Baada ya Magufuli kuwaagiza kupunguza matumizi yasiyo ya lazima hatimaye sekretarieti hiyo imepunguza bajeti yake kwa kiasi cha shilingi bilioni moja na ushehe.
Ingawa posho za sekretarieti zimeendelea kubaki vile vile.
Hii ni move nzuri kwa kuanzia...!
Kidogo kidogo tutaelewana tu...
Source Daily Nation