Mnakalia wapinzani wakati kuna mambo mengi yanayotukabili watanzania.
Muda unakimbia.
CHADEMA KUTOKUWA NA OFISI INASAIDIA NN KTK KUMKOMBOA MTANZANIA WA HALI YA CHINI KIUCHUMI?
MAMBO MENGINE HAYANA MAANA KBSA NA YA KIPUUZI KBSA. MEPEWA DHAMANA YA KUUONGOZA NCHI HAYA YA MBOWE KUTOKUWA NA OFISI INATUHUSU NN SS WATANZANIA?
"mefuta ajira za wanyonge, mewanyima mikopo watoto wa maskini, Mekula rambi rambi za watanzania wanyonge(ikitokea tatizo km la bukoba sidhani km kuna mtu mwenye akili timamu atachangia) , HELSB 15%, no increment, hakuna kupandishwa madaraja, hakuna haki mahakamani (meficha file la kesi la JAMII FORUM), uhakiki usioisha, bei ya vyakula vipo juu, mepiga wamachinga km mbwa mwizi, mechakachua uchaguzi zenji, mewachafua watu kuhusu madawa ya kulevya bila kuwa na ushahid wwte (Gwajima, Mbowe) km mlikuwa serious na madawa ya kulevya memkamata nani anayo na mechukua hatua gani?, kutokuwepo kwa katiba safi, tume huru, hakuna demokrasia na hakuna uhuru wa vyombo vya habari.
NYIE ENDELEENI KUKIMBIZANA NA MBOWE NA LISSU. MUDA UNAENDA HUO
MBOWE KUTOKUWA NA OFISI NDIYO ITATOA MIKOPO KWA WATOTO MASKINI? AU ITAFANYA SEMBE IFIKE 1000?
CCM CHAMA CHA OVYO SANA. MNADILI NA VITU VYA KIJINGA HATA MTOTO WA DARASA YA KWANZA HAWEZI KUFANYA. MNABIDI MPIMWE AKILI WANACCM WOTE
WANANCHI TUNA MATATIZO MENGI MNAKALIA SIASA ZA MAJI TAKA.
BAADA YA KUJUA HANA OFISI IMEKUSAIDIA NN?