Wewe ulishiriki kuijenga Cdm? Kila taasisi ina namna yake ya kufanya shughuli zake. Kwa kuwa mmekuwa na mawazo ya kushughulika na "MTU" basi mnaona kila kitu ni "MTU". Tufike mahali tuache ujinga wa kushadadia vitu tusivyoshiriki kuvifanyaNdugu wana jf, kufuatia sakata la LAAC na PAC, imedhihirika wazi kuwa CHADEMA kimejengwa kuzunguka watu maarufu. Ukikipima kwenye mizani ya taasisi kinaanguka vibaya sana.
Kitendo cha kuwakataa wabunge wake na wale wa UKAWA kuongoza kamati mpaka aongoze Mbowe ni cha kutia shaka. Hakizingatii weledi bali umaarufu wa kisiasa kuliko usomi. Mbaya zaidi ni pale lilipofanyika jaribio la kumpigia chapuo Kubenea kuongoza mojawapo ya kamati hizo, wakati ni kinda bungeni. Kigezo hapa pia ilikuwa ni umaarufu wake.
Kwa siasa za aina hii CHADEMA haina maisha marefu. Leo hii mwenye nguvu kuu ndani ya CHADEMA no Lowassa ambaye wala si mjumbe japo wa mtaa. Ni aibu kubwa kwa taasisi iliyojengwa kwa muda mrefu kuongozwa pasipo kufuata misingi.
Jibu hoja. Kuna sababu gani ya msingi kum undermine Dr eti anapwaya huku akipigiwa chapuo std seven Mbowe? Kama kigezo ni uzoefu mbona mlimshabikia sana Kubenea? Kati ya Zitto na Mbowe nani mwenye vigezo muhimu kuongoza kamati hizo??Wewe ulishiriki kuijenga Cdm? Kila taasisi ina namna yake ya kufanya shughuli zake. Kwa kuwa mmekuwa na mawazo ya kushughulika na "MTU" basi mnaona kila kitu ni "MTU". Tufike mahali tuache ujinga wa kushadadia vitu tusivyoshiriki kuvifanya
Wenye vigezo ni wale wabunge walioko kwenye RACE. Vigezo vyako havina maana kwao. Hats Ccm wana mambo mengi wanapigiwa kelele lakini vigezo vyao ndivyo vinavokuwa-applied. Kama wewe ni mwanachama wa chama huwezi kukaa unashutumu mambo yanayofanywa na wenzako kila mara. Kuna mambo mmeyajaza vichwani mwenu ya ubaguzi wa kielimu, kikanda, kikabila na hata kidini ndiyo maana hata ustawi was siasa zetu unakuwa mdogo.Jibu hoja. Kuna sababu gani ya msingi kum undermine Dr eti anapwaya huku akipigiwa chapuo std seven Mbowe? Kama kigezo ni uzoefu mbona mlimshabikia sana Kubenea? Kati ya Zitto na Mbowe nani mwenye vigezo muhimu kuongoza kamati hizo??
Na ubaguzi huo ndio unawafanya muamini Mbowe ni bora kuliko DrWenye vigezo ni wale wabunge walioko kwenye RACE. Vigezo vyako havina maana kwao. Hats Ccm wana mambo mengi wanapigiwa kelele lakini vigezo vyao ndivyo vinavokuwa-applied. Kama wewe ni mwanachama wa chama huwezi kukaa unashutumu mambo yanayofanywa na wenzako kila mara. Kuna mambo mmeyajaza vichwani mwenu ya ubaguzi wa kielimu, kikanda, kikabila na hata kidini ndiyo maana hata ustawi was siasa zetu unakuwa mdogo.
Niliandika kipande hiki miaka kadhaa nyuma kwa nia njema kabisa. Lakini kwa sababu ya siasa za humu jf nikaitwa mara kitimoto, mara lumumba n.k. Leo nimeona niweke kumbukizi hapa. Nawapenda wapinzani, lakini siasa za kufuata umaarufu wa mtu hazina malengo ya muda mrefu na haziwezi kukidhi mahitaji ya kutwaa madaraka.Ndugu wanaJF, kufuatia sakata la LAAC na PAC, imedhihirika wazi kuwa CHADEMA kimejengwa kuzunguka watu maarufu. Ukikipima kwenye mizani ya taasisi kinaanguka vibaya sana.
Kitendo cha kuwakataa wabunge wake na wale wa UKAWA kuongoza kamati mpaka aongoze Mbowe ni cha kutia shaka. Hakizingatii weledi bali umaarufu wa kisiasa kuliko usomi. Mbaya zaidi ni pale lilipofanyika jaribio la kumpigia chapuo Kubenea kuongoza mojawapo ya kamati hizo, wakati ni kinda bungeni. Kigezo hapa pia ilikuwa ni umaarufu wake.
Kwa siasa za aina hii CHADEMA haina maisha marefu. Leo hii mwenye nguvu kuu ndani ya CHADEMA ni Lowassa ambaye wala si mjumbe japo wa mtaa. Ni aibu kubwa kwa taasisi iliyojengwa kwa muda mrefu kuongozwa pasipo kufuata misingi.