Aongoze kwa kufata sheria na katiba sio mabavu ktk maamz, aangalie vipaumbele vinavyonufaisha umma hasa maskn, mf kuwainua kimaisha, ktoa mikopo kwa umma na Elimu juu,dawa hospt, elimu iboreshwe ikiwemo nyenzo zote na walimu,
VIWANDA sawa lakn ss wengi wakulima hivyo havitusaidii moja kwa moja, Ajira ni muhimu sana kwa vijana hasa maskn wasokua hata namitaji ya kujiajiri lakn serikali imekalia uhakiki na ktoajiri vjana wanazd kulundkana mtaani tu, ndege na viwanja sawa muhimu lakn sio kwa watu masikn kama watanzania, haikupaswa kuwa kipaumbele sema mnapenda sifa sana kutaka kusifiwa tu,
Mnafikr ndege hata bb zetu watapanda? Dawa hospt c watatbiwa! Mkiajiri walimu c watafndsha watoto wa maskn angalau kupungza dv 0!
Mnafanya mambo kuwa kipaumbele yasiyosaidia maskn kwa muda huu, huwez kuweka paa wakat hujajenga msing na ukta, mm binafsi sikupgia ccm kura na stapgia ccm kura hasa JPM, mmejaa kejeli na dharau,mnafkr ndo mmekuja milele madarakani?
Ajira mwaka mzma ni zakuteauana tu vp vijana graduate toka 2015? Hovyoooooo!