kuwavuaKwa siku kama ya leo miaka iliyopita ilikuwa ni pilikapilika kwa wananchi na wanaccm katika kuadhimisha siku ya kuzaliwa kwa chama hicho kikongwe kinachosemekana kuzaliwa 5 february 1977.
uchunguzi wangu umebaini kwamba wananchi wengi wamepuuza sherehe hizo , huku wengi wa vijana wakiwa hawajui hata tarehe ya kuzaliwa kwa chama hicho iliyokuwa siku ya kitaifa miaka kadhaa iliyopita .
My Take - Umaarufu wa ccm umepotea kabisa miongoni mwa wananchi , hii ni dalili ya chama kufa kifo kibaya sana , Shukrani kwa Mwenyezi Mungu kwa kujibu maombi ya wengi .
ukweli mtupu !Sherehe ya marehemu inayofana ni arobaini tu na siyo kumbukumbu chama kimeshajifia usishangae kutokufana
hii nayo inahusu sherehe za ccm ?Dawa yenu nikuwakAtia kubeneazi tuu na kuwavua
kwani kuna chama kingine kilichokuwa kinafanya birthday ya kitaifa ?Vyama vingine vitaadhimisha lini?