Several People Shot Outside Parliament In Anti-Finance Bill Protests

JanguKamaJangu

JF-Expert Member
Feb 7, 2022
2,510
6,005
Ke.jpg
Several people have been shot in a fierce clash between anti-riot police officers and protesters opposing the Finance Bill 2024 in Nairobi.

Police were forced to open fire after the protesters began marching towards Parliament where lawmakers were voting to pass the controversial Bill.

Source: Citizen Digital
 
Kumbuken vya kurithi ni vibaya zaidi.. hii tabia tukirith huku hapatakalika.... Serikali ijitahidi iasiamshe vilivyolala.
 
Waswahili wa 255 walishazimwa akili kwa moshi wa Mwenge, hawawezi kuthubutu kupinga chochote cha wasemaji wao kule Dodomer
CCM inaongoza nchi kwa busara. Ndio maana umeona hata bajeti ya Uganda imeipita ya Tz. Nini maana yake? Tz haijajikadiria pakubwa kiasi cha kuwaumiza sana wananchi. Tofauti na Kenya ambao GDP yao kwa no 1.3 ya GDP ya TZ lakn wamejikadiria kukusanya 1.7 ya mapato ya Tanzania. Maana yake wameongeza makamuzi kwa wananchi.
Huwezi kuona maandamano ya ajabu kwa Taifa linalojitawala kwa busara, hekima, desturi, sheria na Katiba kama hapa Tz.
 
Is Power in barrel of a gun? Keyboard prevails- I thought so once now I know.
 

Attachments

  • 20240625_154241.jpg
    20240625_154241.jpg
    82.8 KB · Views: 4
CCM inaongoza nchi kwa busara. Ndio maana umeona hata bajeti ya Uganda imeipita ya Tz. Nini maana yake? Tz haijajikadiria pakubwa kiasi cha kuwaumiza sana wananchi. Tofauti na Kenya ambao GDP yao kwa no 1.3 ya GDP ya TZ lakn wamejikadiria kukusanya 1.7 ya mapato ya Tanzania. Maana yake wameongeza makamuzi kwa wananchi.
Huwezi kuona maandamano ya ajabu kwa Taifa linalojitawala kwa busara, hekima, desturi, sheria na Katiba kama hapa Tz.
We utakuwa chawa tuuu!
 
Back
Top Bottom