Serikali ichukue hatua dhidi ya viongozi wa Serikali waliochukua viwanja Chato ili wavijenge, baada ya Magufuli kufariki, wamevitelekeza

chiembe

JF-Expert Member
May 16, 2015
13,693
23,728
Halmashauri ya Wilaya ya Chato, wakati Joseph Pombe Magufuli akiwa Rais, waligawa maelfu ya viwanja kwa viongozi wakuu wa Serikali, watumishi wa Umma, binafsi, na wafanyabiashara.

Lakini tangu Magufuli afariki, wamevitelekeza, havijajengwa, na hata hawavitembelei. Yamekuwa mapori makubwa yanayoweza kulisha makundi hata 100 ya tembo.

Baadhi walioanza kujenga gesti na hoteli kwa ajili ya wageni wanaokuja kumuona Magufuli, nao wameacha magofu na kutokomea kusikojulikana.

Naomba Serikali iingilie kati. Wakati wa Magufuli viwanja vilipanda bei vikawa havishikiki, lakini sasa hivi, mtu anamtafuta wa kumuuzia hampati.
 
Halmashauri ya Wilaya ya Chato, wakati JPM akiwa Rais, waligawa maelfu ya viwanja kwa viongozi wakuu wa serikali, watumishi wa umma, binafsi, na wafanyabiashara.

Lakini tangu JPM afariki, wamevitelekeza, havijajengwa, na hata hawavitembelei. Yamekuwa mapori makubwa yanayoweza kulisha makundi hata 100 ya tembo.

Baadhi walioanza kujenga gesti na hoteli kwa ajili ya wageni wanaokuja kumuona muheshimiwa, nao wameacha magofu na kutokomea kusikojulikana.

Naomba serikali iingilie kati. Wakati wa JPM viwanja vilipanda bei vikawa havishikiki, lakini sasa hivi, mtu anamtafuta wa kumuuzia hampati
Hili liwe fundisho kwa Mamluki wengine na Chawa kwamba hakuna Rais wa milele
 
We jamaa ni mnaa sana. Hapa unataka tu Elitwege aje aseme neno

Pia mshauri sana bi mdashi wa Kizimkazi. Mwambie siku hazidumu. Hata hiyo academy ya sport itakuwa magofu siku akiondoka maana hela za kuimaintain hazitakuwepo
Zanzibar ni fursa, training za timu dunia nzima zitafanyika hapo
 
Madikteta wakifa na miradi ya hovyo hufa nao.Nenda kijijini Gbadolite alijenga hadi uwanja wa kutua Concord,leo hata popo wamegoma kuishi iliyokuwa inaitwa Paradise in the Jungle

Nenda Ivory Coast kuna mjinga mmoja alijenga kanisa kubwa mara tatu yà St Peters Basilica huko Youmossoukro.Kanisa lenye uwezo wa kubeba waumini elfu 18 leo hata jumuia haziingii humo!

Haya tuambieni CRDB,mataa ya Chato, airport na national parks za mchongo viko wapi? Hivyo viwanja vya Chato wananchi wavichukue TU,sasa hivi machawa wote milango yote ya fahamu Iko Kizimkazi!
 
Ingekuwa ndani ya Tanzania , safi tu.

Kuliko wanaotorosha na kujenga huko nje. Wengine hadi wanajenga Majengo ya balozi huko nje. Hatari sana.
 
Angekuwapo Hadi Sasa tungekuwa tumepiga hatua kubwa kimaendeleo kuliko huyu bibi wa mwana kwerekwe ambaye ameturudisha nyuma kimaendeleo ambapo Kuja kufikika Tena alipotuachia magufuli kwenye uchumi wa kati itatuchukua miaka sabini mbele.huyu bibi hakufaa kabisa kurithi hii mikoba
 
Kavichukue wewe
Hizo guest houses kaziendeleze .
Chukua bure
Kopa pesa kamalizie ujenzi. Chumba cha guest house huko kwasasa ni buku 2 kwa siku
 
Halmashauri ya Wilaya ya Chato, wakati Joseph Pombe Magufuli akiwa Rais, waligawa maelfu ya viwanja kwa viongozi wakuu wa Serikali, watumishi wa Umma, binafsi, na wafanyabiashara.

Lakini tangu Magufuli afariki, wamevitelekeza, havijajengwa, na hata hawavitembelei. Yamekuwa mapori makubwa yanayoweza kulisha makundi hata 100 ya tembo.

Baadhi walioanza kujenga gesti na hoteli kwa ajili ya wageni wanaokuja kumuona Magufuli, nao wameacha magofu na kutokomea kusikojulikana.

Naomba Serikali iingilie kati. Wakati wa Magufuli viwanja vilipanda bei vikawa havishikiki, lakini sasa hivi, mtu anamtafuta wa kumuuzia hampati.
Viongozi gani? Watajeni.
 
Angekuwapo Hadi Sasa tungekuwa tumepiga hatua kubwa kimaendeleo kuliko huyu bibi wa mwana kwerekwe ambaye ameturudisha nyuma kimaendeleo ambapo Kuja kufikika Tena alipotuachia magufuli kwenye uchumi wa kati itatuchukua miaka sabini mbele.huyu bibi hakufaa kabisa kurithi hii mikoba
Mitanzania mijinga sana lile liserikali la mwendakuzimu lilikuwa liserikali fake linapika data za uongo na nyie mliliamini.
 
Halmashauri ya Wilaya ya Chato, wakati Joseph Pombe Magufuli akiwa Rais, waligawa maelfu ya viwanja kwa viongozi wakuu wa Serikali, watumishi wa Umma, binafsi, na wafanyabiashara.

Lakini tangu Magufuli afariki, wamevitelekeza, havijajengwa, na hata hawavitembelei. Yamekuwa mapori makubwa yanayoweza kulisha makundi hata 100 ya tembo.

Baadhi walioanza kujenga gesti na hoteli kwa ajili ya wageni wanaokuja kumuona Magufuli, nao wameacha magofu na kutokomea kusikojulikana.

Naomba Serikali iingilie kati. Wakati wa Magufuli viwanja vilipanda bei vikawa havishikiki, lakini sasa hivi, mtu anamtafuta wa kumuuzia hampati.
Yani mtu kanunua ardhi yake halafu serikali iingilie kati😂
 
Mitanzania mijinga sana lile liserikali la mwendakuzimu lilikuwa liserikali fake linapika data za uongo na nyie mliliamini.
Hivi matahira waliokwenda kuwekeza Chato walishindwa kujua kuwa jiwe atakata moto soon?
Walijua akifa biashara zao zitaenda vizuri?
 
Mitanzania mijinga sana lile liserikali la mwendakuzimu lilikuwa liserikali fake linapika data za uongo na nyie mliliamini.
Serikali hiyo hiyo iliundwa na CCM.
Samia ,mpango na majaliwa walikuwepo pia.
Hii nchi tunatapeliana
 
Back
Top Bottom