Several People Shot Outside Parliament In Anti-Finance Bill Protests

JanguKamaJangu

JF-Expert Member
Feb 7, 2022
2,514
6,017
Several people have been shot in a fierce clash between anti-riot police officers and protesters opposing the Finance Bill 2024 in Nairobi.

Police were forced to open fire after the protesters began marching towards Parliament where lawmakers were voting to pass the controversial Bill.

Source: Citizen Digital
 
Kumbuken vya kurithi ni vibaya zaidi.. hii tabia tukirith huku hapatakalika.... Serikali ijitahidi iasiamshe vilivyolala.
 
Waswahili wa 255 walishazimwa akili kwa moshi wa Mwenge, hawawezi kuthubutu kupinga chochote cha wasemaji wao kule Dodomer
CCM inaongoza nchi kwa busara. Ndio maana umeona hata bajeti ya Uganda imeipita ya Tz. Nini maana yake? Tz haijajikadiria pakubwa kiasi cha kuwaumiza sana wananchi. Tofauti na Kenya ambao GDP yao kwa no 1.3 ya GDP ya TZ lakn wamejikadiria kukusanya 1.7 ya mapato ya Tanzania. Maana yake wameongeza makamuzi kwa wananchi.
Huwezi kuona maandamano ya ajabu kwa Taifa linalojitawala kwa busara, hekima, desturi, sheria na Katiba kama hapa Tz.
 
Waswahili wa 255 walishazimwa akili kwa moshi wa Mwenge, hawawezi kuthubutu kupinga chochote cha wasemaji wao kule Dodomer
Ndugu tuhurumie Tu maana sio Kwamba hatupendi ila ndo hivyo tulishafanywa misukule
 
Is Power in barrel of a gun? Keyboard prevails- I thought so once now I know.
 

Attachments

  • 20240625_154241.jpg
    82.8 KB · Views: 4
We utakuwa chawa tuuu!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…