Shamba la Kanisa latoa ajira kwa watoto Uganda

Status
Not open for further replies.

Ritz

JF-Expert Member
Jan 1, 2011
51,201
40,113
Wanaukumbi.

Uchunguzi wa BBC umegundua kuwa watoto wameajiriwa kwenye shamba moja la chai linalomilikiwa na Kanisa Katoliki nchini Uganda.

Moja ya kampeni za Papa Francis ni kupiga vita ajira kwa watoto. Je nini mtazamo wako katika suala la ajira kwa watoto hasa kwa kuzingatia utamaduni wa Afrika?

Chanzo: BBC Dira TV
 
Last edited by a moderator:
Ulilenga swali hilo tu au una ajenda nyingine pembeni?
 
Status
Not open for further replies.
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…