Hawajaona cha ajabu sababu hawajakaa kiumbea umbea kama tiziiii huku watu wangekesha mitandaoni mwez mzima kuzungumzia ishu ndogo tu icyo na kichwa wala miguuIlikuwa ni waziri mkuu wa china mkuu siyo rais...ila umeandika raid rekebisha basi.
Hii ingekuwa Tanzania eti makonda ndo avae hvo...nahisi Magu angemfukuza..ila wakenye wamelalamika sana wengine wanasema Sonko bado ako na utoto haikuwa poa kuvaa hvo.
Ila aliyenivunja mbavu ni Ruto jinsi alivocheka..sijui hata kilichomchekesha hvo nn tu. Ila kenyata bwana...wala hata hakuona kama ni kitu cha ajabu sana.
Atakua bado alikua shamba huyo saivi kaja mjini kafanikiwa kununua teknoHii picha mbona ya miaka mingi mbona ulikuwa bado hujanunua simu ya tachi? Ama ulikuwa hujatoka bush?
Senetor na Mkuu wa Mkoa ni vitu tofauti ukifananisha unakoseaIlikuwa ni waziri mkuu wa china mkuu siyo rais...ila umeandika raid rekebisha basi.
Hii ingekuwa Tanzania eti makonda ndo avae hvo...nahisi Magu angemfukuza..ila wakenye wamelalamika sana wengine wanasema Sonko bado ako na utoto haikuwa poa kuvaa hvo.
Ila aliyenivunja mbavu ni Ruto jinsi alivocheka..sijui hata kilichomchekesha hvo nn tu. Ila kenyata bwana...wala hata hakuona kama ni kitu cha ajabu sana.
Kenyata alidab daaaah pale ndipo nilipokubali jamaa smart kama jakayaIlikuwa ni waziri mkuu wa china mkuu siyo rais...ila umeandika raid rekebisha basi.
Hii ingekuwa Tanzania eti makonda ndo avae hvo...nahisi Magu angemfukuza..ila wakenye wamelalamika sana wengine wanasema Sonko bado ako na utoto haikuwa poa kuvaa hvo.
Ila aliyenivunja mbavu ni Ruto jinsi alivocheka..sijui hata kilichomchekesha hvo nn tu. Ila kenyata bwana...wala hata hakuona kama ni kitu cha ajabu sana.
Senetor na Mkuu wa Mkoa ni vitu tofauti ukifananisha unakosea
Ndo mana makampuni ya cm tz yamepiga faida maradufu kwa kuuza data tu toka sakata la bashite lianze. Wamepunguza na vifurushi lln ndo kwanza maizo yanaongezeka kwa kasiHawajaona cha ajabu sababu hawajakaa kiumbea umbea kama tiziiii huku watu wangekesha mitandaoni mwez mzima kuzungumzia ishu ndogo tu icyo na kichwa wala miguu
Kwel kabsa nduguNdo mana makampuni ya cm tz yamepiga faida maradufu kwa kuuza data tu toka sakata la bashite lianze. Wamepunguza na vifurushi lln ndo kwanza maizo yanaongezeka kwa kasi