Serikali mna jukumu la kuwasaidia hao Vijana wa NETO na Watanzania wote na sio kuwaletea ukorofi. Tusiwe kama Watu wasio na AKILI tusiojali

Robert Heriel Mtibeli

JF-Expert Member
Mar 24, 2018
28,186
67,750
SERIKALI MNAJUKUMU LA KUWASAIDIA HAO VIJANA WA NETO NA WATANZANIA WOTE NA SIO KUWALETEA UKOROFI. TUSIWE KAMA WATU WASIO NA AKILI TUSIOJALI.

Anaandika, Robert Heriel
Mtibeli

Vijana Wasomi wote wanahaki zote kuitaka serikali iwaajiri. Hao NETO ni sehemu ya vijana hao.

Achana na kina Siye kina Taikon ambao tulisoma kwa mapenzi yetu. Yaani hata serikali isingelazimisha Sisi tungesoma tuu kwa Sababu tulikuwa tunapenda mambo ya kitaaluma, Elimu, maarifa, na ufahamu.

Lakini lipo kundi kubwa la vijana ambao kama sio kulazimishwa na kudanganywa, kutapeliwa kwa ahadi za Uongo kuwa mtu akisoma basi atapata Ajira nzuri na Kuishi maisha mazuri. Kwa kauli za hapa na pale kama Elimu ni ufunguo WA maisha na nyinginezo. Vijana hao wasingesoma Kabisa na Wala Wazazi wao wasingethubutu kuwapeleka shuleni.

Wapo wazazi kimakusudi kwa hiyari yao walikataa kupeleka watoto wao shule Miaka hiyo nasoma, lakini serikali iliwashinikiza kwa nguvu kuwa ni Amri wazazi wapeleke watoto wao shule. Basi ikawa hivyo.

Mbunge wa Kahama, Mhe. kishimba aliwahi alezea Jambo hili kwa uchungu Mkubwa.
Wazazi wameuza mashamba, Ng'ombe, na Mali nyingine wakijua wanawekeza kwa watoto wao kama walivyoambiwa na Mifumo ya serikali kuwa Elimu ni uwekezaji.
Matokeo yake watoto wamemaliza Shule, hakuna lolote la maana linaloendelea.
Wametapeliwa?
Wamedanganywa?

Vijana wamesota,
Vijana wamekesha usiku kucha kwa kile kiitwacho Elimu.
Vijana wamepoteza Muda wao mwingi.
Vijana wamepoteza pesa Zao za Kutosha.
Vijana wamebaki na Madeni ya Bodi ya Mikopo.
Vijana wamejikuta katika hasara karibu ya kila Kitu.

Leo vijana wanaishinikiza serikali iwaajiri kuna watu wanawaona ni wahalifu Kweli?

Sio ninyi mliowaambia wasome ili waajiriwe?
Najua mtawakana,
Kama mtawakana lakini Mtaala wa Elimu mliyokuwa mkiwapa unawaumbua.
Vijana wamefundishwa ili waje waajiriwe na sio kujiajiri.
Mtaala wa Elimu haupo kuandaa mtu kujiajiri isipokuwa kuajiriwa.

Mtu kasomea Udaktari au uhasibu anatafuta Ajira ya Udaktari mumuajiri mnamuambia sio lazima awe Daktari. Anaweza kujiajiri hata kuuza chips au bodaboda. Sasa kama ni hivyo kulikuwa na ulazima gani wa kulazimisha watu wasome na kupoteza Muda na Mali wakati Mbeleni uwekezaji huo unakuwa hauna maana.

Serikali imeshindwa kusimamia suala la ajira na HAKI za vijana wanaofanya Kazi.
Hata wakiajiriwa huko sekta binafsi wanalipwa pesa za ajabuajabu. Wanalipwa pesa kidunchu zisizoendana na elimu zao. Viongozi wenye dhamana wapo sio kwamba hawajui wapo Kimya.

Hivi Mwalimu wa degree analipwa Laki Moja unusu kweli na serikali IPO. KWELI?
Madaktari na Afisa tabibu wanalipwa mishahara ya mbuzi mee. Serikali ipo haifanyi chochote. KWELI?

Wakaguzi wa mashule, na hospitali wanafanya Kazi gani Mpaka vijana wanalipwa pesa zisizoendana na elimu zao.

Ati vijana wajitolee, hivi mnaakili sawasawa? Kwa nini hamna Roho ya KUJALI watu wenu?
Kwa nini mnapuuza vijana Maskini wa nchi yenu?

Yaani mzazi asomeshe mtoto wake ili aje ajitolee. KWELI?
Serikali, nilishasema pigeni Marufuku vijana kujitolea.
Mnawafanya vijana Watumwa kwenye nchi Yao wenyewe. KWELI?
Na hamjali! KWELI?

Kijana akiongea, mnamkamata na vikesi vya hapa na pale. KWELI?
Hiyo sio HAKI.
Wapendeni vijana wa nchi yenu.
Pendeni wale mnaowaongoza. Huo ndio uongozi. Huo ndio uzalendo.
Mnafurahi kuona vijana wakihangaika kwenye nchi Yao kana kwamba hakuna serikali. KWELI?
Nilishawaambia, tusipovamia tutavamiwa. Ona sasa! Tazama! Vijana Wasomi ati serikali haijui pakuwapeleka. Inashangaza!
Wanakuja wageni wanatamba mbele ya wenyeji. Mpo tuu!
Mnawaita wawekezaji. Sawa! Sheria za kulinda maslahi ya vijana wa Tanzania kwa hao wenyeji zinasemaje. Vijana kwenye viwanda wanalipwa pesa za Usukule, utumwa, hakuna anayejali.
Viongozi ninyi ndio Wazazi WA vijana wa taifa Hili.
Niliwahi andika kuwa, hatutaki viwanda vinavyogeuza vijana wetu kuwa Watumwa na misukule. Ni Bora tusiwe na kiwanda hata kimoja kuliko watoto wetu wenyewe tuliowazaa kuwageuza Watumwa na kuwatoa Kafara wawe mandondocha ya kuwanufaisha watu wengine.
Mnasema vijana wajiajiri kwenye Kilimo sijui kwenye vitu gani
Sio ninyi mliowaambia Wasome?
Ikiwa mliwaambiwa wasome mkawatelekeza Mnafikiri watawaamini mkiwambia wajiajiri ili muwatelekeze tena?
Wangapi wamejiajiri kwenye Kilimo lakini wameishia Kupata hasara na Kupata Magonjwa ya moyo baada ya Kilimo kuwapiga KO.
Kama mliwambia wasome na hamkujiandaa kuweka mazingira ya kuajiri iwe sekta binafsi au serikali. Mtaweza kuwasaidia wakijiajiri wenyewe?
Achana na wazo kuwa watapata wapi mtaji.
Tufanye wanamitaji serikali imejiandaaje kuwalinda na kulinda mitaji Yao?

NINI CHAKUFANYA;

1. Serikali ipige Marufuku Wahitimu au Wasomi kujitolea. Adhabu Kali zichukuliwe kwa taasisi, mashirika na makampuni yanayochukua vijana wanaojitolea.

2. Serikali ichukue hatua Kali kwa makampuni, mashirika, taasisi zinazolipa Mishahara kinyume na kima kilichotolewa na Serikali.

3. Serikali ihakikishe mashirika, taasisi na makampuni yanatoa mikataba halali ya kisheria kwa Wasomi.

4. Vyama na Bodi za taaluma zipige Marufuku wanataaluma katika vyama na Bodi Zao kujitolea kwenye taasisi, makampuni au shirika.

5. Vyama na Bodi za taaluma zifungue Kesi kwa makampuni, mashirika na taasisi zinazofanya uonevu, utapeli, na dhulma kwa wanachama wao.

6. Serikali ianze utekelezaji wa Sera ya UVAMIZI wa NCHI zingine kwa kuandaa Mipango na mikakati katika Kusaidia watu wa nchi yetu na taifa letu.

7. Bidhaa zetu kama za Kilimo zisiwe na ku-bet. Liwepo soko la uhakika hasa Nje ya Nchi kwa bei itayosaidia vijana wetu.

8. Ipigwe Marufuku wananchi wa nchi jirani kuzurura zurura ndanindanj ya nchi kuchukua bidhaa za Kilimo. Yaani huko mashambani.
Yawepo Masoko ya nafaka ya kimataifa ambapo Raia wa kigeni akiingia ndani ya nchi ataenda kununua kwenye Masoko hayo.
Sio Mtu kutoka Kenya aingie Tanzania, asonge Mpaka vijijini ndanindani huko achukue bidhaa zetu kwa bei Sawa na Bure. Huo ni upumbavu.

Napendekeza; Ukanda wa Nyanda za juu Kusini (labda Songea) lijengwe soko kubwa la nafaka la kimataifa ambapo wageni wanachukua nafaka hapo.

9. Hati za kusafiri (Passport) kusiwe na Mlolongo Mrefu. Vijana wenye uhitaji wa kufunguka na kutanua uwanja wa utafutaji Nje ya Nchi wapewe waende. Wapate changamoto kwenye Visa lakini sio changamoto kwenye passport

10. Elimu ya Digital na mtandaoni zitolewe. Serikali ipunguze gharama za bando vijana wajiajiri mtandaoni

11. Serikali itoe Mikopo kwa Makundi ya vijana wenye kuonyesha uthubutu na Ubunifu.

Kwa mfano hao NETO, hakukuwa na sababu ya kusumbuana nao. Lilikuwa ni Jambo la kuwaambia kuwa ni kweli tuliwadanganya au pengine hatukuwa na Nia ya kuwadanganya kuhusu kusoma na kuwaajiri lakini mipango sio matumizi. Tumesomesha wengi na sasa uwezo wa kuajiri umekuwa mdogo.
Lakini mnaweza kuwasaidia kama watatengeneza vikundi vya vijana Wasomi wenye mawazo yanayofanana, wapewe Mkopo na serikali itawasimamia.

Ingawaje NETO Kuna MADAI Yao kadhaa wamepuyanga ikiwepo dai la kutokutaka Usaili.
Lakini hiyo haimaanishi tusiwachukulie kama watoto na vijana wetu.

Tusiangalie namna ya kuwakomoa au kuwakatisha tamaa. Bali tulichukulie Jambo hili positive.

Wasaidiwe.

Robert Heriel
Taikon Master
Kwa sasa Dar es salaam
 
SERIKALI MNAJUKUMU LA KUWASAIDIA HAO VIJANA WA NETO NA WATANZANIA WOTE NA SIO KUWALETEA UKOROFI. TUSIWE KAMA WATU WASIO NA AKILI TUSIOJALI.

Anaandika, Robert Heriel
Mtibeli

Vijana Wasomi wote wanahaki zote kuitaka serikali iwaajiri. Hao NETO ni sehemu ya vijana hao.

Achana na kina Siye kina Taikon ambao tulisoma kwa mapenzi yetu. Yaani hata serikali isingelazimisha Sisi tungesoma tuu kwa Sababu tulikuwa tunapenda mambo ya kitaaluma, Elimu, maarifa, na ufahamu.

Lakini lipo kundi kubwa la vijana ambao kama sio kulazimishwa na kudanganywa, kutapeliwa kwa ahadi za Uongo kuwa mtu akisoma basi atapata Ajira nzuri na Kuishi maisha mazuri. Kwa kauli za hapa na pale kama Elimu ni ufunguo WA maisha na nyinginezo. Vijana hao wasingesoma Kabisa na Wala Wazazi wao wasingethubutu kuwapeleka shuleni.

Wapo wazazi kimakusudi kwa hiyari yao walikataa kupeleka watoto wao shule Miaka hiyo nasoma, lakini serikali iliwashinikiza kwa nguvu kuwa ni Amri wazazi wapeleke watoto wao shule. Basi ikawa hivyo.

Mbunge wa Kahama, Mhe. kishimba aliwahi alezea Jambo hili kwa uchungu Mkubwa.
Wazazi wameuza mashamba, Ng'ombe, na Mali nyingine wakijua wanawekeza kwa watoto wao kama walivyoambiwa na Mifumo ya serikali kuwa Elimu ni uwekezaji.
Matokeo yake watoto wamemaliza Shule, hakuna lolote la maana linaloendelea.
Wametapeliwa?
Wamedanganywa?

Vijana wamesota,
Vijana wamekesha usiku kucha kwa kile kiitwacho Elimu.
Vijana wamepoteza Muda wao mwingi.
Vijana wamepoteza pesa Zao za Kutosha.
Vijana wamebaki na Madeni ya Bodi ya Mikopo.
Vijana wamejikuta katika hasara karibu ya kila Kitu.

Leo vijana wanaishinikiza serikali iwaajiri kuna watu wanawaona ni wahalifu Kweli?

Sio ninyi mliowaambia wasome ili waajiriwe?
Najua mtawakana,
Kama mtawakana lakini Mtaala wa Elimu mliyokuwa mkiwapa unawaumbua.
Vijana wamefundishwa ili waje waajiriwe na sio kujiajiri.
Mtaala wa Elimu haupo kuandaa mtu kujiajiri isipokuwa kuajiriwa.

Mtu kasomea Udaktari au uhasibu anatafuta Ajira ya Udaktari mumuajiri mnamuambia sio lazima awe Daktari. Anaweza kujiajiri hata kuuza chips au bodaboda. Sasa kama ni hivyo kulikuwa na ulazima gani wa kulazimisha watu wasome na kupoteza Muda na Mali wakati Mbeleni uwekezaji huo unakuwa hauna maana.

Serikali imeshindwa kusimamia suala la ajira na HAKI za vijana wanaofanya Kazi.
Hata wakiajiriwa huko sekta binafsi wanalipwa pesa za ajabuajabu. Wanalipwa pesa kidunchu zisizoendana na elimu zao. Viongozi wenye dhamana wapo sio kwamba hawajui wapo Kimya.

Hivi Mwalimu wa degree analipwa Laki Moja unusu kweli na serikali IPO. KWELI?
Madaktari na Afisa tabibu wanalipwa mishahara ya mbuzi mee. Serikali ipo haifanyi chochote. KWELI?

Wakaguzi wa mashule, na hospitali wanafanya Kazi gani Mpaka vijana wanalipwa pesa zisizoendana na elimu zao.

Ati vijana wajitolee, hivi mnaakili sawasawa? Kwa nini hamna Roho ya KUJALI watu wenu?
Kwa nini mnapuuza vijana Maskini wa nchi yenu?

Yaani mzazi asomeshe mtoto wake ili aje ajitolee. KWELI?
Serikali, nilishasema pigeni Marufuku vijana kujitolea.
Mnawafanya vijana Watumwa kwenye nchi Yao wenyewe. KWELI?
Na hamjali! KWELI?

Kijana akiongea, mnamkamata na vikesi vya hapa na pale. KWELI?
Hiyo sio HAKI.
Wapendeni vijana wa nchi yenu.
Pendeni wale mnaowaongoza. Huo ndio uongozi. Huo ndio uzalendo.
Mnafurahi kuona vijana wakihangaika kwenye nchi Yao kana kwamba hakuna serikali. KWELI?
Nilishawaambia, tusipovamia tutavamiwa. Ona sasa! Tazama! Vijana Wasomi ati serikali haijui pakuwapeleka. Inashangaza!
Wanakuja wageni wanatamba mbele ya wenyeji. Mpo tuu!
Mnawaita wawekezaji. Sawa! Sheria za kulinda maslahi ya vijana wa Tanzania kwa hao wenyeji zinasemaje. Vijana kwenye viwanda wanalipwa pesa za Usukule, utumwa, hakuna anayejali.
Viongozi ninyi ndio Wazazi WA vijana wa taifa Hili.
Niliwahi andika kuwa, hatutaki viwanda vinavyogeuza vijana wetu kuwa Watumwa na misukule. Ni Bora tusiwe na kiwanda hata kimoja kuliko watoto wetu wenyewe tuliowazaa kuwageuza Watumwa na kuwatoa Kafara wawe mandondocha ya kuwanufaisha watu wengine.
Mnasema vijana wajiajiri kwenye Kilimo sijui kwenye vitu gani
Sio ninyi mliowaambia Wasome?
Ikiwa mliwaambiwa wasome mkawatelekeza Mnafikiri watawaamini mkiwambia wajiajiri ili muwatelekeze tena?
Wangapi wamejiajiri kwenye Kilimo lakini wameishia Kupata hasara na Kupata Magonjwa ya moyo baada ya Kilimo kuwapiga KO.
Kama mliwambia wasome na hamkujiandaa kuweka mazingira ya kuajiri iwe sekta binafsi au serikali. Mtaweza kuwasaidia wakijiajiri wenyewe?
Achana na wazo kuwa watapata wapi mtaji.
Tufanye wanamitaji serikali imejiandaaje kuwalinda na kulinda mitaji Yao?

NINI CHAKUFANYA;

1. Serikali ipige Marufuku Wahitimu au Wasomi kujitolea. Adhabu Kali zichukuliwe kwa taasisi, mashirika na makampuni yanayochukua vijana wanaojitolea.

2. Serikali ichukue hatua Kali kwa makampuni, mashirika, taasisi zinazolipa Mishahara kinyume na kima kilichotolewa na Serikali.

3. Serikali ihakikishe mashirika, taasisi na makampuni yanatoa mikataba halali ya kisheria kwa Wasomi.

4. Vyama na Bodi za taaluma zipige Marufuku wanataaluma katika vyama na Bodi Zao kujitolea kwenye taasisi, makampuni au shirika.

5. Vyama na Bodi za taaluma zifungue Kesi kwa makampuni, mashirika na taasisi zinazofanya uonevu, utapeli, na dhulma kwa wanachama wao.

6. Serikali ianze utekelezaji wa Sera ya UVAMIZI wa NCHI zingine kwa kuandaa Mipango na mikakati katika Kusaidia watu wa nchi yetu na taifa letu.

7. Bidhaa zetu kama za Kilimo zisiwe na ku-bet. Liwepo soko la uhakika hasa Nje ya Nchi kwa bei itayosaidia vijana wetu.

8. Ipigwe Marufuku wananchi wa nchi jirani kuzurura zurura ndanindanj ya nchi kuchukua bidhaa za Kilimo. Yaani huko mashambani.
Yawepo Masoko ya nafaka ya kimataifa ambapo Raia wa kigeni akiingia ndani ya nchi ataenda kununua kwenye Masoko hayo.
Sio Mtu kutoka Kenya aingie Tanzania, asonge Mpaka vijijini ndanindani huko achukue bidhaa zetu kwa bei Sawa na Bure. Huo ni upumbavu.

Napendekeza; Ukanda wa Nyanda za juu Kusini (labda Songea) lijengwe soko kubwa la nafaka la kimataifa ambapo wageni wanachukua nafaka hapo.

9. Hati za kusafiri (Passport) kusiwe na Mlolongo Mrefu. Vijana wenye uhitaji wa kufunguka na kutanua uwanja wa utafutaji Nje ya Nchi wapewe waende. Wapate changamoto kwenye Visa lakini sio changamoto kwenye passport

10. Elimu ya Digital na mtandaoni zitolewe. Serikali ipunguze gharama za bando vijana wajiajiri mtandaoni

11. Serikali itoe Mikopo kwa Makundi ya vijana wenye kuonyesha uthubutu na Ubunifu.

Kwa mfano hao NETO, hakukuwa na sababu ya kusumbuana nao. Lilikuwa ni Jambo la kuwaambia kuwa ni kweli tuliwadanganya au pengine hatukuwa na Nia ya kuwadanganya kuhusu kusoma na kuwaajiri lakini mipango sio matumizi. Tumesomesha wengi na sasa uwezo wa kuajiri umekuwa mdogo.
Lakini mnaweza kuwasaidia kama watatengeneza vikundi vya vijana Wasomi wenye mawazo yanayofanana, wapewe Mkopo na serikali itawasimamia.

Ingawaje NETO Kuna MADAI Yao kadhaa wamepuyanga ikiwepo dai la kutokutaka Usaili.
Lakini hiyo haimaanishi tusiwachukulie kama watoto na vijana wetu.

Tusiangalie namna ya kuwakomoa au kuwakatisha tamaa. Bali tulichukulie Jambo hili positive.

Wasaidiwe.

Robert Heriel
Taikon Master
Kwa sasa Dar es salaam
Kuna wakati kumbe na wewe huwa unakuwa logical. Andiko lililoshiba madini. Andiko mujarabu lakini wachangiaji wachache, nadhani kwakuwa wengi wamezoea kukuona na kukutafsiri katika mkitadha wa akina Lucas Mwanshamba na Tlatlaa
 
Serikali imewasaidia kwa kumwaga ajira na wengine wapo wanafanya usaili! Sasa watu wanaleta masharti ya kuitaka serikali kusitisha usaili ..yani upewe kazi bila usaili ndio itakuwa msaada?
 
SERIKALI MNAJUKUMU LA KUWASAIDIA HAO VIJANA WA NETO NA WATANZANIA WOTE NA SIO KUWALETEA UKOROFI. TUSIWE KAMA WATU WASIO NA AKILI TUSIOJALI.

Anaandika, Robert Heriel
Mtibeli

Vijana Wasomi wote wanahaki zote kuitaka serikali iwaajiri. Hao NETO ni sehemu ya vijana hao.

Achana na kina Siye kina Taikon ambao tulisoma kwa mapenzi yetu. Yaani hata serikali isingelazimisha Sisi tungesoma tuu kwa Sababu tulikuwa tunapenda mambo ya kitaaluma, Elimu, maarifa, na ufahamu.

Lakini lipo kundi kubwa la vijana ambao kama sio kulazimishwa na kudanganywa, kutapeliwa kwa ahadi za Uongo kuwa mtu akisoma basi atapata Ajira nzuri na Kuishi maisha mazuri. Kwa kauli za hapa na pale kama Elimu ni ufunguo WA maisha na nyinginezo. Vijana hao wasingesoma Kabisa na Wala Wazazi wao wasingethubutu kuwapeleka shuleni.

Wapo wazazi kimakusudi kwa hiyari yao walikataa kupeleka watoto wao shule Miaka hiyo nasoma, lakini serikali iliwashinikiza kwa nguvu kuwa ni Amri wazazi wapeleke watoto wao shule. Basi ikawa hivyo.

Mbunge wa Kahama, Mhe. kishimba aliwahi alezea Jambo hili kwa uchungu Mkubwa.
Wazazi wameuza mashamba, Ng'ombe, na Mali nyingine wakijua wanawekeza kwa watoto wao kama walivyoambiwa na Mifumo ya serikali kuwa Elimu ni uwekezaji.
Matokeo yake watoto wamemaliza Shule, hakuna lolote la maana linaloendelea.
Wametapeliwa?
Wamedanganywa?

Vijana wamesota,
Vijana wamekesha usiku kucha kwa kile kiitwacho Elimu.
Vijana wamepoteza Muda wao mwingi.
Vijana wamepoteza pesa Zao za Kutosha.
Vijana wamebaki na Madeni ya Bodi ya Mikopo.
Vijana wamejikuta katika hasara karibu ya kila Kitu.

Leo vijana wanaishinikiza serikali iwaajiri kuna watu wanawaona ni wahalifu Kweli?

Sio ninyi mliowaambia wasome ili waajiriwe?
Najua mtawakana,
Kama mtawakana lakini Mtaala wa Elimu mliyokuwa mkiwapa unawaumbua.
Vijana wamefundishwa ili waje waajiriwe na sio kujiajiri.
Mtaala wa Elimu haupo kuandaa mtu kujiajiri isipokuwa kuajiriwa.

Mtu kasomea Udaktari au uhasibu anatafuta Ajira ya Udaktari mumuajiri mnamuambia sio lazima awe Daktari. Anaweza kujiajiri hata kuuza chips au bodaboda. Sasa kama ni hivyo kulikuwa na ulazima gani wa kulazimisha watu wasome na kupoteza Muda na Mali wakati Mbeleni uwekezaji huo unakuwa hauna maana.

Serikali imeshindwa kusimamia suala la ajira na HAKI za vijana wanaofanya Kazi.
Hata wakiajiriwa huko sekta binafsi wanalipwa pesa za ajabuajabu. Wanalipwa pesa kidunchu zisizoendana na elimu zao. Viongozi wenye dhamana wapo sio kwamba hawajui wapo Kimya.

Hivi Mwalimu wa degree analipwa Laki Moja unusu kweli na serikali IPO. KWELI?
Madaktari na Afisa tabibu wanalipwa mishahara ya mbuzi mee. Serikali ipo haifanyi chochote. KWELI?

Wakaguzi wa mashule, na hospitali wanafanya Kazi gani Mpaka vijana wanalipwa pesa zisizoendana na elimu zao.

Ati vijana wajitolee, hivi mnaakili sawasawa? Kwa nini hamna Roho ya KUJALI watu wenu?
Kwa nini mnapuuza vijana Maskini wa nchi yenu?

Yaani mzazi asomeshe mtoto wake ili aje ajitolee. KWELI?
Serikali, nilishasema pigeni Marufuku vijana kujitolea.
Mnawafanya vijana Watumwa kwenye nchi Yao wenyewe. KWELI?
Na hamjali! KWELI?

Kijana akiongea, mnamkamata na vikesi vya hapa na pale. KWELI?
Hiyo sio HAKI.
Wapendeni vijana wa nchi yenu.
Pendeni wale mnaowaongoza. Huo ndio uongozi. Huo ndio uzalendo.
Mnafurahi kuona vijana wakihangaika kwenye nchi Yao kana kwamba hakuna serikali. KWELI?
Nilishawaambia, tusipovamia tutavamiwa. Ona sasa! Tazama! Vijana Wasomi ati serikali haijui pakuwapeleka. Inashangaza!
Wanakuja wageni wanatamba mbele ya wenyeji. Mpo tuu!
Mnawaita wawekezaji. Sawa! Sheria za kulinda maslahi ya vijana wa Tanzania kwa hao wenyeji zinasemaje. Vijana kwenye viwanda wanalipwa pesa za Usukule, utumwa, hakuna anayejali.
Viongozi ninyi ndio Wazazi WA vijana wa taifa Hili.
Niliwahi andika kuwa, hatutaki viwanda vinavyogeuza vijana wetu kuwa Watumwa na misukule. Ni Bora tusiwe na kiwanda hata kimoja kuliko watoto wetu wenyewe tuliowazaa kuwageuza Watumwa na kuwatoa Kafara wawe mandondocha ya kuwanufaisha watu wengine.
Mnasema vijana wajiajiri kwenye Kilimo sijui kwenye vitu gani
Sio ninyi mliowaambia Wasome?
Ikiwa mliwaambiwa wasome mkawatelekeza Mnafikiri watawaamini mkiwambia wajiajiri ili muwatelekeze tena?
Wangapi wamejiajiri kwenye Kilimo lakini wameishia Kupata hasara na Kupata Magonjwa ya moyo baada ya Kilimo kuwapiga KO.
Kama mliwambia wasome na hamkujiandaa kuweka mazingira ya kuajiri iwe sekta binafsi au serikali. Mtaweza kuwasaidia wakijiajiri wenyewe?
Achana na wazo kuwa watapata wapi mtaji.
Tufanye wanamitaji serikali imejiandaaje kuwalinda na kulinda mitaji Yao?

NINI CHAKUFANYA;

1. Serikali ipige Marufuku Wahitimu au Wasomi kujitolea. Adhabu Kali zichukuliwe kwa taasisi, mashirika na makampuni yanayochukua vijana wanaojitolea.

2. Serikali ichukue hatua Kali kwa makampuni, mashirika, taasisi zinazolipa Mishahara kinyume na kima kilichotolewa na Serikali.

3. Serikali ihakikishe mashirika, taasisi na makampuni yanatoa mikataba halali ya kisheria kwa Wasomi.

4. Vyama na Bodi za taaluma zipige Marufuku wanataaluma katika vyama na Bodi Zao kujitolea kwenye taasisi, makampuni au shirika.

5. Vyama na Bodi za taaluma zifungue Kesi kwa makampuni, mashirika na taasisi zinazofanya uonevu, utapeli, na dhulma kwa wanachama wao.

6. Serikali ianze utekelezaji wa Sera ya UVAMIZI wa NCHI zingine kwa kuandaa Mipango na mikakati katika Kusaidia watu wa nchi yetu na taifa letu.

7. Bidhaa zetu kama za Kilimo zisiwe na ku-bet. Liwepo soko la uhakika hasa Nje ya Nchi kwa bei itayosaidia vijana wetu.

8. Ipigwe Marufuku wananchi wa nchi jirani kuzurura zurura ndanindanj ya nchi kuchukua bidhaa za Kilimo. Yaani huko mashambani.
Yawepo Masoko ya nafaka ya kimataifa ambapo Raia wa kigeni akiingia ndani ya nchi ataenda kununua kwenye Masoko hayo.
Sio Mtu kutoka Kenya aingie Tanzania, asonge Mpaka vijijini ndanindani huko achukue bidhaa zetu kwa bei Sawa na Bure. Huo ni upumbavu.

Napendekeza; Ukanda wa Nyanda za juu Kusini (labda Songea) lijengwe soko kubwa la nafaka la kimataifa ambapo wageni wanachukua nafaka hapo.

9. Hati za kusafiri (Passport) kusiwe na Mlolongo Mrefu. Vijana wenye uhitaji wa kufunguka na kutanua uwanja wa utafutaji Nje ya Nchi wapewe waende. Wapate changamoto kwenye Visa lakini sio changamoto kwenye passport

10. Elimu ya Digital na mtandaoni zitolewe. Serikali ipunguze gharama za bando vijana wajiajiri mtandaoni

11. Serikali itoe Mikopo kwa Makundi ya vijana wenye kuonyesha uthubutu na Ubunifu.

Kwa mfano hao NETO, hakukuwa na sababu ya kusumbuana nao. Lilikuwa ni Jambo la kuwaambia kuwa ni kweli tuliwadanganya au pengine hatukuwa na Nia ya kuwadanganya kuhusu kusoma na kuwaajiri lakini mipango sio matumizi. Tumesomesha wengi na sasa uwezo wa kuajiri umekuwa mdogo.
Lakini mnaweza kuwasaidia kama watatengeneza vikundi vya vijana Wasomi wenye mawazo yanayofanana, wapewe Mkopo na serikali itawasimamia.

Ingawaje NETO Kuna MADAI Yao kadhaa wamepuyanga ikiwepo dai la kutokutaka Usaili.
Lakini hiyo haimaanishi tusiwachukulie kama watoto na vijana wetu.

Tusiangalie namna ya kuwakomoa au kuwakatisha tamaa. Bali tulichukulie Jambo hili positive.

Wasaidiwe.

Robert Heriel
Taikon Master
Kwa sasa Dar es salaam
Safi sana lakini kwasasa chama dola wako busy na mchakato wa uchaguzi mnawakera sana japo mmelipua bomu muda mwafaka hata wasanii wanajipendekeza wanafahamu Ndiyo wakati wa mavuno, kikikiki
 
Mkoloni mweusi ni shida sana tu,tatizo la ajira ni la watoto wetu tu. Sio la viongozi wetu kwa wao wanaishi vema familia zao,mungu tuokoe na udhalimu huu
 
Mkuu ahsante sana kwa andiko. Umeandika kwa hisia sana, kiasi kwamba nikaanza kuhisi wewe ni NETO 😂😂.

Hoja tatu zimenigusa sana, kazi za viwandani, Kujitolea na wageni kuingia kwenye nchi yetu na wanafuata bidhaa shambani kabisa.

Nitaongezea kwenye hoja 2. Kazi za viwandani na Kujitolea kisha nami nitaongeza hoja ndogo kuhusu elimu yetu.

Nianze na KAZI ZA VIWANDANI. Hapa naandika kwa uzoefu wangu kabisa wa kufanya kazi viwanda viwili togauti kwa siku 3 mwaka 2016/17.
Nilipo hitimu shahada yangu ya elimu mwaka 2015, mwaka 2016 ndipo rasmi ajira zilisimamishwa kwa madai ya kutoa watumishi hewa. Kwa kauli ile mimi nikajua kabisa hakuna ajira tena, na ikawa kweli. Basi nikaamua kutoka nyumbani na kwenda kutafuta mtaji Dar es Salaam kwa kufanya kazi viwandani. Nilipofika Dar nilisugua ka wiki mbili bila kupata mchongo wowote huku nikiwa mzigo kwa rafiki yangu ambaye nilifahamiana naye Mwanza mwaka 2015. Baada ya muda ndipo kuna jamaa yangu nilisoma naye sekondari ya upili akaniambia kuna kazi kwenye kiwanda cha wachina Mkuranga, nikaona sasa huu ndo mchongo.
Nikamuuliza jamaa, akanambia natakiwa kuwa na godoro na kuwa pesa ya chumba, kwa bahati nzuri kuna dada mpangaji nyumbani kwao rafiki yangu ambapo alikuwa naishi alinipa godoro(nimepotezana naye, kama ataona uzi huu anidm maana stori anaijua) huu ulikuwa msaada mkubwa sana kwangu.
Nilisafiri kwenda Mkuranga, Dundani kwa Juma Mzee, chuma 3000 kwa mwezi (nyumba ya miti) hapo nilikuwa na washikaji zangu 2, mmoja alienda jeshi sasa yupo uhamiaji na mwingine sasa ni Mwalimu.
Kesho yake tukaanza kazi bwana, tukaingia saa 12 kamili jioni, tukapiga kazi usiku kucha, tunatoka asubuhi tunapewa 3800 getini 😂😂…
Kwa sauti nikasema huu ni “usenge bora ningebaki kuchunga ng’ombe nyumbani”
Kwa hari ile, nikashawishi wenzangu, tukaamua kurudi mjini Dar. Mimi Gongo la mboto na wenzangu Keko.
Baada ya muda tena tukaambiwa Buguruni kwa boss wa Tv kuna kazi kwenye kiwanda cha unga, nikaenda kama kawaida shift ya usiku. Mule ndani kuna kubeba mizigo kupakia kwenye magari au kupanda pumba store, mzigo mzigo kweli aisee, nilivyotoka asubuhi nikachukua 7000 na nikaapu kutorudi tena na kweli sikurudi.
A long story short, watanzania wanateswa sana kwenye hivyo viwanda, mazingira ya kazi mabaya sana, usalama hakuna. Ukiingia humo hupewi safety gear yoyote aisee ni wewe na Mungu wako.

Hoja ya pili, kwa asilimia kubwa vijana wanamaliza chuo elimu ya degree miaka 22 au zaidi. Mimi naweka “case study” miaka 24 au 25.
Kwa uhalisia kijana wa miaka 24 au 25 kulingana na familia zilizo nyingi anakuwa tayari ameingia kwenye majukumu na familia inamwangalia si unajua maisha yetu. Sasa kijitolea kwa umri huo sidhani kama ni vizuri, maana hapa ndipo utakuta vijana wanaanza kuiba ili wapate chochote.
Serikali iweke mkakati maalum wa wanafunzi kujitoleaa kulingana na taaluma zao wakiwa bado chuo na si wakimaliza chuo.

HOJA ZANGU
Kwanza, napinga vikali kwamba walimu nchi hii ni wengi ila nakubali kwamba serikali imeshindwa kuajiri walimu.
Mfano, kuna shule inaitwa Lyamahoro “M” ipo Bukoba vijijini ina walimu 5 tu na wanafunzi ni wengi sana hivyo shule inalazimika kupitisha michango kwa wazazi 1500 kila mwanafunzi ili kuwalipa walimu waliowaomba kuwasaidia kufundisha. Najua kuna shule nyingi tu zina walimu wachache na walimu wapo mtaani ila serikali haina uwezo wa kuajiri salimu si kwa sababu ni wengi ila serikali haina uwezo.

Hoja yangu ya pili, elimu yetu ni ndefu mnoo, tunasoma miaka mingi sana, mimi nimesoma miaka 16, hebu fikiria, miaka 16 bado upo shule tu, hapo sijaweka nursery.
Serikali ifute elimu ya sekondari ya pili (advance). Wanafunzi waandaliwe vizuri kidato cha 1-4 tayari kuangia vyuoni kulingana na maanaeo wanayoyapenda nakufanya vizuri.
Pili, masomo ni mengi sana sekondari nimesoma masomo 9, wengine wanasoma hadi masomo 11, yote hayo ya nini? Kuna mwanafunzi yeye anatamani kuwa mwasheria masomo kama Chemistry na Physics ya nini sasa, huku nikuonesha kuwa tunabahatisha na hatujui tunataka nini tukiwa shuleni ndiyo maana tunasoma masomo mengi ili mwisho wa siku uone wapi umefanya vizuri ndiko uende hata kama hupendi, huu ni ubabaishaji. Pia, kuwa na masomo machache kwa mfano, mwanafunzi anataka kuwa “civil engineer” akomae na PCM tangia form one, kisha na somo la ziada kama uraia, masomo manne tosha. Ukomae nayo kwa miaka 4 ukifauru aende kusoma civil engineer kulingana na level ya ufauru wake.

Hoja ya nyongeza, Tanzania kuna ugawanyaji mbaya na usio haki wa wafanyakazi. Nilivyokuwa chuo, project yangu ilikuwa na kichwa “The Problem of Unjust Distribution of Teacher in Tanzania
Niiandika project hii kwa uzoefu nilioupata kutokana kusafiri sana nchi hii. Mimi nimetembea hii Tanzania kwa 90 mikoa michache sana sijafika.
Niliona baadhi ya maeneo yakiwa duni sana na maisha magumu mnoo, na watumishi wanaishi maisha ya dhiki sana.
Kwenye maoni yangu, nilitoa mapendekezo kadhaa, moja wapo ni yaguatayo:
1. Serikali kuanzisha program maalumu za kuhakikisha maeneo yasiyopendwa kupata watumishi ambao wataajiriwa kwa mkataba maalumu. Kwa mfano kijana “fresh from colledge anapelekwa bush sana huko but kwa mshahara mzuri zaidi ya aliye kwenye sehemu kuna huduma zote za kijamii, apewa na accommodation kwa muda wote ambao atakuwa huko, na mkataba uwe walaa miaka 3, na akimaliza uruhusiwe kuhamia anapotaka.
2. Serikali kujenga nyumba za watumishi. Kujenga madarasa au hospitali bila nyumba za watumishi mimi naona kama hiyo shule au hospitali haija kamilika. Serikali kwa kutokujenga nyumba za watumishi kumefanya watumiashi maisha ya ajabu kiasi kwamba kudharauliwa na wananzengo, wakati huohuo kwenye mshahara wake wa TGTS D1 wenye makato rukuki alipe nabkodi ya sehemu anayoishi, huu si uungwana.

Mwisho, rai yangu kwa jamii. Jamii ichukue mtazamo mpya kuhusu elimu ya vijana wao, mipango ya serikali inachukua muda mrefu na muda mwingine inakuwa haieleweki.
Kwa mfano sasa mtaara mpya wanasema tunaingia kwenye elimu ya amali lakini wakati huohuo shule nyingi tu hazina matundu ya vyoo, hakuna maji je tutaweza kununua vifaa vya kujifunzia uandisi kama kisima na choo kimetushinda?

Hayo ni maoni yangu binafsi. Naomba kawasilisha.
 
Ongezea hapo kwenye ajira.. Wageni wasiajiriwe kwenye ajira zinazoweza kufanya na wazalendo.. Haiingii akilini unapokuta shule binafsi imejaza walimu toka Kenya na Uganda wakati kuna maelfu ya walimu wa kitanzania hawana kazi.. Kwani huko kwao wapo watanzania walioajirira huko..??
 
Ongezea hapo kwenye ajira.. Wageni wasiajiriwe kwenye ajira zinazoweza kufanya na wazalendo.. Haiingii akilini unapokuta shule binafsi imejaza walimu toka Kenya na Uganda wakati kuna maelfu ya walimu wa kitanzania hawana kazi.. Kwani huko kwao wapo watanzania walioajirira huko..??

Usimamizi ndio changamoto
 
Mkuu ahsante sana kwa andiko. Umeandika kwa hisia sana, kiasi kwamba nikaanza kuhisi wewe ni NETO 😂😂.

Hoja tatu zimenigusa sana, kazi za viwandani, Kujitolea na wageni kuingia kwenye nchi yetu na wanafuata bidhaa shambani kabisa.

Nitaongezea kwenye hoja 2. Kazi za viwandani na Kujitolea kisha nami nitaongeza hoja ndogo kuhusu elimu yetu.

Nianze na KAZI ZA VIWANDANI. Hapa naandika kwa uzoefu wangu kabisa wa kufanya kazi viwanda viwili togauti kwa siku 3 mwaka 2016/17.
Nilipo hitimu shahada yangu ya elimu mwaka 2015, mwaka 2016 ndipo rasmi ajira zilisimamishwa kwa madai ya kutoa watumishi hewa. Kwa kauli ile mimi nikajua kabisa hakuna ajira tena, na ikawa kweli. Basi nikaamua kutoka nyumbani na kwenda kutafuta mtaji Dar es Salaam kwa kufanya kazi viwandani. Nilipofika Dar nilisugua ka wiki mbili bila kupata mchongo wowote huku nikiwa mzigo kwa rafiki yangu ambaye nilifahamiana naye Mwanza mwaka 2015. Baada ya muda ndipo kuna jamaa yangu nilisoma naye sekondari ya upili akaniambia kuna kazi kwenye kiwanda cha wachina Mkuranga, nikaona sasa huu ndo mchongo.
Nikamuuliza jamaa, akanambia natakiwa kuwa na godoro na kuwa pesa ya chumba, kwa bahati nzuri kuna dada mpangaji nyumbani kwao rafiki yangu ambapo alikuwa naishi alinipa godoro(nimepotezana naye, kama ataona uzi huu anidm maana stori anaijua) huu ulikuwa msaada mkubwa sana kwangu.
Nilisafiri kwenda Mkuranga, Dundani kwa Juma Mzee, chuma 3000 kwa mwezi (nyumba ya miti) hapo nilikuwa na washikaji zangu 2, mmoja alienda jeshi sasa yupo uhamiaji na mwingine sasa ni Mwalimu.
Kesho yake tukaanza kazi bwana, tukaingia saa 12 kamili jioni, tukapiga kazi usiku kucha, tunatoka asubuhi tunapewa 3800 getini 😂😂…
Kwa sauti nikasema huu ni “usenge bora ningebaki kuchunga ng’ombe nyumbani”
Kwa hari ile, nikashawishi wenzangu, tukaamua kurudi mjini Dar. Mimi Gongo la mboto na wenzangu Keko.
Baada ya muda tena tukaambiwa Buguruni kwa boss wa Tv kuna kazi kwenye kiwanda cha unga, nikaenda kama kawaida shift ya usiku. Mule ndani kuna kubeba mizigo kupakia kwenye magari au kupanda pumba store, mzigo mzigo kweli aisee, nilivyotoka asubuhi nikachukua 7000 na nikaapu kutorudi tena na kweli sikurudi.
A long story short, watanzania wanateswa sana kwenye hivyo viwanda, mazingira ya kazi mabaya sana, usalama hakuna. Ukiingia humo hupewi safety gear yoyote aisee ni wewe na Mungu wako.

Hoja ya pili, kwa asilimia kubwa vijana wanamaliza chuo elimu ya degree miaka 22 au zaidi. Mimi naweka “case study” miaka 24 au 25.
Kwa uhalisia kijana wa miaka 24 au 25 kulingana na familia zilizo nyingi anakuwa tayari ameingia kwenye majukumu na familia inamwangalia si unajua maisha yetu. Sasa kijitolea kwa umri huo sidhani kama ni vizuri, maana hapa ndipo utakuta vijana wanaanza kuiba ili wapate chochote.
Serikali iweke mkakati maalum wa wanafunzi kujitoleaa kulingana na taaluma zao wakiwa bado chuo na si wakimaliza chuo.

HOJA ZANGU
Kwanza, napinga vikali kwamba walimu nchi hii ni wengi ila nakubali kwamba serikali imeshindwa kuajiri walimu.
Mfano, kuna shule inaitwa Lyamahoro “M” ipo Bukoba vijijini ina walimu 5 tu na wanafunzi ni wengi sana hivyo shule inalazimika kupitisha michango kwa wazazi 1500 kila mwanafunzi ili kuwalipa walimu waliowaomba kuwasaidia kufundisha. Najua kuna shule nyingi tu zina walimu wachache na walimu wapo mtaani ila serikali haina uwezo wa kuajiri salimu si kwa sababu ni wengi ila serikali haina uwezo.

Hoja yangu ya pili, elimu yetu ni ndefu mnoo, tunasoma miaka mingi sana, mimi nimesoma miaka 16, hebu fikiria, miaka 16 bado upo shule tu, hapo sijaweka nursery.
Serikali ifute elimu ya sekondari ya pili (advance). Wanafunzi waandaliwe vizuri kidato cha 1-4 tayari kuangia vyuoni kulingana na maanaeo wanayoyapenda nakufanya vizuri.
Pili, masomo ni mengi sana sekondari nimesoma masomo 9, wengine wanasoma hadi masomo 11, yote hayo ya nini? Kuna mwanafunzi yeye anatamani kuwa mwasheria masomo kama Chemistry na Physics ya nini sasa, huku nikuonesha kuwa tunabahatisha na hatujui tunataka nini tukiwa shuleni ndiyo maana tunasoma masomo mengi ili mwisho wa siku uone wapi umefanya vizuri ndiko uende hata kama hupendi, huu ni ubabaishaji. Pia, kuwa na masomo machache kwa mfano, mwanafunzi anataka kuwa “civil engineer” akomae na PCM tangia form one, kisha na somo la ziada kama uraia, masomo manne tosha. Ukomae nayo kwa miaka 4 ukifauru aende kusoma civil engineer kulingana na level ya ufauru wake.

Hoja ya nyongeza, Tanzania kuna ugawanyaji mbaya na usio haki wa wafanyakazi. Nilivyokuwa chuo, project yangu ilikuwa na kichwa “The Problem of Unjust Distribution of Teacher in Tanzania
Niiandika project hii kwa uzoefu nilioupata kutokana kusafiri sana nchi hii. Mimi nimetembea hii Tanzania kwa 90 mikoa michache sana sijafika.
Niliona baadhi ya maeneo yakiwa duni sana na maisha magumu mnoo, na watumishi wanaishi maisha ya dhiki sana.
Kwenye maoni yangu, nilitoa mapendekezo kadhaa, moja wapo ni yaguatayo:
1. Serikali kuanzisha program maalumu za kuhakikisha maeneo yasiyopendwa kupata watumishi ambao wataajiriwa kwa mkataba maalumu. Kwa mfano kijana “fresh from colledge anapelekwa bush sana huko but kwa mshahara mzuri zaidi ya aliye kwenye sehemu kuna huduma zote za kijamii, apewa na accommodation kwa muda wote ambao atakuwa huko, na mkataba uwe walaa miaka 3, na akimaliza uruhusiwe kuhamia anapotaka.
2. Serikali kujenga nyumba za watumishi. Kujenga madarasa au hospitali bila nyumba za watumishi mimi naona kama hiyo shule au hospitali haija kamilika. Serikali kwa kutokujenga nyumba za watumishi kumefanya watumiashi maisha ya ajabu kiasi kwamba kudharauliwa na wananzengo, wakati huohuo kwenye mshahara wake wa TGTS D1 wenye makato rukuki alipe nabkodi ya sehemu anayoishi, huu si uungwana.

Mwisho, rai yangu kwa jamii. Jamii ichukue mtazamo mpya kuhusu elimu ya vijana wao, mipango ya serikali inachukua muda mrefu na muda mwingine inakuwa haieleweki.
Kwa mfano sasa mtaara mpya wanasema tunaingia kwenye elimu ya amali lakini wakati huohuo shule nyingi tu hazina matundu ya vyoo, hakuna maji je tutaweza kununua vifaa vya kujifunzia uandisi kama kisima na choo kimetushinda?

Hayo ni maoni yangu binafsi. Naomba kawasilisha.

Umetoa hoja nzuri Sana
 
SERIKALI MNAJUKUMU LA KUWASAIDIA HAO VIJANA WA NETO NA WATANZANIA WOTE NA SIO KUWALETEA UKOROFI. TUSIWE KAMA WATU WASIO NA AKILI TUSIOJALI.

Anaandika, Robert Heriel
Mtibeli

Vijana Wasomi wote wanahaki zote kuitaka serikali iwaajiri. Hao NETO ni sehemu ya vijana hao.

Achana na kina Siye kina Taikon ambao tulisoma kwa mapenzi yetu. Yaani hata serikali isingelazimisha Sisi tungesoma tuu kwa Sababu tulikuwa tunapenda mambo ya kitaaluma, Elimu, maarifa, na ufahamu.

Lakini lipo kundi kubwa la vijana ambao kama sio kulazimishwa na kudanganywa, kutapeliwa kwa ahadi za Uongo kuwa mtu akisoma basi atapata Ajira nzuri na Kuishi maisha mazuri. Kwa kauli za hapa na pale kama Elimu ni ufunguo WA maisha na nyinginezo. Vijana hao wasingesoma Kabisa na Wala Wazazi wao wasingethubutu kuwapeleka shuleni.

Wapo wazazi kimakusudi kwa hiyari yao walikataa kupeleka watoto wao shule Miaka hiyo nasoma, lakini serikali iliwashinikiza kwa nguvu kuwa ni Amri wazazi wapeleke watoto wao shule. Basi ikawa hivyo.

Mbunge wa Kahama, Mhe. kishimba aliwahi alezea Jambo hili kwa uchungu Mkubwa.
Wazazi wameuza mashamba, Ng'ombe, na Mali nyingine wakijua wanawekeza kwa watoto wao kama walivyoambiwa na Mifumo ya serikali kuwa Elimu ni uwekezaji.
Matokeo yake watoto wamemaliza Shule, hakuna lolote la maana linaloendelea.
Wametapeliwa?
Wamedanganywa?

Vijana wamesota,
Vijana wamekesha usiku kucha kwa kile kiitwacho Elimu.
Vijana wamepoteza Muda wao mwingi.
Vijana wamepoteza pesa Zao za Kutosha.
Vijana wamebaki na Madeni ya Bodi ya Mikopo.
Vijana wamejikuta katika hasara karibu ya kila Kitu.

Leo vijana wanaishinikiza serikali iwaajiri kuna watu wanawaona ni wahalifu Kweli?

Sio ninyi mliowaambia wasome ili waajiriwe?
Najua mtawakana,
Kama mtawakana lakini Mtaala wa Elimu mliyokuwa mkiwapa unawaumbua.
Vijana wamefundishwa ili waje waajiriwe na sio kujiajiri.
Mtaala wa Elimu haupo kuandaa mtu kujiajiri isipokuwa kuajiriwa.

Mtu kasomea Udaktari au uhasibu anatafuta Ajira ya Udaktari mumuajiri mnamuambia sio lazima awe Daktari. Anaweza kujiajiri hata kuuza chips au bodaboda. Sasa kama ni hivyo kulikuwa na ulazima gani wa kulazimisha watu wasome na kupoteza Muda na Mali wakati Mbeleni uwekezaji huo unakuwa hauna maana.

Serikali imeshindwa kusimamia suala la ajira na HAKI za vijana wanaofanya Kazi.
Hata wakiajiriwa huko sekta binafsi wanalipwa pesa za ajabuajabu. Wanalipwa pesa kidunchu zisizoendana na elimu zao. Viongozi wenye dhamana wapo sio kwamba hawajui wapo Kimya.

Hivi Mwalimu wa degree analipwa Laki Moja unusu kweli na serikali IPO. KWELI?
Madaktari na Afisa tabibu wanalipwa mishahara ya mbuzi mee. Serikali ipo haifanyi chochote. KWELI?

Wakaguzi wa mashule, na hospitali wanafanya Kazi gani Mpaka vijana wanalipwa pesa zisizoendana na elimu zao.

Ati vijana wajitolee, hivi mnaakili sawasawa? Kwa nini hamna Roho ya KUJALI watu wenu?
Kwa nini mnapuuza vijana Maskini wa nchi yenu?

Yaani mzazi asomeshe mtoto wake ili aje ajitolee. KWELI?
Serikali, nilishasema pigeni Marufuku vijana kujitolea.
Mnawafanya vijana Watumwa kwenye nchi Yao wenyewe. KWELI?
Na hamjali! KWELI?

Kijana akiongea, mnamkamata na vikesi vya hapa na pale. KWELI?
Hiyo sio HAKI.
Wapendeni vijana wa nchi yenu.
Pendeni wale mnaowaongoza. Huo ndio uongozi. Huo ndio uzalendo.
Mnafurahi kuona vijana wakihangaika kwenye nchi Yao kana kwamba hakuna serikali. KWELI?
Nilishawaambia, tusipovamia tutavamiwa. Ona sasa! Tazama! Vijana Wasomi ati serikali haijui pakuwapeleka. Inashangaza!
Wanakuja wageni wanatamba mbele ya wenyeji. Mpo tuu!
Mnawaita wawekezaji. Sawa! Sheria za kulinda maslahi ya vijana wa Tanzania kwa hao wenyeji zinasemaje. Vijana kwenye viwanda wanalipwa pesa za Usukule, utumwa, hakuna anayejali.
Viongozi ninyi ndio Wazazi WA vijana wa taifa Hili.
Niliwahi andika kuwa, hatutaki viwanda vinavyogeuza vijana wetu kuwa Watumwa na misukule. Ni Bora tusiwe na kiwanda hata kimoja kuliko watoto wetu wenyewe tuliowazaa kuwageuza Watumwa na kuwatoa Kafara wawe mandondocha ya kuwanufaisha watu wengine.
Mnasema vijana wajiajiri kwenye Kilimo sijui kwenye vitu gani
Sio ninyi mliowaambia Wasome?
Ikiwa mliwaambiwa wasome mkawatelekeza Mnafikiri watawaamini mkiwambia wajiajiri ili muwatelekeze tena?
Wangapi wamejiajiri kwenye Kilimo lakini wameishia Kupata hasara na Kupata Magonjwa ya moyo baada ya Kilimo kuwapiga KO.
Kama mliwambia wasome na hamkujiandaa kuweka mazingira ya kuajiri iwe sekta binafsi au serikali. Mtaweza kuwasaidia wakijiajiri wenyewe?
Achana na wazo kuwa watapata wapi mtaji.
Tufanye wanamitaji serikali imejiandaaje kuwalinda na kulinda mitaji Yao?

NINI CHAKUFANYA;

1. Serikali ipige Marufuku Wahitimu au Wasomi kujitolea. Adhabu Kali zichukuliwe kwa taasisi, mashirika na makampuni yanayochukua vijana wanaojitolea.

2. Serikali ichukue hatua Kali kwa makampuni, mashirika, taasisi zinazolipa Mishahara kinyume na kima kilichotolewa na Serikali.

3. Serikali ihakikishe mashirika, taasisi na makampuni yanatoa mikataba halali ya kisheria kwa Wasomi.

4. Vyama na Bodi za taaluma zipige Marufuku wanataaluma katika vyama na Bodi Zao kujitolea kwenye taasisi, makampuni au shirika.

5. Vyama na Bodi za taaluma zifungue Kesi kwa makampuni, mashirika na taasisi zinazofanya uonevu, utapeli, na dhulma kwa wanachama wao.

6. Serikali ianze utekelezaji wa Sera ya UVAMIZI wa NCHI zingine kwa kuandaa Mipango na mikakati katika Kusaidia watu wa nchi yetu na taifa letu.

7. Bidhaa zetu kama za Kilimo zisiwe na ku-bet. Liwepo soko la uhakika hasa Nje ya Nchi kwa bei itayosaidia vijana wetu.

8. Ipigwe Marufuku wananchi wa nchi jirani kuzurura zurura ndanindanj ya nchi kuchukua bidhaa za Kilimo. Yaani huko mashambani.
Yawepo Masoko ya nafaka ya kimataifa ambapo Raia wa kigeni akiingia ndani ya nchi ataenda kununua kwenye Masoko hayo.
Sio Mtu kutoka Kenya aingie Tanzania, asonge Mpaka vijijini ndanindani huko achukue bidhaa zetu kwa bei Sawa na Bure. Huo ni upumbavu.

Napendekeza; Ukanda wa Nyanda za juu Kusini (labda Songea) lijengwe soko kubwa la nafaka la kimataifa ambapo wageni wanachukua nafaka hapo.

9. Hati za kusafiri (Passport) kusiwe na Mlolongo Mrefu. Vijana wenye uhitaji wa kufunguka na kutanua uwanja wa utafutaji Nje ya Nchi wapewe waende. Wapate changamoto kwenye Visa lakini sio changamoto kwenye passport

10. Elimu ya Digital na mtandaoni zitolewe. Serikali ipunguze gharama za bando vijana wajiajiri mtandaoni

11. Serikali itoe Mikopo kwa Makundi ya vijana wenye kuonyesha uthubutu na Ubunifu.

Kwa mfano hao NETO, hakukuwa na sababu ya kusumbuana nao. Lilikuwa ni Jambo la kuwaambia kuwa ni kweli tuliwadanganya au pengine hatukuwa na Nia ya kuwadanganya kuhusu kusoma na kuwaajiri lakini mipango sio matumizi. Tumesomesha wengi na sasa uwezo wa kuajiri umekuwa mdogo.
Lakini mnaweza kuwasaidia kama watatengeneza vikundi vya vijana Wasomi wenye mawazo yanayofanana, wapewe Mkopo na serikali itawasimamia.

Ingawaje NETO Kuna MADAI Yao kadhaa wamepuyanga ikiwepo dai la kutokutaka Usaili.
Lakini hiyo haimaanishi tusiwachukulie kama watoto na vijana wetu.

Tusiangalie namna ya kuwakomoa au kuwakatisha tamaa. Bali tulichukulie Jambo hili positive.

Wasaidiwe.

Robert Heriel
Taikon Master
Kwa sasa Dar es salaam
Safi sana, naomba pointi namba 7 na 8 umtag Rais, Waziri mkuu, waziri wa kilimo, waziri wa uwekezaji na Mkurugenzi wa kituo cha uwekezaji.
 
Hiyo namba 7 kuna ubinafsi mkubwa unafanyika na serikali wala haiweki nguvu kwenye hilo

Ova
 
SERIKALI MNAJUKUMU LA KUWASAIDIA HAO VIJANA WA NETO NA WATANZANIA WOTE NA SIO KUWALETEA UKOROFI. TUSIWE KAMA WATU WASIO NA AKILI TUSIOJALI.

Anaandika, Robert Heriel
Mtibeli

Vijana Wasomi wote wanahaki zote kuitaka serikali iwaajiri. Hao NETO ni sehemu ya vijana hao.

Achana na kina Siye kina Taikon ambao tulisoma kwa mapenzi yetu. Yaani hata serikali isingelazimisha Sisi tungesoma tuu kwa Sababu tulikuwa tunapenda mambo ya kitaaluma, Elimu, maarifa, na ufahamu.

Lakini lipo kundi kubwa la vijana ambao kama sio kulazimishwa na kudanganywa, kutapeliwa kwa ahadi za Uongo kuwa mtu akisoma basi atapata Ajira nzuri na Kuishi maisha mazuri. Kwa kauli za hapa na pale kama Elimu ni ufunguo WA maisha na nyinginezo. Vijana hao wasingesoma Kabisa na Wala Wazazi wao wasingethubutu kuwapeleka shuleni.

Wapo wazazi kimakusudi kwa hiyari yao walikataa kupeleka watoto wao shule Miaka hiyo nasoma, lakini serikali iliwashinikiza kwa nguvu kuwa ni Amri wazazi wapeleke watoto wao shule. Basi ikawa hivyo.

Mbunge wa Kahama, Mhe. kishimba aliwahi alezea Jambo hili kwa uchungu Mkubwa.
Wazazi wameuza mashamba, Ng'ombe, na Mali nyingine wakijua wanawekeza kwa watoto wao kama walivyoambiwa na Mifumo ya serikali kuwa Elimu ni uwekezaji.
Matokeo yake watoto wamemaliza Shule, hakuna lolote la maana linaloendelea.
Wametapeliwa?
Wamedanganywa?

Vijana wamesota,
Vijana wamekesha usiku kucha kwa kile kiitwacho Elimu.
Vijana wamepoteza Muda wao mwingi.
Vijana wamepoteza pesa Zao za Kutosha.
Vijana wamebaki na Madeni ya Bodi ya Mikopo.
Vijana wamejikuta katika hasara karibu ya kila Kitu.

Leo vijana wanaishinikiza serikali iwaajiri kuna watu wanawaona ni wahalifu Kweli?

Sio ninyi mliowaambia wasome ili waajiriwe?
Najua mtawakana,
Kama mtawakana lakini Mtaala wa Elimu mliyokuwa mkiwapa unawaumbua.
Vijana wamefundishwa ili waje waajiriwe na sio kujiajiri.
Mtaala wa Elimu haupo kuandaa mtu kujiajiri isipokuwa kuajiriwa.

Mtu kasomea Udaktari au uhasibu anatafuta Ajira ya Udaktari mumuajiri mnamuambia sio lazima awe Daktari. Anaweza kujiajiri hata kuuza chips au bodaboda. Sasa kama ni hivyo kulikuwa na ulazima gani wa kulazimisha watu wasome na kupoteza Muda na Mali wakati Mbeleni uwekezaji huo unakuwa hauna maana.

Serikali imeshindwa kusimamia suala la ajira na HAKI za vijana wanaofanya Kazi.
Hata wakiajiriwa huko sekta binafsi wanalipwa pesa za ajabuajabu. Wanalipwa pesa kidunchu zisizoendana na elimu zao. Viongozi wenye dhamana wapo sio kwamba hawajui wapo Kimya.

Hivi Mwalimu wa degree analipwa Laki Moja unusu kweli na serikali IPO. KWELI?
Madaktari na Afisa tabibu wanalipwa mishahara ya mbuzi mee. Serikali ipo haifanyi chochote. KWELI?

Wakaguzi wa mashule, na hospitali wanafanya Kazi gani Mpaka vijana wanalipwa pesa zisizoendana na elimu zao.

Ati vijana wajitolee, hivi mnaakili sawasawa? Kwa nini hamna Roho ya KUJALI watu wenu?
Kwa nini mnapuuza vijana Maskini wa nchi yenu?

Yaani mzazi asomeshe mtoto wake ili aje ajitolee. KWELI?
Serikali, nilishasema pigeni Marufuku vijana kujitolea.
Mnawafanya vijana Watumwa kwenye nchi Yao wenyewe. KWELI?
Na hamjali! KWELI?

Kijana akiongea, mnamkamata na vikesi vya hapa na pale. KWELI?
Hiyo sio HAKI.
Wapendeni vijana wa nchi yenu.
Pendeni wale mnaowaongoza. Huo ndio uongozi. Huo ndio uzalendo.
Mnafurahi kuona vijana wakihangaika kwenye nchi Yao kana kwamba hakuna serikali. KWELI?
Nilishawaambia, tusipovamia tutavamiwa. Ona sasa! Tazama! Vijana Wasomi ati serikali haijui pakuwapeleka. Inashangaza!
Wanakuja wageni wanatamba mbele ya wenyeji. Mpo tuu!
Mnawaita wawekezaji. Sawa! Sheria za kulinda maslahi ya vijana wa Tanzania kwa hao wenyeji zinasemaje. Vijana kwenye viwanda wanalipwa pesa za Usukule, utumwa, hakuna anayejali.
Viongozi ninyi ndio Wazazi WA vijana wa taifa Hili.
Niliwahi andika kuwa, hatutaki viwanda vinavyogeuza vijana wetu kuwa Watumwa na misukule. Ni Bora tusiwe na kiwanda hata kimoja kuliko watoto wetu wenyewe tuliowazaa kuwageuza Watumwa na kuwatoa Kafara wawe mandondocha ya kuwanufaisha watu wengine.
Mnasema vijana wajiajiri kwenye Kilimo sijui kwenye vitu gani
Sio ninyi mliowaambia Wasome?
Ikiwa mliwaambiwa wasome mkawatelekeza Mnafikiri watawaamini mkiwambia wajiajiri ili muwatelekeze tena?
Wangapi wamejiajiri kwenye Kilimo lakini wameishia Kupata hasara na Kupata Magonjwa ya moyo baada ya Kilimo kuwapiga KO.
Kama mliwambia wasome na hamkujiandaa kuweka mazingira ya kuajiri iwe sekta binafsi au serikali. Mtaweza kuwasaidia wakijiajiri wenyewe?
Achana na wazo kuwa watapata wapi mtaji.
Tufanye wanamitaji serikali imejiandaaje kuwalinda na kulinda mitaji Yao?

NINI CHAKUFANYA;

1. Serikali ipige Marufuku Wahitimu au Wasomi kujitolea. Adhabu Kali zichukuliwe kwa taasisi, mashirika na makampuni yanayochukua vijana wanaojitolea.

2. Serikali ichukue hatua Kali kwa makampuni, mashirika, taasisi zinazolipa Mishahara kinyume na kima kilichotolewa na Serikali.

3. Serikali ihakikishe mashirika, taasisi na makampuni yanatoa mikataba halali ya kisheria kwa Wasomi.

4. Vyama na Bodi za taaluma zipige Marufuku wanataaluma katika vyama na Bodi Zao kujitolea kwenye taasisi, makampuni au shirika.

5. Vyama na Bodi za taaluma zifungue Kesi kwa makampuni, mashirika na taasisi zinazofanya uonevu, utapeli, na dhulma kwa wanachama wao.

6. Serikali ianze utekelezaji wa Sera ya UVAMIZI wa NCHI zingine kwa kuandaa Mipango na mikakati katika Kusaidia watu wa nchi yetu na taifa letu.

7. Bidhaa zetu kama za Kilimo zisiwe na ku-bet. Liwepo soko la uhakika hasa Nje ya Nchi kwa bei itayosaidia vijana wetu.

8. Ipigwe Marufuku wananchi wa nchi jirani kuzurura zurura ndanindanj ya nchi kuchukua bidhaa za Kilimo. Yaani huko mashambani.
Yawepo Masoko ya nafaka ya kimataifa ambapo Raia wa kigeni akiingia ndani ya nchi ataenda kununua kwenye Masoko hayo.
Sio Mtu kutoka Kenya aingie Tanzania, asonge Mpaka vijijini ndanindani huko achukue bidhaa zetu kwa bei Sawa na Bure. Huo ni upumbavu.

Napendekeza; Ukanda wa Nyanda za juu Kusini (labda Songea) lijengwe soko kubwa la nafaka la kimataifa ambapo wageni wanachukua nafaka hapo.

9. Hati za kusafiri (Passport) kusiwe na Mlolongo Mrefu. Vijana wenye uhitaji wa kufunguka na kutanua uwanja wa utafutaji Nje ya Nchi wapewe waende. Wapate changamoto kwenye Visa lakini sio changamoto kwenye passport

10. Elimu ya Digital na mtandaoni zitolewe. Serikali ipunguze gharama za bando vijana wajiajiri mtandaoni

11. Serikali itoe Mikopo kwa Makundi ya vijana wenye kuonyesha uthubutu na Ubunifu.

Kwa mfano hao NETO, hakukuwa na sababu ya kusumbuana nao. Lilikuwa ni Jambo la kuwaambia kuwa ni kweli tuliwadanganya au pengine hatukuwa na Nia ya kuwadanganya kuhusu kusoma na kuwaajiri lakini mipango sio matumizi. Tumesomesha wengi na sasa uwezo wa kuajiri umekuwa mdogo.
Lakini mnaweza kuwasaidia kama watatengeneza vikundi vya vijana Wasomi wenye mawazo yanayofanana, wapewe Mkopo na serikali itawasimamia.

Ingawaje NETO Kuna MADAI Yao kadhaa wamepuyanga ikiwepo dai la kutokutaka Usaili.
Lakini hiyo haimaanishi tusiwachukulie kama watoto na vijana wetu.

Tusiangalie namna ya kuwakomoa au kuwakatisha tamaa. Bali tulichukulie Jambo hili positive.

Wasaidiwe.

Robert Heriel
Taikon Master
Kwa sasa Dar es salaam
NETO yenyewe fake. Kalaghabaho.

Subiri utakapoona wanaandamana na sale za mboga mboga wakimshukuru Mama na kumchangia Pesa ya kuchukua form.😀😀
 
9. Hati za kusafiri (Passport) kusiwe na Mlolongo Mrefu. Vijana wenye uhitaji wa kufunguka na kutanua uwanja wa utafutaji Nje ya Nchi wapewe waende. Wapate changamoto kwenye Visa lakini sio changamoto kwenye passport
Umegusia jambo muhimu sana.
Kongole mkuu.
Serikali ikusikilize.
 
Back
Top Bottom