Pre GE2025 Sasa kumekucha. No reforms No election

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla, wakati na baada)

Mushkov

JF-Expert Member
Feb 16, 2024
357
685
Inawezekana kuna watu bado hawajaelewa vizuri maana ya No Reforms No election.
Maana yake ni kwamba:-

1. Hakuna atakayeruhusiwa kugombea nafasi yoyote ile ya uongozi kama Katiba na Sheria bora za Uchaguzi havijarekebishwa.

2. Hakuna atakayeruhusiwa kushiriki kwenye mkutano wowote ule wa kampeni kama Katiba na Sheria bora za Uchaguzi hazijatungwa.

3. Hakuna atakayeruhusiwa kusimamia uchaguzi katika Kituo chochote kile kama Katiba na Sheria bora za Uchaguzi hazijatungwa.

Kupuuza maagizo hayo itakuwa ni sawa kabisa na kupima uwepo wa umeme kwa kutumia kidole.
 
Narudia tena kwa mara nyingine "hii ni sawa na kinyesi kukituhumu choo kuwa kinanuka sana"
 
images.jpeg
 
Hakuna mbwa wa kuzuia uchaguzi lisu anawadanganya
Wewe ndo unawadanganya watu. Nimesema, kitendo chochote cha kugombea nafasi yoyote ile ya uongozi kitakuwa ni sawa na kushika sharubu za Simba. Vivyo hivyo kushiriki kwenye kampeni, vivyo hivyo kusimamia uchaguzi katika Kituo.
Yaani, ukienda kwenye kampeni au ukishiriki kusimamia uchaguzi ni sawa kabisa na kuwatukana Watanzania.
Haiwezekani tena kufanya uchaguzi katika mazingira haya.
Chaguzi za mwaka 2019, 2020 na 2024 ndizo zinazotupeleka huko.
Naomba nijuhakikishie, mwaka huu huko mbeleni moto utakapokuwa umekolea sawa sawa hakutakuwa tena na mtu atakayethubutu kuvaa shati la kijani hadharani.
Hakuna mbwa wa kuzuia uchaguzi lisu anawadanganya
 
Ukituliza akili utaona ni kupotezea muda tu kushiriki uchaguzi wa namna hii. Mpinzani kuingiza timu ni sawa na kutumika kama condom ya kustarehesha CCM.
Vyama vingine 14 vya upinzani vitaharibu dhana hii,wanaweza wakasimamisha wagombea,halafu baada ya uchaguzi wakaenda viti maalum ambao si chadema
 
Inawezekana kuna watu bado hawajaelewa vizuri maana ya No Reforms No election.
Maana yake ni kwamba:-

1. Hakuna atakayeruhusiwa kugombea nafasi yoyote ile ya uongozi kama Katiba na Sheria bora za Uchaguzi havijarekebishwa.

2. Hakuna atakayeruhusiwa kushiriki kwenye mkutano wowote ule wa kampeni kama Katiba na Sheria bora za Uchaguzi hazijatungwa.

3. Hakuna atakayeruhusiwa kusimamia uchaguzi katika Kituo chochote kile kama Katiba na Sheria bora za Uchaguzi hazijatungwa.

Kupuuza maagizo hayo itakuwa ni sawa kabisa na kupima uwepo wa umeme kwa kutumia kidole.
Umenikumbusha aliyeambiwa kupimwa mkojo na mkemia mkuu wa serikali
 
mnao kasirika kwa hii kauli ya no reform no election kinachowakereketa hasa ni nini?je kuna haja ya upinzani kushiriki naakati sheria,utawala ni kandamizi ?
 
Wazee wachache wenye BUSARA, HEKIMA na UJASIRi mliopo Tanzania, muelezeni Mama Samia nchi inahitaji Uchaguzi huru na wa haki 2025,( minor reforms) then tuje kwenye Katiba Mpya iliyo bora 2026

Mnaweza mzima Lissu et al kwa kutumia Vyombo vyenu vya DOLA lakini ukweli utabakia kwamba, Mfumo wetu wa Uchaguzi UNAWALAKINI
 
Inawezekana kuna watu bado hawajaelewa vizuri maana ya No Reforms No election.
Maana yake ni kwamba:-

1. Hakuna atakayeruhusiwa kugombea nafasi yoyote ile ya uongozi kama Katiba na Sheria bora za Uchaguzi havijarekebishwa.

2. Hakuna atakayeruhusiwa kushiriki kwenye mkutano wowote ule wa kampeni kama Katiba na Sheria bora za Uchaguzi hazijatungwa.

3. Hakuna atakayeruhusiwa kusimamia uchaguzi katika Kituo chochote kile kama Katiba na Sheria bora za Uchaguzi hazijatungwa.

Kupuuza maagizo hayo itakuwa ni sawa kabisa na kupima uwepo wa umeme kwa kutumia kidole.
Na atakayezuia nani? Lissu na genge lake? Lile lililomsindikiza airport kipindi kile baada ya uchaguzi wa Oktoba, 2020? Ahahahahaha!!!
 
Inawezekana kuna watu bado hawajaelewa vizuri maana ya No Reforms No election.
Maana yake ni kwamba:-

1. Hakuna atakayeruhusiwa kugombea nafasi yoyote ile ya uongozi kama Katiba na Sheria bora za Uchaguzi havijarekebishwa.

2. Hakuna atakayeruhusiwa kushiriki kwenye mkutano wowote ule wa kampeni kama Katiba na Sheria bora za Uchaguzi hazijatungwa.

3. Hakuna atakayeruhusiwa kusimamia uchaguzi katika Kituo chochote kile kama Katiba na Sheria bora za Uchaguzi hazijatungwa.

Kupuuza maagizo hayo itakuwa ni sawa kabisa na kupima uwepo wa umeme kwa kutumia kidole.
Mkuu thanks, mod jf muwe mnaachia maandiko kama haya mapema ,kumekuepo na taratibu za kuficha maandiko muhimu na kuyaachia badae ,hii tabia ife vinginevyo nitawafungia kwa Mungu wangu .

Mtoa post Mungu akubariki, hakuna sababu yakwenda kwenye uchaguzi wa kimangumashi period, no reforms wajitangaze wenyewe tuone kama patakalika.
 
Na atakayezuia nani? Lissu na genge lake? Lile lililomsindikiza airport kipindi kile baada ya uchaguzi wa Oktoba, 2020? Ahahahahaha!!!
Subiri, utajua tu nani anaweza kuzuia. Saa hizi bado pombe zipo kichwani, zikiisha utajua nani ni nani?
Hakuna atakayeruhusiwa kugombea au kusimamia uchaguzi. Amri hii itatolewa huko mbeleni.
 
Subiri, utajua tu nani anaweza kuzuia. Saa hizi bado pombe zipo kichwani, zikiisha utajua nani ni nani?
Hakuna atakayeruhusiwa kugombea au kusimamia uchaguzi. Amri hii itatolewa huko mbeleni.
Mijinga na michawa inafiki haya ni maigizo ,yatajua hayajui
 
Subiri, utajua tu nani anaweza kuzuia. Saa hizi bado pombe zipo kichwani, zikiisha utajua nani ni nani?
Hakuna atakayeruhusiwa kugombea au kusimamia uchaguzi. Amri hii itatolewa huko mbeleni.
Ahahahahaha! Unaikumbuka UKUTA? Ahahahahaha!!
 
Back
Top Bottom